grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Mkuu naomba nikushtaki kwa kusababisha nyufa katika mbavu zangu.....Samahani hii si mahali pake lakini nauliza tuu, jee wale waliokuwa wanaenda Mauritius wamefanikiwa? Maana kuna mtu kaniambia baada ya kukosa usafiri wa pipa walipewa MV Dar es salaam ile ya saa 3 mpaka Bagamoyo? Ila mpaka huko si watafika jumatano na refa kesha ondoka