Mkuu kumbuka Simba ni club ,ina uongozi wake na haiendeshwi na mihemuko ya klabu nyingine yoyote Ile ....
wacha kila mtu afanye kulingana na falsafa zake na wanachoona wao ni sahihi.kumbuka Simba hawakugomea suala la mabadiliko ya muda ,sasa unataka hayo maswali yako wakaulize ili iwaje?
Wao walileta team uwanjan na hakukuwa na mechi so Wana haki kudai pointi zao tatu mkuu....
Yanga ndo muulize hayo ....na viongozi wenu.
wacha kila mtu afanye kulingana na falsafa zake na wanachoona wao ni sahihi.kumbuka Simba hawakugomea suala la mabadiliko ya muda ,sasa unataka hayo maswali yako wakaulize ili iwaje?
Wao walileta team uwanjan na hakukuwa na mechi so Wana haki kudai pointi zao tatu mkuu....
Yanga ndo muulize hayo ....na viongozi wenu.