Watanzania tusifanywe wajinga, kwa huu uhuni uliofanyika jana na siku za nyuma basi tumtake WALLACE KARIA AJIUZULU, ALMAS KASONGO wa Bodi ya Ligi nae aachie ngazi
Msimu uliopita bodi ya ligi katika kupanga ratiba ya mechi ilishawahi kuisahau Yanga katika kuipangia mechi, ikapita takribani siku Tatu ndipo wadau wakastuka kwamba mbona Yanga haipo ratibani, kiongozi bodi ya ligi akaomba radhi nako ikapita kimya kimya
Marefarii wakifanya mistakes za uwanjani wanakula ban karibu miezi mitatu mpaka mwaka
Sasa kwa hili lililotokea la Simba vs Yanga,,, KARIA na KASONGO muondoke ktk hizo nafasi,, hamfai
#KariaOut
#KasongoOut