Simba SC yatoa taarifa rasmi, yataka kupewa ushindi kwa Yanga SC kususia kuingiza timu uwanjani

Simba SC yatoa taarifa rasmi, yataka kupewa ushindi kwa Yanga SC kususia kuingiza timu uwanjani

Mkuu kumbuka Simba ni club ,ina uongozi wake na haiendeshwi na mihemuko ya klabu nyingine yoyote Ile ....

wacha kila mtu afanye kulingana na falsafa zake na wanachoona wao ni sahihi.kumbuka Simba hawakugomea suala la mabadiliko ya muda ,sasa unataka hayo maswali yako wakaulize ili iwaje?

Wao walileta team uwanjan na hakukuwa na mechi so Wana haki kudai pointi zao tatu mkuu....

Yanga ndo muulize hayo ....na viongozi wenu.
 
kama Yanga kweli walipigiwa wakakubali then wakademka na kudeka baada ya reaction ya mashabiki wao sioni namna ya deko hilo kutokuchukuliwa adhabu

na kanuni ya 31 inailinda TFF kuwa ikiona ni dharura yaweza ahirisha muda wa mechi

Tatizo ni kwamba kama yanga ilikubaliana na Bodi ya Ligi kama ni kweli siwaungi mkono
Sasa kwa nini jana Simba haikupewa pointi 3 ndugu! Hivi kuna mwamuzi yeyote aliyekuwepo wakati mnauza sura pale uwanjani? Manala anawapatia sana mikia!
 
Barua kama ya posa... Hakuna hata kifungu cha sheria/kanuni kuipa nguvu hoja. Wapi Jery Muro,atukumbushe elimu ya manara
 
M

wechi ya azam taarifa ilitolewa mapema kwamba kuna mashindao ya kurani ikaeleweka kuhusu biashara sikumbuki,suala kubwa jana sababu ni nini ?tunataka kujua wamepeleka mbele kwa ajili gani mbona hawasemi
Ebu tuonyeshe

IMG-20210509-WA0004.jpg
 
Uto waliona kichaka wakamkimbia mnyama hatari. Tusilete ujuaji usio na maana tumeshavumilia mengi iweje tushindwe kuvumilia dakika 120 tu mechi ipigwe? Naungana na simba kwa hili tangu jana jioni, simba imeonesha ukomavu na kutii maagizo ya mamlaka halali. Yanga wamesababisha mashabiki hasara na kuwapotezea muda ukizingatia wengi wametoka mbali na wametumia gharama kufika hapo.

Ushauri: mechi ichezwe ndani ya wiki hii kwasababu wengi walinunua kifurushi cha wiki cha azam ili kuona mechi hii tu! vinginevyo nitaamini azam ni muhusika wa uvurugaji huu ili wanufaike mara 2 kuuza vifurushi vyao kwasababu hakuna muda ambao wanauza vifurushi kuliko kipindi cha mechi ya simba vs uto
 
Uto waliona kichaka wakamkimbia mnyama hatari. Tusilete ujuaji usio na maana tumeshavumilia mengi iweje tushindwe kuvumilia dakika 120 tu mechi ipigwe? Naungana na simba kwa hili tangu jana jioni, simba imeonesha ukomavu na kutii maagizo ya mamlaka halali. Yanga wamesababisha mashabiki wakose uhondo ukizingatia wengi wametoka mbali na wametumia gharama kufika hapo.

Ushauri: mechi ichezwe ndani ya wiki hii kwasababu wengi walinunua kifurushi cha wiki cha azam ili kuona mechi hii tu! vinginevyo nitaamini azam ni muhusika wa uvurugaji huu ili wanufaike mara 2 kuuza vifurushi vyao kwasababu hakuna muda ambao wanauza vifurushi kuliko kipindi cha mechi ya simba vs uto
Yanga siyo timu ya mtu binafsi.
Wananchi wameamua, na imekuwa hivyo. Sasa nyinyi tengezeni sheria za kuiadhibu Yanga.
Kutii maagizo ni ukuwadi, kutii sheria ndiyo ukomavu.
 
Huu mchezo yanga ameupanga vyema ukapangika,sasa Simba analazimishwa kuucheza nje ya uwanja.

Yanga wanajua ni nani alitoa maelekezo yackuongeza muda,wanajua ni kwa nini maelekezo hayo yalitolewa,baadae TFF na bodi ya ligi wakaingia kichwa kichwa katika mchezo wasioujua,yanga wakafunga goli kwa kutumia kanuni,na leongo lao likawa limetimia.Kuikimbia Simba.

Nashauri Simba waende kwa akili sana
Mkuu you really need to come to your sense. Yanga anamkimbiaje Simba? Hiyo game haitachezwa tena?! Au Yanga kahairisha game ili apate muda wa kuwaleta kina Messi na Mbappe wawafunge Simba?! Unakimbiaje mechi ambayo iwe iweje lazima ichezwe?
 
Mikia wanaomba point za mezan kwan waliingia uanjan na refa na wakasubil dk 15 hahaha mikia ni mikia tu
 
Mmetuabisha viongozi wetu narudi tena mmetuabisha mnadhani kwamba mnawakomoa Yanga? Acheni u snitch nchi nzima inataka kujua nani alietoa amri saa saba mchana mechi ihaiirishwe hadi saa moja wakati pre match meeting imefanyika saa nne?

Au toka atekwe Mo Dewji wote mnatetemeka tu? Yanga wamesimama kiume tunataka kujua TFF walipokea maagizo kwa nani na kwa nini?
Kususa ni kusimama kiume?
 
Back
Top Bottom