Grace glory
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 374
- 531
Mechi itaisha hivi
Aziz k 1
Zengeli 1
Aziz k 1
Zengeli 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongelea yao watu wamekaba percy tau na alipoaHapana, yupo sahihi.
Ile fullback mbili ya Yanga inatakiwa uikabie hukohuko juu ili isipande, kinyume na hapo rejeta ya Mohamed Hussein itapasuka.
Mzamiru kwny mechi za Yanga huwa anachemka sana kama ulivyokuwa kwa Jonas Mkude.
Isome hii comment itunzepira objectiiivu, pira papatu papatu, tukutane j2 baada ya dk 90+
Maneno ya wakosaji,Isome hii comment itunze
Ipo siku pira objective mtalihamia na hapo ndipo utaelewa
Nakwambia hivi hakuna timu bora duniani kwa sasa inacheza pira biriani
Hakuna timu hiyo
Barcelona ilishaachana na huu ujinga na kocha wao xavi amekataa na ndo alikua mtu ambaye anaperform kwenye huu mfumo
Timu zote kubwa africa hazichezi huu mfumo wa pira birianiManeno ya wakosaji,
sawa mkuu yaishe basi, endeleeni na pira papatupapatu, pira objectiivu, pira magoli, ingawa mech yetu na azam mlitunanga kuwa tulicheza pira papatupapatu japo tulishinda, sasa sijui huwa mnasimama na lipi hata sijui.Timu zote kubwa africa hazichezi huu mfumo wa pira biriani
Ni ngumi hasa kufanya vizuri na huu mfumo kama utakutana na wachezaji ambao wamewazidi individual brilliance
Mfumo unawaruhusu wapinzani wajiandae kukulinda
Unakumbuka mechi yenu na Al hilal dar?
Mlikua mnapiga pasi za beseni ila mnashindwa kuingia kwa sababu hii
Bila ya goli la mayele mlikua ile mechi inaisha vile vile
Percy Tau alivyowakimbiza Simba vile ndo mnaona mlimuweza kumkaba?Unaongelea yao watu wamekaba percy tau na alipoa
Kocha aanze na moses phiri tu as a 9
Chama akae katikati
Huu upande wa kapombe wamuingize israel mwenda second half
Mi sijui huwa anawaza nini kumuweka chama pembeni i think it makes more sense saido na kibu wakitokea pembeni then chama katikati
Sijui ila mimi ni hichi tu nnachoona
Ikawaje mkatoka?Unaongelea yao watu wamekaba percy tau na alipoa
Kocha aanze na moses phiri tu as a 9
Chama akae katikati
Huu upande wa kapombe wamuingize israel mwenda second half
Mi sijui huwa anawaza nini kumuweka chama pembeni i think it makes more sense saido na kibu wakitokea pembeni then chama katikati
Sijui ila mimi ni hichi tu nnachoona
Kwani mayele alikua anaichezea Namungo?Timu zote kubwa africa hazichezi huu mfumo wa pira biriani
Ni ngumi hasa kufanya vizuri na huu mfumo kama utakutana na wachezaji ambao wamewazidi individual brilliance
Mfumo unawaruhusu wapinzani wajiandae kukulinda
Unakumbuka mechi yenu na Al hilal dar?
Mlikua mnapiga pasi za beseni ila mnashindwa kuingia kwa sababu hii
Bila ya goli la mayele mlikua ile mechi inaisha vile vile
Goli lilikua la uwezo binafsi kaangalie goliKwani mayele alikua anaichezea Namungo?
Mpira usifatilie anza mielekaIkawaje mkatoka?
Winga wa kucut in alikua analazimishwa kukimbilia kwenye kona hukuona?😁Percy Tau alivyowakimbiza Simba vile ndo mnaona mlimuweza kumkaba?
Mayele alikuwa mchezaji wa Al Hilal???Timu zote kubwa africa hazichezi huu mfumo wa pira biriani
Ni ngumi hasa kufanya vizuri na huu mfumo kama utakutana na wachezaji ambao wamewazidi individual brilliance
Mfumo unawaruhusu wapinzani wajiandae kukulinda
Unakumbuka mechi yenu na Al hilal dar?
Mlikua mnapiga pasi za beseni ila mnashindwa kuingia kwa sababu hii
Bila ya goli la mayele mlikua ile mechi inaisha vile vile
Sawa before sija anza kufatilia mieleka niambie kama mlimkaba Tau ikawaje mkaishia robo? au mmeonewa?Mpira usifatilie anza mieleka
Yanga kazi ya kumfunga Robertinho ilishawashinda kitamboKwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui.
Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Yanga kazi ya kumfunga Robertinho ilishawashinda kitamboMimi mshabiki wa Simba, ila Yanga ipo vizuri zaidi. Kwa Simba kushinda itokee tu mambo ya Mpira.
Na mvua hizi zinaonyesha, na muhindi kampa Simba Odd ya 2. na Yanga Odd ya 3. Basi hata sielewi wamezingatia nini.
Huu mpira kwa mm sitaungalia, ntazima simu na redio sisikilizi
Kibu 1, Kanoute 1, kwa upande wa Yanga ni Max Pekee.Mechi itaisha hivi
Aziz k 1
Zengeli 1