Simba Sports Club imeshika no 6 ya Club bora Africa

Simba Sports Club imeshika no 6 ya Club bora Africa

Basi jibu unalo.. maana sisi kwa kuingia tu makundi tumeongeza point..na tumewapa mbeleko nyie mwakani mje mtolewe tena round ya kwanza
Hamna point hapo,kuna asec hapo wakifika hatua nzuri nanyi mkaboronga point zitaenda ivory coast,na kuhusu ushiriki wa caf msimu ujao Yanga tunaenda wenyewe kama machampion sasa borongeni huko msimu ujao mtulie hapa nyumbani maana msimu huu Yanga atuachi kitu
 
Mapokezi fc
Hamna point hapo,kuna asec hapo wakifika hatua nzuri nanyi mkaboronga point zitaenda ivory coast,na kuhusu ushiriki wa caf msimu ujao Yanga tunaenda wenyewe kama machampion sasa borongeni huko msimu ujao mtulie hapa nyumbani maana msimu huu Yanga atuachi kitu
 
Mikia mnahitajika mirembe,hiyo 10 bora ya kuanza raundi ya pili ya caf mliingia pale baada ya kaizer chief kukosa ushiriki wa michuano ya kimataifa baada ya kushika nafasi ya 7 kule psl,kumbukeni caf last year mlitolewa na kaizer chief robo fainali,kwahiyo kwa ujinga wenu mnataka kusema kiviwango mmewazidi hadi kaizer ambao waliwatoa wydad kwenye nusu na kucheza fainali na aly ahl!
kwa hiyo km kaizer alifeli kwenye ligi ya kwao ndiyo simba ikawa na advantage Sasa wewe lawama zako kwa Simba ni zipi.

Unaongea as if Simba ndiyo sababu ya kaizer kushika nafasi ya Saba au km siyo Simba Kaizer angeingia kumi bora.

Sijaelewa hoja yako ni ipi hapa. Au ndiyo Uzuzu wenyewe.

Utopoloni hakuna mwenye akili.
 
Mkuu keshokutwa hapo lupaso stadium lazima nikupasue
Wewe wasema. Baada ya dakika 90 tuje hapa kila mmoja na thread yake sawa .. na mechi ya jmos ya kawaida tu maana tunashinda kama kawaida hatuna cha kupoteza tunacheza na timu ndogo tu
 
Hii ni tweet ya mlevi mmoja ambaye alikuwa bar tu baada ya kunywa dompo ......

Hata Mimi naweza panga list ya club Bora Africa na nikapost ..
Chang'aa ikishapanda kichwani utashindwaje wakati wewe ni Zuzu.

Dompo Vs Gongo🤣🤣
 
Hizo mbwembwe tu ubora wako onyesha Jumamosi,Jumamosi si mbali utakumbana nae tu hatakama umekimbia Mapinduzi lazima uteseke kila ukimuona Yanga hofu juu juu kipigo lazima tena Cha mbwa mwizi,Simba walijaribu kuandika barua Bodi ya ligi isogeze mchezo mbele wakagomewa hahahahaaaaa huna pa kukimbilia lazima utafunwe tena vizuri tu na historia itawekwa,Kule Aucho,huku Bangala,hapa Mayele,hapo J Moloko,Kule Djuma shabani huku Saido Ntibazonkiza hapa Mukoko,Kule David Bryson,Huku Mwamnyeto hapa Dicksoni Jobu yani ni hatariiiiiiiiii haijawahi kutokea Simba wamejawa na hofu hatariiiii
kawaida ya watu wenye malengo madogo wanawaza vitu vidogo vidogo.

Unawaza mechi moja ukidhani ndiyo kigezo Cha kuwa juu ktk viwango vya CAF.

Kwa Simba mechi ya Jumamosi Ni sawa na mechi nyingine ya Biashara, Dodoma jiji, namungo na geita.

Unaweza kushinda hiyo jumamosi lkn ubingwa bado si wako.

Mazuzu cjui mnawazaje.
 
