“Simba SC look at your player become a dancer.” ni fumbo zito walilofumbiwa Simba SC dhidi ya mchezaji wao Pape Ousuman Sakho

Mbona unatumia hasira sana nakukaza mishipa ya shingo kaka

Ukweli ndiyo huo sadio mane kawafumba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hizo ni tafsiri zako na kama unaijua Historia ya Sadio Mane hana hizo tabia kama za kina Baloteli, Cristiano Ronaldo mnataka kumtengenezea sifa mbaya Kijana wa watu ni Muislamu safi, hana matusi wala maneno machafu hizo ni hisia zenu Utopolo mliojaa nongwa na chuki. Kwanza Sadio Mane anaanzaje kumtukana mwenzake ambaye ni Taifa moja? Acheni kuwa na Usimba na Yanga kwenye ishu ya Mane na Sakho wale ni taifa moja na msimu uliopita Sakho anapokea tuzo ya goli bora la michuano ya CAF alikaa meza moja na Mane alipokuwa anachukua Mchezaji wa Africa. Acheni chuki na propaganda zzenu.
 
Kweli kabisa mkuu upo sahihi lakini mbumbu hawalijui Hilo watakuja kutukana hapa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimekupa dokezo tu nashangaa unataka kuanzisha mada nyingine, Punguza umbumbu na kuharibu sifa ya sadio Mane. Mimi ni Shabiki wa Livepool pia Historia yake naijua vizuri sana
Historia gani Tena wewe mjomba sadio ni pro kaamua kufumba Sasa nashangaa hutaki kuukubali ukweli.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umeua sana [emoji16]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakika umepiga kwenye mshono.[emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sakho tena??? mbona unajichanganya sana?? Vipi Swaumu au Kwaresma imekukamata???
 
Sakho tena??? mbona unajichanganya sana?? Vipi Swaumu au Kwaresma imekukamata???
 
We Ni mjinga kama wenzio wanaokusapoti
Kila kitu unachukulia serious??
 
Dah... Hersi na Luc Emayel wapewe PhD za heshima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…