Simba SC mnalalamika nini Serikali kuipendelea Yanga SC wakati nanyi kutwa mnajipendekeza kwao?

Simba SC mnalalamika nini Serikali kuipendelea Yanga SC wakati nanyi kutwa mnajipendekeza kwao?

Tokea mwaka jana GENTAMYCINE nimewaasa sana hapa JamiiForums kwa kuwataka ikataeni Serikali na Misaada yake ya Kinafiki Kwenu kwani wala haiwapendi mmekataa Kunisikia na Kunielewa.

Wana Simba SC (baadhi yenu) mlivyo Majuha (Fools) tokea Juzi mnlalamika Kubaguliwa na Serikali kwa kuwasaodoa na kuwajali zaidi Yanga SC.

Hivi kama Mshauri Mkuu wa Mama yenu mwana Yanga SC na Mfadhili wao tu hatozwi Kodi Kubwa kama anavyotozwa Tajiri Kibyongo wenu mlitegemea Awamu hii mpendwe na mthaminiwe?

Na mlivyo wapumbavu baadhi yenu ni kwamba pamoja na huku Kutokupendwa Kwenu bado Kutwa mkiingia Viwanjani mnabeba Mabango ya Kumsifia Mama yenu huku, wengine mkiwa mnahojiwa na Press ( Media ) kuhusu Timu yenu mnatumia Sekunde 7 tu Kuiongelea Simba SC ila mnatumia dakika 20 nzima Kumsifia Mama yenu.

GENTAMYCINE nasikia raha sana jinsi mnavyofanyiwa na Kunyanyasika sasa na Serikali hii ya Mama yenu kwani Niliwaonya mno ila kama Kawaida yenu hamjajua kuwa Mimi ni Nabii na mwana Maono hivyo hakuna ambacho nakionya au nakizungumzia halafu kwa 95% kisitokee.

Na mtanyanywswa mno hadi mkome kwakuwa licha ya kuwa Wabishi kwa kila ninachowaambia lakini pia wengi wenu hamna Akili na ndiyo maana mnafanyiwa Vitimbi vya Kubaguliwa na bado mpo mpo tu.

Kudadadeki!
Wenzao wanakaa wanaumiza vichwa kuandika proposal wao wanatembea na upepo wa wenzao, haya kailalamikieni na Crdb kwa kuidhamini safari ya Yanga afrika kusini[emoji1787]
 
Huu busara mkuu,, huu ni uchochezi wa chili...
Hivi Kuna Bus inaweza kutoka Bongo to Cairo..?
 
Nyie vijana wa sukuhizi mna ujuaji mwingi ila hamna mnacho jua, izo Simba na Yanga ni Mihimbili wa serikali katika Moja ya Mihimbili yake.
Mwaka 1988 ingawa baadhi ya viongozi wa Yanga waligawanyika katika ombi la kuibeba Simba isishuke Daraja.

Viongozi wa Simba wote walikimbia na timu walimwahia Shikamkono ambaye aliiweka Kambi pale Kibaha Njueni hotel kwenye mechi Yao ya mwisho dhidi ya Yanga.
Serikali ilibidi I ingilie kati kwa kuwashawishi baadhi ya viongozi wa Yanga waliokua wakipinga ili wakubali kupoteza mchezo ule wa mwisho ambao kwa kupoteza kwao Yanga, Coast wakawa mabingwa wa ligi kuu.
Hivi tunavyo andika kama Serikali isinge ingilia kati kwasasa tusingekua na Simba apa Nchini.
Serikali haiwezi ikajikata kidole chake alafu isikie Raha.
Simba na Yanga ni viungo muhimu katika mwili wa serikali.
Yanga iliwauma lakini walijikaza, uku Coast akitwaa ubingwa licha ya kufungwa na African sport pale mkwakwani.

Wali twa ubingwa licha ya kulingana na Yanga kwa point ila coast alibebwa na Magoli ya kufunga.
Labda uwadanganye watoto wa kizazi cha Azam T maana huo uongo umerudiwarudiwa hadi watu wamewaamini,kwani mwaka huo 1988 ni timu ngapi zilizotakiwa kushuka daraja?
 
Semaji pendwa limesema sio haki kupewa fedha za walipa kodi.

SIMBA GUVU MOYA!!!
 
Back
Top Bottom