Simba Sc naiona ikishinda mapema sana kwa formation hii 4:3:3

Simba Sc naiona ikishinda mapema sana kwa formation hii 4:3:3

View attachment 2802389
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui. Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Kwa hiyo utopolo wamelala wanasubiri makolo awafunge.
Usikimbie uzi.
 
Mkuu mi natoka kidogo Nje ya Mada...Ukiendelea hivi unakua mstaarabu sana yani comment ina vitu..hapa hayupo atakae kuita mpuuzi au mjinga.Ujue mtu atakutukana na atashindwa kukujibu kwa hoja kama ukianza zile Reply za Simba ina watu kuliko Yanga halaf utegemee mtu aje akujibu kwa hoja hapo hapana atakujibu tu kwa Matusi ya kuuita we Tahira.

Ni kingine utakua Mstaarabu sana na utaheshimika pale utajitenga na Nyuzi zilizojaa Ushabiki sio kila Nyuzi U Reply sikupangii lakini samahan.

Nahisi umenielewa Mkuu..Sabato Njema.

Asante sana mkuu @ THE FIRST BORN
Asante kwa ushauri mwema.

Ushauri wako nimeupokea na nimeupokea kwa mikono miwili.

Mimi ni Binadamu nina mapungufu yangu, Naomba unisamehe pale nilipo kukwaza.

Nitajitahidi kutojihusisha na ushabiki.

Mtume paul anatukumbusha kwenye barua yake kwa wafilipi

Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.
Wafilipi 2:3

Asante sana uwe na SABATH NJEMA.
 
Magoli mengi mechi ya Simba na yanga yanaanzia kwake, ama atapoteza mpira au atafanya rafu karibu na goli. Mechi ya 2 kwa 2 aliyofunga Balama alipoteza mpira, mechi aliyosawazisha Aziz K kwa free kick alicheza rafu isiyo na maana. Mifano ipo mingi.

upo sahihi kabisa.
Na mechi nyingine nyingi kabla ya hizo, Mzamiru amakuwa akiifungisha Simba hadi unahisi anahusika kuihujumu.

Mzamiru tungependa asicheze hiyo mechi.
 
View attachment 2802389
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui. Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Wanasimba kwa kujipa moyo
 
Kwa taarifa nilizonazo huenda Manula akawa Golini. Kama No 1
 
View attachment 2802389
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui. Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Practically Africa ni timu chache sana zinazoweza kucheza 4-3-3.
 
Mfumo huo ni mzuri sana
Lakini unategemeana na Mfumo wa yanga.

Yanga anawesa akaanza na Back 3
Akianza na Back 3
Mwamnyeto, Nondo na Baka watakuwa salama sana kwenye lango lao

Ili yao au Pakome mmoja wao aanzie Benchi.

Kama pakome na yao wote wakiwa uwanjani maana yake Muzamiru ndio anatakiwa aanze kumzuia max na Yao.

Shida ya simba Robertinho ni mgumu sana kubadirika hawezi akamuacha Saido Benchi(no10).
Nilivyoona tu huu mfumo wa mtoa mada (ambao kiukweli uko vizuri), nikawaza Robertinho na mapenzi yake kwa Ntibazonkiza.


Ntibazonkiza hawezi kuifaa Simba Sc kwenye hiyo mechi, labda kama ataingia kipindi cha pili dakika za mwisho (kama tu, Simba Sc itakuwa bado inatafuta ushindi).



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, yupo sahihi.
Ile fullback mbili ya Yanga inatakiwa uikabie hukohuko juu ili isipande, kinyume na hapo rejeta ya Mohamed Hussein itapasuka.

Mzamiru kwny mechi za Yanga huwa anachemka sana kama ulivyokuwa kwa Jonas Mkude.
mkuu umenena
 
Hapo bado yule popoma wenu hajaanzisha Uzi mwingine. Bado bobansunzu,bado mshana bado kale kabibi,bado hilo hapo juu lenye matusi anamtumiaga sana manara na pia anatumiaga kagazeti fulani uchwara ka miaka ya Nyerere. Kweli mtakonda trip hii. Mna hofu hatari
 
Mkuu mi natoka kidogo Nje ya Mada...Ukiendelea hivi unakua mstaarabu sana yani comment ina vitu..hapa hayupo atakae kuita mpuuzi au mjinga.Ujue mtu atakutukana na atashindwa kukujibu kwa hoja kama ukianza zile Reply za Simba ina watu kuliko Yanga halaf utegemee mtu aje akujibu kwa hoja hapo hapana atakujibu tu kwa Matusi ya kuuita we Tahira.

Ni kingine utakua Mstaarabu sana na utaheshimika pale utajitenga na Nyuzi zilizojaa Ushabiki sio kila Nyuzi U Reply sikupangii lakini samahan.

Nahisi umenielewa Mkuu..Sabato Njema.
Umenena mkuu, jamaa mimi namuonaga mstaarabu saana ila ile jana sijui juzi alizingua.
 
Umenena mkuu, jamaa mimi namuonaga mstaarabu saana ila ile jana sijui juzi alizingua.

Mimi ni mstarabu sana mkuu

Sema mashabiki wengi wa yanga ndio huwa wananichukisa sana.

Wananichukia pale nilikiona Utombo ulioandikwa na laban au naliangwena.
Huwa naweka nukuu ya Luck au kitabu cha Tanu na picha ya haji manara ya wenye akili ni wawili tu......
 
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.

Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui.

Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
F-Bf5tZW0AA56Ab.jpg
 
Simba ni nzuri ila kocha ndio shida, timu inacheza kama gombania goli.

Tatzo lingine ni Simba ikipata goli tu, basi wachezaji wana relax. Kocha hajawahi rekebisha hili tatzo kwa muda sasa..

Lakn zaidi, muda wote timu inashambuliwa. Yaani ukiwa mshabiki wa Simba unaomba mpira uishe, na imekuwa na style hii muda wote tangu Robatinho awepo hapo..

Sijui kwa faida ya nani huyo kocha bado yupo hapo. Na sijui ana ukaribu gani na Boko
F-Bf5tZW0AA56Ab.jpg
 
Kuna madhaifu kwenye mfumo huo, ni bora kucheza 4 4 2(diamond) formation
 
Back
Top Bottom