Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

Simba sherehe kubwa Makombe na Mataji sifuri!

ranking sio kombe punguza kujitetea ujinga.
Umeandika utopolo
Kama siyo ranking hayo makombe yana maana gani kama unaishia kucheza shirikisho? Kuchukua makombe yanamaana kuwa wewe ni timu bora. Sasa kwanini mshindi wa pili anakuzidi wakati hata msimu uliopita ulichukua kombe na ngao ya jamii?
Kwa akili za wanayanga ndiyo maana mkaitwa wananchi na mkashindwa kutamka neno Young Africans mkaishia Yanga.
Unateseka ukiwa wapi Utopolo FC?
 
Wapumbavu kama wewe ndiyo mnasababisha timu yenu iambulie sifuri katika kuwania makombe na mataji!

Washauri Simba waanzishe mandombolo msherekee mwaka mzima!

Futa zero Simba!
Mbona unateseka sana. Shida nini?
Mnaumia sana Simba kuwa club bora Afrika kuliko Yanga au unaumia sana Simba kucheza Champion league mpk robo fainail na kwenda kucheza Super cup.
"Wananchi hawana haki"
 
Umeandika utopolo
Kama siyo ranking hayo makombe yana maana gani kama unaishia kucheza shirikisho? Kuchukua makombe yanamaana kuwa wewe ni timu bora. Sasa kwanini mshindi wa pili anakuzidi wakati hata msimu uliopita ulichukua kombe na ngao ya jamii?
Kwa akili za wanayanga ndiyo maana mkaitwa wananchi na mkashindwa kutamka neno Young Africans mkaishia Yanga.
Unateseka ukiwa wapi Utopolo FC?
Tuonyeshe hiyo ranking hapo Msimbazi halafu mimi nikuonyesha mataji kabatini hapo Jangwani!
 
Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.

Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Wewe una tsh ngao apa mjini
 
Mbona unateseka sana. Shida nini?
Mnaumia sana Simba kuwa club bora Afrika kuliko Yanga au unaumia sana Simba kucheza Champion league mpk robo fainail na kwenda kucheza Super cup.
"Wananchi hawana haki"
Nateseka ZEROS! Huwezi kuwa mzima kichwani?
 
Wapumbavu kama wewe ndiyo mnasababisha timu yenu iambulie sifuri katika kuwania makombe na mataji!

Washauri Simba waanzishe mandombolo msherekee mwaka mzima!

Futa zero Simba!
Wewe ni mjinga mwngine usie na uelewa wa mambo shida wivu na maumivu ya roho ya chuki

Singida, azam, kmc, na wengine wame iga hii toka kwa simba na wanafanya Hao wote hawana makombe ila simba tuu

Inakuwasha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ni mjinga mwngine usie na uelewa wa mambo shida wivu na maumivu ya roho ya chuki

Singida, azam, kmc, na wengine wame iga hii toka kwa simba na wanafanya Hao wote hawana makombe ila simba tuu

Inakuwasha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnapaswa kuomboleza na siyo kusherehekea!

Mnasherekea sifuri! Mbumbumbu fc
 
Hiki kipindi cha usajili na Pre season Yanga mmepatishwa sana na trending za Simba
 
Back
Top Bottom