- Thread starter
- #141
Wenye nchi ndiyo wanyama gani? Sisi ni wananchi!Kunywa maji mengi sana. Kama amepata zero. Mbona unateseka?
Nyie ni wananchi, hawakukosea. Wenye nchi kesho wanajambo lao.
Andamana uchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye nchi ndiyo wanyama gani? Sisi ni wananchi!Kunywa maji mengi sana. Kama amepata zero. Mbona unateseka?
Nyie ni wananchi, hawakukosea. Wenye nchi kesho wanajambo lao.
Andamana uchi
Mnazungusha misimu miwili! Oneni aibu basi!Unateseka ukiwa wapi? Andamana ukiwa uchi, watakusikia
Mizunguko ya jua au mwezi??Mnazungusha misimu miwili! Oneni aibu basi!
Piga vita zero, usinitoe kwenye reli Mama!Mizunguko ya jua au mwezi??
Nyie mlivyozungusha miaka 4??
Leo nakula nao sahani moja mpaka wakiri kuwa wanakosea na waanzishe kampeni ya kufuta zero!A bitter truth... subiri waje kukushambulia
Mtakoma ubishi!Halafu yupo peke ake anakaukwa koo..
Piga vita zero!Kisa tu ya utopolo haikua na mvuto
Miaka minne mlisota bila chochote kamwanga kameanza onekana unakenua hapaPiga vita zero!
Sasa na wewe pambana ili sifuri zisiongezeke!Miaka minne mlisota bila chochote kamwanga kameanza onekana unakenua hapa
Punguza kujielezea weka makombe mezaniUmeandika utopolo
Kama siyo ranking hayo makombe yana maana gani kama unaishia kucheza shirikisho? Kuchukua makombe yanamaana kuwa wewe ni timu bora. Sasa kwanini mshindi wa pili anakuzidi wakati hata msimu uliopita ulichukua kombe na ngao ya jamii?
Kwa akili za wanayanga ndiyo maana mkaitwa wananchi na mkashindwa kutamka neno Young Africans mkaishia Yanga.
Unateseka ukiwa wapi Utopolo FC?
Mpaka washike adabu zao!Duuh umewashika pabaya saa hizi wapo hoi bin taabani!
Kwani luc eymael anasemaje?Hivi zero zikiwa nyingi ni ZEROS eh?
Hiyo misimu miwili kawekeni kioo pale jangwani muendelee kuangalia sisi tunachanja mbuga mbele kwa mbeleTujadili misimu miwili iliyopita mliyoambulia ZERO!
Weka makombe mezani, acha longolongo!Kwani luc eymael anasemaje?
Wewe una kombe gani ambalo simba hana au ni huo mwiko huko nyuma unakutesaWeka makombe mezani, acha longolongo!
Futa zero Simba!