Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hamna point hapo,kuna asec hapo wakifika hatua nzuri nanyi mkaboronga point zitaenda ivory coast,na kuhusu ushiriki wa caf msimu ujao Yanga tunaenda wenyewe kama machampion sasa borongeni huko msimu ujao mtulie hapa nyumbani maana msimu huu Yanga atuachi kituBasi jibu unalo.. maana sisi kwa kuingia tu makundi tumeongeza point..na tumewapa mbeleko nyie mwakani mje mtolewe tena round ya kwanza
😂😂😂 mmeotea tu nyie mikia
Hamna point hapo,kuna asec hapo wakifika hatua nzuri nanyi mkaboronga point zitaenda ivory coast,na kuhusu ushiriki wa caf msimu ujao Yanga tunaenda wenyewe kama machampion sasa borongeni huko msimu ujao mtulie hapa nyumbani maana msimu huu Yanga atuachi kitu
Mkuu keshokutwa hapo lupaso stadium lazima nikupasueMapokezi fc
kwa hiyo km kaizer alifeli kwenye ligi ya kwao ndiyo simba ikawa na advantage Sasa wewe lawama zako kwa Simba ni zipi.Mikia mnahitajika mirembe,hiyo 10 bora ya kuanza raundi ya pili ya caf mliingia pale baada ya kaizer chief kukosa ushiriki wa michuano ya kimataifa baada ya kushika nafasi ya 7 kule psl,kumbukeni caf last year mlitolewa na kaizer chief robo fainali,kwahiyo kwa ujinga wenu mnataka kusema kiviwango mmewazidi hadi kaizer ambao waliwatoa wydad kwenye nusu na kucheza fainali na aly ahl!
Wewe wasema. Baada ya dakika 90 tuje hapa kila mmoja na thread yake sawa .. na mechi ya jmos ya kawaida tu maana tunashinda kama kawaida hatuna cha kupoteza tunacheza na timu ndogo tuMkuu keshokutwa hapo lupaso stadium lazima nikupasue
Chang'aa ikishapanda kichwani utashindwaje wakati wewe ni Zuzu.Hii ni tweet ya mlevi mmoja ambaye alikuwa bar tu baada ya kunywa dompo ......
Hata Mimi naweza panga list ya club Bora Africa na nikapost ..
kawaida ya watu wenye malengo madogo wanawaza vitu vidogo vidogo.Hizo mbwembwe tu ubora wako onyesha Jumamosi,Jumamosi si mbali utakumbana nae tu hatakama umekimbia Mapinduzi lazima uteseke kila ukimuona Yanga hofu juu juu kipigo lazima tena Cha mbwa mwizi,Simba walijaribu kuandika barua Bodi ya ligi isogeze mchezo mbele wakagomewa hahahahaaaaa huna pa kukimbilia lazima utafunwe tena vizuri tu na historia itawekwa,Kule Aucho,huku Bangala,hapa Mayele,hapo J Moloko,Kule Djuma shabani huku Saido Ntibazonkiza hapa Mukoko,Kule David Bryson,Huku Mwamnyeto hapa Dicksoni Jobu yani ni hatariiiiiiiiii haijawahi kutokea Simba wamejawa na hofu hatariiiii
Weka source ya hii taarifa yako kama hakuna wewe ni 0 brain.Greetings!
Simba Sports Club ( Wana Lunyasi) wameshika nafasi ya 6 kati ya timu 30 bora barani Africa, kwa mujibu wa list iliyotolewa leo mapema na shirikisho la soka Africa (CAF). Zaidi ya hilo ni kwamba Simba imekuwa timu ya 2 kwa ubora kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwa nyuma ya Mamelodi Sundown ya Africa kusini. Na imekuwa ni club bora ya kwanza Afrika Mashariki na Kati... Maana yake ni kwamba ni rasmi imeipiku Tp Mazembe. Haya wale wa kununa wanune....kama timu yako huioni hapo kubali ukweli timu yako bado sanaaa
View attachment 2038385
Achana na sisi bana, siwezi shabikia mikia mna masifa sana, tukutane tar 11, kimoko tu kinawatosha😂Mdada mzuriiiiii km wewe kwanini unajipa mateso ya kuishabikia utopwinyo.. hupendezei kuwa huko😂😂😂😂
hivi hujui kodi alizokuwa anakwepa kupitia home shopping center au ulikuwa hujahamia mjiniMnakimbia hahahaaaa Simba kageuka kuwa Panya kwa Paka mtakimbia sana mpaka mkome yani GSM ni habari nyingine huyo mwarabu anajua kumwaga hela balaa siyo mbahili kama hiyo Hindi yenu hata msaada haijawahi kutoa kwa jamii nenda kaangalia serikalini misaada aliyotoa kampuni ya GSM ikiwemo kujenga madarasa,Nyumba za walimu,Kuchimba visima,Kujenga zahanati,kusomesha watoto masikini,kujenga nyumba za ibada,Kupeleka watu hija n.k ,Mambo hayo Mo hayawezi hata Kidogo bahili sana hiyo hindi
Wote humu ukiwaomba official link juu ya hiyo list wanapotea, wanaokoteza vi list vya wachambuzi wa insta wanakwambia list imetoka [emoji3] ukienda CAF website holla [emoji3]Hii ni tweet ya mlevi mmoja ambaye alikuwa bar tu baada ya kunywa dompo ......
