Sidhani kwa wachezaji hao kama wataweza kuwasaidia kufika hata robo fainal ya caf baada ya kusajili wachezaji wenye experience kutoka alhaly au raja mnatoa wachezaji kweli ligi ambayo hata haijulikani soka letu kimataifa litabaki kuwa nyuma always kwa sababu ya ubahili na kusajili kwa kubahatisha kama mlivyobahatisha mickson