Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Mikia ni wasenge kama wasenge wengine tu kwenye nchi hii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaTukiwaambia wamatopeni akili zenu ndio hizi mnakataa bure.
Si umeona hata spika nae ni shabiki wa msimbazi.
Maagizo ya serikali ni mechi kupigwa saa 1.00 usiku. Maagizo haya yakabadilishwa na bodi ya ligi iliyoamua kuahirisha mchezo. Tunategemea serikali iichukulie hatua TFf kwa kutokutekeleza maagizo ya mechi kupigwa saa 1.00 usiku badala yake wakaahirisha!Simba Kama wanatii maagizo na maelekezo ya TFF iweje tena wapinge maelekezo ya kuahirishwa mechi mpaka itakapopangiwa tarehe nyingine? Simba waache uoga na kutaka pointi za mezani ili kukwepa kipigo!
Aisee...aliyeandika hii barua anaidhalilisha club! Hata utumiaji wa font size hajui!...Mungu anamuona!Ifuatayo ni taarifa yao rasmi.View attachment 1778888View attachment 1778889
Ifuatayo ni taarifa yao rasmi.View attachment 1778888View attachment 1778889
Manara anaamgaika sana. Barua nzima ni mipasho kwa Yanga. Hakuna hata sehemu iliyoonesha Yanga wamekiuka kanuni zipi za soka. Daa siamini kuwa hii nia barua rasmi ya Simba. Soon wanakuja kuiruka hiiIfuatayo ni taarifa yao rasmi.View attachment 1778888View attachment 1778889
wechi ya azam taarifa ilitolewa mapema kwamba kuna mashindao ya kurani ikaeleweka kuhusu biashara sikumbuki,suala kubwa jana sababu ni nini ?tunataka kujua wamepeleka mbele kwa ajili gani mbona hawasemiUsiwapambe sana Yanga hata wao wamefanya hivyo sababu wana visasi vyao na TFF, wameona hii mechi ndio ya kulipiza kisasi, mbona mechi za biashara na azam muda ulibadilishwa na wakacheza.
Nilimanara pumbavu zake kabisaaaSimba nao wanakua kama wapuuzi muda mwingine na hii barua inaonekana kabisa ni manara ameiandika
Wajinga Ni wengi Sana hakika, mtaelewa tu na ujinga utawatoka.Usiwapambe sana Yanga hata wao wamefanya hivyo sababu wana visasi vyao na TFF, wameona hii mechi ndio ya kulipiza kisasi, mbona mechi za biashara na azam muda ulibadilishwa na wakacheza.
Je, na mashabiki waliokuwepo uwanjani walipewa taarifa ya mabadiliko ya muda wa mechi na nani SAA ngapi ili nao warekebishe ratiba.Ifuatayo ni taarifa yao rasmi.View attachment 1778888View attachment 1778889
Simba si mtulie msubiri hii mibarua ya nini.