Greetings!
Simba Sports Club ( Wana Lunyasi) wameshika nafasi ya 6 kati ya timu 30 bora barani Africa, kwa mujibu wa list iliyotolewa leo mapema na shirikisho la soka Africa (CAF). Zaidi ya hilo ni kwamba Simba imekuwa timu ya 2 kwa ubora kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwa nyuma ya Mamelodi Sundown ya Africa kusini. Na imekuwa ni club bora ya kwanza Afrika Mashariki na Kati... Maana yake ni kwamba ni rasmi imeipiku Tp Mazembe. Haya wale wa kununa wanune....kama timu yako huioni hapo kubali ukweli timu yako bado sanaaa

View attachment 2038385
Weka source ya hii taarifa yako kama hakuna wewe ni 0 brain.
 
Mnakimbia hahahaaaa Simba kageuka kuwa Panya kwa Paka mtakimbia sana mpaka mkome yani GSM ni habari nyingine huyo mwarabu anajua kumwaga hela balaa siyo mbahili kama hiyo Hindi yenu hata msaada haijawahi kutoa kwa jamii nenda kaangalia serikalini misaada aliyotoa kampuni ya GSM ikiwemo kujenga madarasa,Nyumba za walimu,Kuchimba visima,Kujenga zahanati,kusomesha watoto masikini,kujenga nyumba za ibada,Kupeleka watu hija n.k ,Mambo hayo Mo hayawezi hata Kidogo bahili sana hiyo hindi
hivi hujui kodi alizokuwa anakwepa kupitia home shopping center au ulikuwa hujahamia mjini
 
Hii ni tweet ya mlevi mmoja ambaye alikuwa bar tu baada ya kunywa dompo ......

Hata Mimi naweza panga list ya club Bora Africa na nikapost ..
Wote humu ukiwaomba official link juu ya hiyo list wanapotea, wanaokoteza vi list vya wachambuzi wa insta wanakwambia list imetoka [emoji3] ukienda CAF website holla [emoji3]
 
Pengine hujaenda shule hali inayochangia kutokujua umuhimu wa takwimu.

Yanga hawapo ktk timu 20 zitakazoshiriki CAF SUPER LEAGUE, Unajua Kwan, takwimu zimekataa. Hana Ubora.

Kuna wakati nilisika Yanga walituma maombi wakakataliwa.Nguvu ya takwimu haiongopi.

Kuna nchi tajiri na zilizoendelea,zinazoendelea na maskini.

Kwanini Sasa hivi Yanga wanasema lazima wachukue ubingwa wa NBC Premier League Kuna maana gani?

Kwanini Yanga anajivuna Ni bingwa wa kihistoria wa ligi yetu? Ni takwimu zinaongea.

Unataka kusema Yanga hawataki kuwa klabu KUBWA (siyo kongwe) Afrika ktk viwango? Bali wabaki kuteseka na Namungo tu.
Brother.. mimi nina ombi moja, tuwekee link hapa toka kwenye official web ya CAF tuangalie, haya mengine tutajadili baadae, weka link tu
 
Brother.. mimi nina ombi moja, tuwekee link hapa toka kwenye official web ya CAF tuangalie, haya mengine tutajadili baadae, weka link tu
Atapata wapi wakati uwezo wake wa kufikiri ni mdogo.

Mwenye akili atajiuliza kipindi kilichopita Simba alikuwa wa 6 alafu taarifa hizo hazikuwepo na kipindi hiki amebakia nafasi hiyohiyo ya 6.
 
Halafu eti Simba SC inakwenda kucheza na Gongowazi iliyoshika nafasi ya 389

Duniani hakuna usawa..!
Jiondoe kwenye kundi la kuamini uzushi kirahisi kama hivi. Hata kama Simba ni wazuri ndo wawe wa 6 Afrika kwa sasa wakati kuna timu zaidi ya 20 zimefuzu juu zaidi yake? Sina ushabiki wa Usimba na Uyanga lakini huwa sipendi uzushi.
 