Hata Mimi naweza panga list ya club Bora Africa na nikapost ..
CUF ya Lipumba tena [emoji3]Itakua hiyo list imetolewa na CUF sio CAF au itakuwa caf ya buza [emoji23][emoji23][emoji23]
Brother.. mimi nina ombi moja, tuwekee link hapa toka kwenye official web ya CAF tuangalie, haya mengine tutajadili baadae, weka link tuPengine hujaenda shule hali inayochangia kutokujua umuhimu wa takwimu.
Yanga hawapo ktk timu 20 zitakazoshiriki CAF SUPER LEAGUE, Unajua Kwan, takwimu zimekataa. Hana Ubora.
Kuna wakati nilisika Yanga walituma maombi wakakataliwa.Nguvu ya takwimu haiongopi.
Kuna nchi tajiri na zilizoendelea,zinazoendelea na maskini.
Kwanini Sasa hivi Yanga wanasema lazima wachukue ubingwa wa NBC Premier League Kuna maana gani?
Kwanini Yanga anajivuna Ni bingwa wa kihistoria wa ligi yetu? Ni takwimu zinaongea.
Unataka kusema Yanga hawataki kuwa klabu KUBWA (siyo kongwe) Afrika ktk viwango? Bali wabaki kuteseka na Namungo tu.
Atapata wapi wakati uwezo wake wa kufikiri ni mdogo.Brother.. mimi nina ombi moja, tuwekee link hapa toka kwenye official web ya CAF tuangalie, haya mengine tutajadili baadae, weka link tu
Jiondoe kwenye kundi la kuamini uzushi kirahisi kama hivi. Hata kama Simba ni wazuri ndo wawe wa 6 Afrika kwa sasa wakati kuna timu zaidi ya 20 zimefuzu juu zaidi yake? Sina ushabiki wa Usimba na Uyanga lakini huwa sipendi uzushi.Halafu eti Simba SC inakwenda kucheza na Gongowazi iliyoshika nafasi ya 389
Duniani hakuna usawa..!
Tumia akili bana, haiwezekani kipindi kilichopita hao Simba walikuwa wa 6 alafu watu wasijue afadhali ungekaa kimya ili ufiche ujinga wako.Greetings!
Simba Sports Club ( Wana Lunyasi) wameshika nafasi ya 6 kati ya timu 30 bora barani Africa, kwa mujibu wa list iliyotolewa leo mapema na shirikisho la soka Africa (CAF). Zaidi ya hilo ni kwamba Simba imekuwa timu ya 2 kwa ubora kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwa nyuma ya Mamelodi Sundown ya Africa kusini. Na imekuwa ni club bora ya kwanza Afrika Mashariki na Kati... Maana yake ni kwamba ni rasmi imeipiku Tp Mazembe. Haya wale wa kununa wanune....kama timu yako huioni hapo kubali ukweli timu yako bado sanaaa
View attachment 2038385
hoja ungetafuta chanzo cha takwimu zenyewe. Na sijaelewa Ni takwimu zipi zinazokuonyesha Simba kashuka viwango. Ni vigezo gani vinakupa nguvu kitakwimu.
Takwimu inakuwa ya uongo pale unapothibitisha kupita shaka uongo wake. Na hatimaye ukaweka ukweli wake.
Mkuu huwa naona comments zako nyingi unasema hauna ushabiki wa Simba na Yanga,Jiondoe kwenye kundi la kuamini uzushi kirahisi kama hivi. Hata kama Simba ni wazuri ndo wawe wa 6 Afrika kwa sasa wakati kuna timu zaidi ya 20 zimefuzu juu zaidi yake? Sina ushabiki wa Usimba na Uyanga lakini huwa sipendi uzushi.
Skia ww, naweza kuwa na elimu kukuliko alafu uhalisia tu hv vitu hata sinvya kuhitaji elimu hata standard 7 anaelewa michongo.. Mimi hata kama ni Yanga damu sijawahi jisifia kuwa club yangu ni kongwe na ha kihistoria, For now naamini club yangu ni Imara na Inaupiga mwingi kama Rais wangu mam Samia huyo kolos waliomweka namba 6 Hana uwezo wa kuifika Yanga for now na ranks zao wapeleke huko kwenye Viba100.Pengine hujaenda shule hali inayochangia kutokujua umuhimu wa takwimu.
Yanga hawapo ktk timu 20 zitakazoshiriki CAF SUPER LEAGUE, Unajua Kwan, takwimu zimekataa. Hana Ubora.
Kuna wakati nilisika Yanga walituma maombi wakakataliwa.Nguvu ya takwimu haiongopi.
Kuna nchi tajiri na zilizoendelea,zinazoendelea na maskini.
Kwanini Sasa hivi Yanga wanasema lazima wachukue ubingwa wa NBC Premier League Kuna maana gani?
Kwanini Yanga anajivuna Ni bingwa wa kihistoria wa ligi yetu? Ni takwimu zinaongea.
Unataka kusema Yanga hawataki kuwa klabu KUBWA (siyo kongwe) Afrika ktk viwango? Bali wabaki kuteseka na Namungo tu.