Simba SC irekebishe upesi sana 'Mapungufu' ya hawa Wachezaji Watatu Inonga, Sakho na Morisson kwani yanaigharimu Timu

Acha wachezaji wacheze, ungetaka na wewe ungekuwa mchezaji ili uwe na hizo tabia ulizotaja.....au kaombe ukocha, kumbuka wale wapo kazini kama wewe unapokuwa kazini na unaamini unafanya kaz vizuri..Tupunguze maneno wakati hata danadana tu huwez
 
Watu wengine mnatuchosha tu. Mnakuwa kama wehu. Wewe na Pablo naniwenye jicho la kuangalia wachezaji.
Utukome nyambafu.
 
Andiko limejaa CHUKI, UJUAJI na WIVU.
Halafu huyo huyo GENTAMYCINE mnayemchukia na hata Kutompenda ndiyo kila Siku mkiingia tu hapa JamiiForums ni lazima mtamfuatilia na Kumsoma kila anachokiandika. Tangia muanze Kunichukia mpaka Kuimba kila Siku mmetajirika na chochote kile au Mimi GENTAMYCINE ambaye 'Fame' yangu Kubwa hapa JamiiForums inayowanyima Usingizi nimekufa au hata tu Kupungukiwa na lolote lile?

Hivi Members wasio na CHUKI, UJUAJI na WIVU kuliko Mimi wameisha hapa JamiiForums ili muwe mnawasoma Wao 24/7 kuliko Kutwa tu Kuteseka na Kuhangaika nami niliyebarikiwa Shani ( Tunu ) nyingi za Kiupendeleo na Mwenyezi Mungu kuliko Mpumbavu Mmoja na Wenzako baadhi hapa?
 
Uyo Inonga anapenda sifa ambazo wala hana, hasira zake za kipumbavu cku moja zitamgharimu, Angekuwa anatoa ata asist kama yannik bangala si angewapanda watu kichwani kabisa
Kwa hili Mkuu nakubaliana nawe 100%.
 
Kwa hiyo watu kusoma uzi wako we umeona ni kwa sababu wewe ni bora na wa maana JF than others sasa wewe ungekuwa mchezaji hao uliowakosoa si wangeonekana wana afadhali? Unakemea tabia ambayo wewe naye unayo huku ni kujitoa ufahamu

Na wewe badilika ,kama unajua toa maoni yako then quit sifa zitakuja zenyewe
 
Ngoja wanywe chai waje kukupiga.
Silaha yangu Kubwa GENTAMYCINE ni Kujiamini, kuwa na Msimamo na Akili nyingi nilizobarikiwa nazo na Mwenyezi Mungu kuliko Wao na nawasubiri ili ikiwezekana niwafundishe Kufikiri na hata Kujenga Hoja vile vile pindi wawapo hapa Mtandaoni JamiiForums.
 
Ngoja misukule ya mudi ije kukushambulia
Nami pia nawasubiri kwa hamu sana Mkuu wangu na uzuri ni kwamba hata Moto wangu wanaujua na Falsafa yangu haijabadilika ambapo Ukiniheshimu nami Nitakuheshimu zaidi, ila Ukijamba tu basi Mimi Nitakunya kabisa.
 
Mkuu nimependa sana haya Madini yako.
 
Umemaliza kila Kitu Mkuu Asante sana.
 
Morison huu ndo msimu wake wa mwisho hawezi kuongezewa mkataba
Nitakuwa wa Kwanza kabisa Kushangilia pale tu nikisikia kuwa Klabu yangu pendwa ya Simba imeachana nae ( imemtema ) rasmi kwani kiukweli Simpendi mpaka namuona ni Kero na kama siyo Takataka iliyoko Msimbazi.
 
Kuna mahala popote pale katika Maelezo yangu GENTAMYCINE nimesema Henock Inonga ni Mchezaji mbaya?

Tafadhali Siku zingine mkijijua hamna Akili au Wazito Kuelewa au Uwezo wenu wa Kuchambua Masuala Mtambuka ni mdogo ( haba ) acheni Kushoboka Kufungua na Kusoma Mada zangu mbalimbali hapa JamiiForums sawa?

Mnakera.. .!!!
 
Kuna mahala nimeona GENTAMYCINE nimeambiwa nimeleta Uzi huu kwa CHUKI, UJUAJI na WIVU na Wewe 'umelaiki' pia sasa inakuwaje tena Unauchangia?

Mnafiki mkubwa Wewe na nilishakugundua Kitambo tu na sijui ni kwanini huwa unapenda Kujipendekeza ama Kufungua au Kusoma Mada zangu nyingi na mbalimbali hapa JamiiForums?

Mnanichukia 24/7 ila hamuachi Kunisoma hapa JamiiForums. Kwani hao mnaowapenda na Kuwakubali wameisha hapa Jamvini? Kwanini usiwe / msiwe mnasoma Mada zao ili muachane nami ninaowakera ila niliyewazidi vingi tu kwa Kubarikiwa navyo na Mwenyezi Mungu?
 
Halafu huyo huyo GENTAMYCINE mnayemchukia na hata Kutompenda ndiyo kila Siku mkiingia tu hapa JamiiForums ni lazima mtamfuatilia na Kumsoma kila anachokiandika. Tangia muanze Kunichukia mpaka Kuimba kila Siku mmetajirika na chochote kile au Mimi GENTAMYCINE ambaye 'Fame' yangu Kubwa hapa JamiiForums inayowanyima Usingizi nimekufa au hata tu Kupungukiwa na lolote lile?

Hivi Members wasio na CHUKI, UJUAJI na WIVU kuliko Mimi wameisha hapa JamiiForums ili muwe mnawasoma Wao 24/7 kuliko Kutwa tu Kuteseka na Kuhangaika nami niliyebarikiwa Shani ( Tunu ) nyingi za Kiupendeleo na Mwenyezi Mungu kuliko Mpumbavu Mmoja na Wenzako baadhi hapa?
 
Pumbavu.
 
Watu wengine mnatuchosha tu. Mnakuwa kama wehu. Wewe na Pablo naniwenye jicho la kuangalia wachezaji.
Utukome nyambafu.
Uzi huu nimewaandikia Wana Simba SC na Wanamichezo Werevu ( Intelligent ) pekee na haukuwa kwa ajili yako Wewe Mpumbavu Mwandamizi ( Senior Damn Fool ) na wale Wenzako kadhaa mliochangia huu Uzi wangu sawa?
 
Acha wachezaji wacheze, ungetaka na wewe ungekuwa mchezaji ili uwe na hizo tabia ulizotaja.....au kaombe ukocha, kumbuka wale wapo kazini kama wewe unapokuwa kazini na unaamini unafanya kaz vizuri..Tupunguze maneno wakati hata danadana tu huwez
Damn Fool.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…