Simba SC v Young Africans SC

Bakhresa ndiye anawalipa startv ili warushe mipambano ya Azam wakati timu nyingine zikisubiri kulipwa na wenye tv ili warushe mechi zao. Yani Azam wanakwenda anti clockwise movement lakini wanelekea kufika.

Mkuu Mwita Maranya kumbe na huku unaingia safi sana nimefurahi kukuona huku.Mkakati wa Bhakhresa ni kuhakikisha kwamba Azam inapendwa na ndio maana mechi zote za azama zinaonyeshwa na hasa siku ambayo simba inacheza ama Yanga,huu ni mkakati wake na analipia fedha nyingi sana mkuu.
 
Simba wamefunga vitambaa mikononi sijui vya nini,na inavyoonyesha Yanga tunaanza kusukuma ngozi ya ng'ombe.
 
Acha umbea! Azam tuna kwenda na wakati.
 

Tuko pamoja mkuu, hata mi nimetafuta radio iliyo online nimekutana na Uhuru pekee ndio walio mtandaoni; Ila sidhani kama nitaweza kumaliza maana, leo nna wasiwasi kama simba tutatoka
 
Sìmba anachapwa goli dk 5.ha haa nahama timu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…