Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Hongera Mnyama simba mbele kwa mbele kazi moja tu ni kushinda mechi zote zinazowakabiri.Mungu awasaidie tupo nguvu moja hadi CAF
 
Safi sana wachezaji wa Simba,kocha, vgz na wanachama kwa kweli mnatupa raha mashabiki.Tunawaombea muwe na nguvu hiyo hiyo kwenye mechi zote zilizoko mbeleni yenu.
 
mnyamaaaaaaaaaaaaaaaa...hahahaha...ule mshuti wa okwi waarabu wote kimyaaaaaa
 
Nizaanatua msimbaziii
35075_143998785616510_100000191670875_424679_1514444_n.jpg
 
Waungwana leo mbona kimya au mimi ndio nimekosea kusoma latiba, Crashwise we need u here pls Mkuu
 
Back
Top Bottom