Simba SC imemtangaza Mshambuliaji Kivuli (False number nine) Willy Essomba Onana (23) Raia wa Cameroon kutokea Club ya Rayon Sports ya Rwanda

Simba SC imemtangaza Mshambuliaji Kivuli (False number nine) Willy Essomba Onana (23) Raia wa Cameroon kutokea Club ya Rayon Sports ya Rwanda

Sidhani kwa wachezaji hao kama wataweza kuwasaidia kufika hata robo fainal ya caf baada ya kusajili wachezaji wenye experience kutoka alhaly au raja mnatoa wachezaji kweli ligi ambayo hata haijulikani soka letu kimataifa litabaki kuwa nyuma always kwa sababu ya ubahili na kusajili kwa kubahatisha kama mlivyobahatisha mickson
Raja na alahly wao wanasajili kutoka wapi? Acha ujinga.
 

Attachments

  • Ins52160607660_3543e175eacd49d9a251ee30002c3404_358198910_998990107948681_4879545225125812050_n.jpg
    Ins52160607660_3543e175eacd49d9a251ee30002c3404_358198910_998990107948681_4879545225125812050_n.jpg
    117.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom