Hizo mbwembwe tu ubora wako onyesha Jumamosi,Jumamosi si mbali utakumbana nae tu hatakama umekimbia Mapinduzi lazima uteseke kila ukimuona Yanga hofu juu juu kipigo lazima tena Cha mbwa mwizi,Simba walijaribu kuandika barua Bodi ya ligi isogeze mchezo mbele wakagomewa hahahahaaaaa huna pa kukimbilia lazima utafunwe tena vizuri tu na historia itawekwa,Kule Aucho,huku Bangala,hapa Mayele,hapo J Moloko,Kule Djuma shabani huku Saido Ntibazonkiza hapa Mukoko,Kule David Bryson,Huku Mwamnyeto hapa Dicksoni Jobu yani ni hatariiiiiiiiii haijawahi kutokea Simba wamejawa na hofu hatariiiii