Simba Sc naiona ikishinda mapema sana kwa formation hii 4:3:3

Simba Sc naiona ikishinda mapema sana kwa formation hii 4:3:3

Percy Tau alivyowakimbiza Simba vile ndo mnaona mlimuweza kumkaba?
Wewe ulikuwa unaangalia mpira wako.

Kwenye mechi zote za AFL Tau kakabwa vilivyo, kukimbiza mara mojamoja inatokea na ni kawaida kwenye game. Hata Sundowns kuna muda aliwapeleka ila overall ni kwamba alikabwa haswa.
 
Wewe ulikuwa unaangalia mpira wako.

Kwenye mechi zote za AFL Tau kakabwa vilivyo, kukimbiza mara mojamoja inatokea na ni kawaida kwenye game. Hata Sundowns kuna muda aliwapeleka ila overall ni kwamba alikabwa haswa.
ikawaje mkatoka huku mmemkaba Tau?
 
Umetupa mfumo tu wa 4-3-3 lakini hatuoni vipindi vya mpito timu itakuwa kwenye umbo gani.
Umetuonyesha tactical balance ya Mzamiru na Malone, Je mechi nzima Tactical balance ya Simba ni hapo tu.
Umetuonyesha Chama akiingia ndani na kutoa nafasi kwa beki wa pembeni Ina kuingia.
Pia tuonyesha tyle playing ya timu itakuwa ipi.
Jambo lingine tuonyeshe mambo madogo madogo uwanjani, timu ikiwa na mpira na ikiwa Haina mpira.

Kifupi nimeheshimu mawazo Yako, lakini tutoe heshima kwa makocha kuandaa mpango kazi na kuandaa timu ni kazi ngumu Sana.
Sisi ambao tumekaa kwenye mabenchi kufundisha tunajua hili.

Tanzania ni rahisi mno mtu kumtukana kocha kwa sababu ana fikiri mpira nj rahisi sana.
Kuna mtu nimeona comment yake ana sema Mwalimu wa Simba abadili kisa ana mpanga Saidoo.
Sasa sijuhi ni chuki kwa kocha au ujuaji wa mitandaoni...!!!
Saidoo akipoteza mpira ana fanya pressing kwa wapinzani,
Saidoo ana fanya balance shadow ya kurudi chini kupokea mipira na kutawanya mipira kwa Kasi kubwa.
Kwa sababu ana shuka chini kwa energy kubwa Kuna makosa ana fanya ikiweml kuanguka mara kwa mara kwa sababu ya kutoka eneo kubwa la chini akifata mpira na kwenda nao juu.
Pili kupoteza sana, mipira akiwa amepoteza uwiano na wenzake, sababu ya kuzunguka eneo la chini na kurudi Namba kumi kwa Kasi.

Kwa Nini ana pata nafasi na sio Phiri ?
Phiri ni Namba kumi ambae afanyi pressing zaidi ni Bora mno kwenye kujenga mashambulizi kwa muda wote wa mchezo na ni hatari Sana kwa kufunga akiwa nje au ndani ha box.
Kocha wa Simba ana mpanga Saidoo kwa sababu nyingine...kiungo cha Simba ukimuondoa Ngoma, wengine Kanoute na Mzamiru sio wazuri kupiga pasi kuanzia chini m, hivyo timu Haina balance ya possession mpaka Saidoo ana shuka chini kuchezesha timu akiwa na Ngoma.

Mwisho kocha yoyote ana panga timu yake kwa kuangalia uimara na Udhaifu wa Mpinzani wake.
 
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.

Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui.

Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Mauwa ya kwenye shuka yameonekana kidogo sana..!! Yaani kama uwezekano wa Simba kushinda kwa formation yoyote..!!
 
Unaongelea yao watu wamekaba percy tau na alipoa

Kocha aanze na moses phiri tu as a 9
Chama akae katikati
Huu upande wa kapombe wamuingize israel mwenda second half

Mi sijui huwa anawaza nini kumuweka chama pembeni i think it makes more sense saido na kibu wakitokea pembeni then chama katikati

Sijui ila mimi ni hichi tu nnachoona
Kwa kweli hata mimi sijaelewaga Chama kutokea pembeni halafu Saido katikati[emoji1751][emoji1751]
 
Timu zote kubwa africa hazichezi huu mfumo wa pira biriani
Ni ngumi hasa kufanya vizuri na huu mfumo kama utakutana na wachezaji ambao wamewazidi individual brilliance
Mfumo unawaruhusu wapinzani wajiandae kukulinda
Unakumbuka mechi yenu na Al hilal dar?
Mlikua mnapiga pasi za beseni ila mnashindwa kuingia kwa sababu hii
Bila ya goli la mayele mlikua ile mechi inaisha vile vile
mkuu vp, una la kusema?
 
Back
Top Bottom