Wenye akili upande ule wapo wawili tu.Dah kweli una uso wa mbuzi.Yaani kweli umerudi kutetea ujinga wako.Yaani Horoya wachukue milioni 38 wakati wangeshinda na kuingia robo fainali wangepata Bilioni 1 na Nusu?
Mkishiba mihogo mnaropoka tu.
Agiza chochote sis nalipa 🤣🤣🤣Yale machawi yamekosa content wanaongea ongea kama wehu sasa hivi kwa kipigo maana umepigwa mpk ukoo wak mzima..
Kumbe upo chama kubwa broAgiza chochote sis nalipa 🤣🤣🤣
Mchawi hana akili.Baada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Mie mbona toka kitamboo 😅😅😅Kumbe upo chama kubwa bro
Sawa ndugu nchawi, tuondoke na lipi sasa, simba wamehonga 38m au wameroga!?NAWAPA ZA NDANI KABISA
Horoya wamecheza chini ya kiwango
Nasikia mmeonga milioni 38 ili muende robo
Timu yenu bado mbovu
Muache uchawi chezeni kwa kiwango chenu mnaroga sanaa
VyoteSawa ndugu nchawi, tuondoke na lipi sasa, simba wamehonga 38m au wameroga!?
Mchawi hana akili.
Amepata dehydration anahitaji tiba ya harakaHuyu kenge atakuwa na hali gani?
Eti huyu chura baada ya maji kukauka anahali gani huko?
Tatizoooo mkishakulaa tuuu ugal mkashiba kila mtuu mchambuziiiii haya kapiga mtu wikiii ongea tenaBaada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu, hata akibahatisha kucheza na vitimu dhaifu kuliko Ihefu FC atajisifia [emoji2]Yale machawi yamekosa content wanaongea ongea kama wehu sasa hivi kwa kipigo maana umepigwa mpk ukoo wak mzima..
mmebaki na mi utapu tapu tu mnayoongea..si mlisema hatutoki..Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu, hata akibahatisha kucheza na vitimu dhaifu kuliko Ihefu FC atajisifia [emoji2]
Kuna Watu wanawashwa washwa na Bingwa wa EPL, FA, na Ngao ya hisani TZ "YANGA FC" 2022 - 2040 [emoji1787]Leo mtajiharishia nyie utopolo wenye viriba tumbo...hapa naongelea utopoz wale wenye vijiba vya roho kama mwajuma ndala ndefu..kuna wale wanaojielewa hao haiwahusu hii..