Greetings!
Simba Sports Club ( Wana Lunyasi) wameshika nafasi ya 6 kati ya timu 30 bora barani Africa, kwa mujibu wa list iliyotolewa leo mapema na shirikisho la soka Africa (CAF). Zaidi ya hilo ni kwamba Simba imekuwa timu ya 2 kwa ubora kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwa nyuma ya Mamelodi Sundown ya Africa kusini. Na imekuwa ni club bora ya kwanza Afrika Mashariki na Kati... Maana yake ni kwamba ni rasmi imeipiku Tp Mazembe. Haya wale wa kununa wanune....kama timu yako huioni hapo kubali ukweli timu yako bado sanaaa

View attachment 2038385
Tumia akili bana, haiwezekani kipindi kilichopita hao Simba walikuwa wa 6 alafu watu wasijue afadhali ungekaa kimya ili ufiche ujinga wako.
 
hoja ungetafuta chanzo cha takwimu zenyewe. Na sijaelewa Ni takwimu zipi zinazokuonyesha Simba kashuka viwango. Ni vigezo gani vinakupa nguvu kitakwimu.

Takwimu inakuwa ya uongo pale unapothibitisha kupita shaka uongo wake. Na hatimaye ukaweka ukweli wake.

Chanzo cha takwimu ninayoijua mimi ambayo ni official haijaiweka simba katika nafasi ya sita. Kama unayo official rank kutoka CAF tuwekee link hapa.

Kuhusu kushuka kiwango ni kwamba point zinazotolewa kwenye klabu bingwa na kwenye shirikisho ni tofauti. Kwenye shirikisho point zinakuwa chini yaani ukishika nafasi ya mwisho kwenye kundi unapata point 0.5 *5 wakati kwenye klabu bingwa ni point 1*5. Hivyo unaona simba imeenda kucheza mashindano ya ngazi ya chini kuliko msimu uliopita. Ili simba apate point zinazofanana na alizopata msimu uliopita anabido afike nusu fainali kwenye shirikisho. Na pia kwenye rank itategemea timu zingine zitafanya nini, kumbuka tu kwamba Kaizer chiefs ndani ya miaka mitano katokelezea mara moja tu lakini kapata point nyingi zaidi ya simba aliyetokeza klabu bingwa kwa misimu muwili
 
Jiondoe kwenye kundi la kuamini uzushi kirahisi kama hivi. Hata kama Simba ni wazuri ndo wawe wa 6 Afrika kwa sasa wakati kuna timu zaidi ya 20 zimefuzu juu zaidi yake? Sina ushabiki wa Usimba na Uyanga lakini huwa sipendi uzushi.
Mkuu huwa naona comments zako nyingi unasema hauna ushabiki wa Simba na Yanga,

Lakini kwa kukufatilia kwangu wewe ni mwanayanga mzuri tu, sasa sijui huwa unatanguliza kauli za hauna ushabiki wa usimba na uyanga ili upate nini, si useme tu wewe ni Yanga, kwani kuna atakayekuua??
 
Pengine hujaenda shule hali inayochangia kutokujua umuhimu wa takwimu.

Yanga hawapo ktk timu 20 zitakazoshiriki CAF SUPER LEAGUE, Unajua Kwan, takwimu zimekataa. Hana Ubora.

Kuna wakati nilisika Yanga walituma maombi wakakataliwa.Nguvu ya takwimu haiongopi.

Kuna nchi tajiri na zilizoendelea,zinazoendelea na maskini.

Kwanini Sasa hivi Yanga wanasema lazima wachukue ubingwa wa NBC Premier League Kuna maana gani?

Kwanini Yanga anajivuna Ni bingwa wa kihistoria wa ligi yetu? Ni takwimu zinaongea.

Unataka kusema Yanga hawataki kuwa klabu KUBWA (siyo kongwe) Afrika ktk viwango? Bali wabaki kuteseka na Namungo tu.
Skia ww, naweza kuwa na elimu kukuliko alafu uhalisia tu hv vitu hata sinvya kuhitaji elimu hata standard 7 anaelewa michongo.. Mimi hata kama ni Yanga damu sijawahi jisifia kuwa club yangu ni kongwe na ha kihistoria, For now naamini club yangu ni Imara na Inaupiga mwingi kama Rais wangu mam Samia huyo kolos waliomweka namba 6 Hana uwezo wa kuifika Yanga for now na ranks zao wapeleke huko kwenye Viba100.

Naendeleza kukukumbusha tu kesho kutwa kipigo kipo palepale kwa Mkapa.
 
Back
Top Bottom