Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="width: 45"]
flash.gif
67'[/TD]
[TD="width: 186, align: right"]Arsenal[/TD]
[TD="width: 51, align: center"]0 - 0[/TD]
[TD="width: 186"]Sunderland[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="width: 45"]
flash.gif
67'[/TD]
[TD="width: 186, align: right"]Fulham[/TD]
[TD="width: 51, align: center"] 4 - 0 [/TD]
[TD="width: 186"]Norwich C.[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="width: 45"]
flash.gif
67'[/TD]
[TD="width: 186, align: right"]Queens Park R.[/TD]
[TD="width: 51, align: center"] 0 - 3 [/TD]
[TD="width: 186"]Swansea C.[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="width: 45"]
flash.gif
67'[/TD]
[TD="width: 186, align: right"]Reading[/TD]
[TD="width: 51, align: center"] 0 - 1 [/TD]
[TD="width: 186"]Stoke C.[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="width: 45"]
flash.gif
67'[/TD]
[TD="width: 186, align: right"]West Bromwich A.[/TD]
[TD="width: 51, align: center"] 2 - 0 [/TD]
[TD="width: 186"]Liverpool[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="width: 45"]
flash.gif
67'[/TD]
[TD="width: 186, align: right"]West Ham U.[/TD]
[TD="width: 51, align: center"] 1 - 0 [/TD]
[TD="width: 186"]Aston Villa[/TD]

[TD="colspan: 4"][/TD]

[TD="width: 45"] 17:30[/TD]
[TD="width: 186, align: right"]Newcastle U.[/TD]
[TD="width: 51, align: center"]? - ?[/TD]
[TD="width: 186"]Tottenham H.[/TD]
 
Simba iwalee vizuri hawa vijana ili vipaji vyao vizidi kuimarika na hatimaye waweze kufika mbali kisoka ndani na nje ya tanzania
 
Natamani tukutana na Yanga tukiwa na timu hii tuwafunge wiiki...

Yanga hawawezi kukubali kukutana na mnyama bado wanakumbukumbu maba 5 bila. ndiyo maana walijitoa na wanakimbilia kukamatakamata tu kila mchezaji anayeonekana kuivutia simba.Wakumbuke majina hayachezi
 
Simba iwalee vizuri hawa vijana ili vipaji vyao vizidi kuimarika na hatimaye waweze kufika mbali kisoka ndani na nje ya tanzania
Kweli hayo mamilioni wanaowapa anina Lino na mizingo mingine wawalee vizuri na makocha wazawa wawapeleke shule....
 
Hongera sana vijana wa Simba, nawashukuru sana wakuu kwa update zenu leo muda mrefu nilikuwa offline hope tutakuwa pamoja siku ya tarehe 25 dhidi ya Azam. hongera sana Abuu, Miraji, Double Hassan, Seseme, Singano, Sekule, Eddo, Lucian, Ndemla, Harun na wachezaji wote pamoja na makocha Selemani Matola na Amri Said kwa kuwajenga vijana vizuri.
 
Kijana Eddo nimemkubali kwa mpira wake.Nadhani kocha atampa nafasi mara kwa mara ya kucheza wakati ligi itakapoanza kutimua vumbi

Zile dakika 20 za mwisho watazipata sana...kuwaamini hawa madoko unapaswa kuwa na moyo kama wa wenger...Simba hata mechi za kirafiki kaseja anakaa golini sasa siku kaumia au anakadi si maumivu tu...
 
Hongera sana vijana wa Simba, nawashukuru sana wakuu kwa update zenu leo muda mrefu nilikuwa offline hope tutakuwa pamoja siku ya tarehe 25 dhidi ya Azam. hongera sana Abuu, Miraji, Double Hassan, Seseme, Singano, Sekule, Eddo, Lucian, Ndemla, Harun na wachezaji wote pamoja na makocha Selemani Matola na Amri Said kwa kuwajenga vijana vizuri.

Pamoja sana mkuu kesho nitakuwa sheikh Amri Abeid kuwaletea mechi ya kirafiki kati ya Simba na FC Leopard ya kenya....
 
Back
Top Bottom