Aisee 8 years of career mbona inaelekea kubaya tena ?

Mara nyingi wasipotaja tatizo, unakuta tatizo lenyewe ni kubwa zaidi, au ni la aibu, au ni mgongano wa kimaslahi.

Ngoja tuone watamalizaje, I hope busara zitatumika.
 
Mara nyingi wasipotaja tatizo, unakuta tatizo lenyewe ni kubwa zaidi, au ni la aibu, au ni mgongano wa kimaslahi.

Ngoja tuone watamalizaje, I hope busara zitatumika.
Sure I hope watalimaliza kikubwa.

Jamaa kaitumikia klabu kwa mafanikio miaka 8 mpaka sasa.

Natamani akae simba mpaka atakapostaafu soka tu.
 
Hivi ndo msimamo ulivo mpaka wakati tunapoelekea mwisho kabisa mwa 2020. Hutaki kameze tikiti maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…