Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kwa hiyo utopolo wamelala wanasubiri makolo awafunge.View attachment 2802389
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui. Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Mkuu mi natoka kidogo Nje ya Mada...Ukiendelea hivi unakua mstaarabu sana yani comment ina vitu..hapa hayupo atakae kuita mpuuzi au mjinga.Ujue mtu atakutukana na atashindwa kukujibu kwa hoja kama ukianza zile Reply za Simba ina watu kuliko Yanga halaf utegemee mtu aje akujibu kwa hoja hapo hapana atakujibu tu kwa Matusi ya kuuita we Tahira.
Ni kingine utakua Mstaarabu sana na utaheshimika pale utajitenga na Nyuzi zilizojaa Ushabiki sio kila Nyuzi U Reply sikupangii lakini samahan.
Nahisi umenielewa Mkuu..Sabato Njema.
Magoli mengi mechi ya Simba na yanga yanaanzia kwake, ama atapoteza mpira au atafanya rafu karibu na goli. Mechi ya 2 kwa 2 aliyofunga Balama alipoteza mpira, mechi aliyosawazisha Aziz K kwa free kick alicheza rafu isiyo na maana. Mifano ipo mingi.
Wanasimba kwa kujipa moyoView attachment 2802389
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui. Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Hata ile ya Mwanza mpira ulipotea kwake wakati timu inashambuliaupo sahihi kabisa.
Na mechi nyingine nyingi kabla ya hizo, Mzamiru amakuwa akiifungisha Simba hadi unahisi anahusika kuihujumu.
Mzamiru tungependa asicheze hiyo mechi.
Practically Africa ni timu chache sana zinazoweza kucheza 4-3-3.View attachment 2802389
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui. Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Nilivyoona tu huu mfumo wa mtoa mada (ambao kiukweli uko vizuri), nikawaza Robertinho na mapenzi yake kwa Ntibazonkiza.Mfumo huo ni mzuri sana
Lakini unategemeana na Mfumo wa yanga.
Yanga anawesa akaanza na Back 3
Akianza na Back 3
Mwamnyeto, Nondo na Baka watakuwa salama sana kwenye lango lao
Ili yao au Pakome mmoja wao aanzie Benchi.
Kama pakome na yao wote wakiwa uwanjani maana yake Muzamiru ndio anatakiwa aanze kumzuia max na Yao.
Shida ya simba Robertinho ni mgumu sana kubadirika hawezi akamuacha Saido Benchi(no10).
Hmmmh, hii sio Salama kwa Simba Sc.Kwa taarifa nilizonazo huenda Manula akawa Golini. Kama No 1
mkuu umenenaHapana, yupo sahihi.
Ile fullback mbili ya Yanga inatakiwa uikabie hukohuko juu ili isipande, kinyume na hapo rejeta ya Mohamed Hussein itapasuka.
Mzamiru kwny mechi za Yanga huwa anachemka sana kama ulivyokuwa kwa Jonas Mkude.
Mkimzui Yao upande wa pili kuna Lomalisa na MaxKibu Denis akicheza upande wa Yao, Yao Yao hatakuwa na madhara sana ya kupandisha mipira juu.
Umenena mkuu, jamaa mimi namuonaga mstaarabu saana ila ile jana sijui juzi alizingua.Mkuu mi natoka kidogo Nje ya Mada...Ukiendelea hivi unakua mstaarabu sana yani comment ina vitu..hapa hayupo atakae kuita mpuuzi au mjinga.Ujue mtu atakutukana na atashindwa kukujibu kwa hoja kama ukianza zile Reply za Simba ina watu kuliko Yanga halaf utegemee mtu aje akujibu kwa hoja hapo hapana atakujibu tu kwa Matusi ya kuuita we Tahira.
Ni kingine utakua Mstaarabu sana na utaheshimika pale utajitenga na Nyuzi zilizojaa Ushabiki sio kila Nyuzi U Reply sikupangii lakini samahan.
Nahisi umenielewa Mkuu..Sabato Njema.
Umenena mkuu, jamaa mimi namuonaga mstaarabu saana ila ile jana sijui juzi alizingua.
Kwa formation hiyo, Simba SC inaenda kuibuka na ushindi mapema sana.
Nimejaza viungo Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute, na Mzamiru Yassin ili kuwazuia viungo wa Yanga na kuongeza mashambulizi kwenye lango la adui.
Kanoute anasimama mbele ili kuzuia rafu anazoweza kufanya karibu na lango lake la timu ya Simba.
Simba ni nzuri ila kocha ndio shida, timu inacheza kama gombania goli.
Tatzo lingine ni Simba ikipata goli tu, basi wachezaji wana relax. Kocha hajawahi rekebisha hili tatzo kwa muda sasa..
Lakn zaidi, muda wote timu inashambuliwa. Yaani ukiwa mshabiki wa Simba unaomba mpira uishe, na imekuwa na style hii muda wote tangu Robatinho awepo hapo..
Sijui kwa faida ya nani huyo kocha bado yupo hapo. Na sijui ana ukaribu gani na Boko