Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
FB_IMG_1583694503186.jpg
 
Kikosi cha kuanza tarehe 08/02/2020 dhidi ya Yanga.

1. Manula
Yuko vizuri kwa sasa
2. Kapombe
Anakaba na kushambulia
3. Hussein
Anakaba na kushambulia, aache kupaniki wakati mwingine.
4. Mzee Nyoni
Anakaba na kufunga magoli kabisaa.
5. Mzee Wawa
Mtu mwenye hadhi ya Usultani.
Sultan Suleiman Khan, mlinzi wa Himaya ya Ottoman.
6. Mkude
Mkudesimba.
7. Luiz M
Anakasi ya Volvo na akiliangalia goli ni goli.
8. Cletus Chota Chama.
Mtaalamu wa kudrive mipira na kutoa pasi makini.
9. Kagere MK14,
Jitu na Nusu, ndiye mfungaji Bora wa Ligi.
10. Deo Kanda.
Anapo onekana ujue keshafunga goli.
11. Kahata.
Hapa nimekosa cha kusema kabisa.

Hiki ndicho kikosi Bora kabisa Afrika Mashariki na Kati.
Ndicho kikosi ambacho katika dakika 90 lazima kifunge magoli kuanzia mawili na kuendelea.

Matola kama sio Majeruhi hawa ndio walikupa heshima katika Mechi zote ngumu.

Amina Selehe.






Sent using Jamii Forums mobile app
Kikosi changu hiki Matola na John Boko wamekivuruga na matokeo wameyaona.
MO Dewji amua Moja.
Kama Nia yako ni kuwachezesha rafiki zako akina John Boko, Santos, Kenedi, Shamte, Nk. Basi tuambie,ili ufulahie chenga twawala basi Sawa.
Toka dakika ya Kwanza tumeshambiliwa na Yanga ila wachezaji wako wali relax tu, Kwa kujiona wanajua.
Kama Nia yako ni kufika mbali na kutengenezaFaida basi, Kwanza Mfukuze kaptain John Boko maana ndiye anayemshauri kocha Nani acheze na Nani abaki, na yeye anajichagua wakati anajua ni mbovu Sana.
Nakishauri MO mwachie timu Jonh Boko, maana Kwanza ana Kiburi na pili yeye ndiye mpangaji wa kila kitu.
Na anaifanya Simba kuwa ni timu yake Binafsi.
Huyo ndiye anaye kuhujumu.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sihusiki na kuwalipa Mshahara wachezaji wa Simba. Kama ningehusika ningewalipa Mshahala wachezaji kumi tu.
wachezaji wa Simba SC, endeleeni kuidhalilisha jamii ya Simba,
Iko siku mtalipa madhira yote.
Mtalipa Mtalipa Mtalipa.
Dakia 90 hata goli la Ofside Hamna...!
Mnawafikiria Mahawala zenu tu, ni kama ndio waliowaleta hapo Simba na kuwalipa Mishahara.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sihusiki na kuwalipa Mshahara wachezaji wa Simba. Kama ningehusika ningewalipa Mshahala wachezaji kumi tu.
wachezaji wa Simba SC, endeleeni kuidhalilisha jamii ya Simba,
Iko siku mtalipa madhira yote.
Mtalipa Mtalipa Mtalipa.
Dakia 90 hata goli la Ofside Hamna...!
Mnawafikiria Mahawala zenu tu, ni kama ndio waliowaleta hapo Simba na kuwalipa Mishahara.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeingia na wewe ukafunge hilo goli kama mpira ni rahisi hivyo
 
Natangaza rasmi hili jukwaa pia ni la Yanga until further notice, mwanasimba ukionekana hapa utakuwa umevunja kanuni na taratibu..

Cc Shadeeya tunaomba ulisimamie hili
 
Ndugu zangu wanamsimbazi tukubali tunashinda kiujanja ujanja tu na hatuna timu basi tu,mabeki wetu wamezeeka sana,bila mbeleko tungekuwa wa 6 huko,mtani Shadeeya punguza sauti sauti kidogo
Screenshot_20200309-103503.png
 
Back
Top Bottom