Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Ahsante Simba kwa Ushindi mnono
mapungufu niliyoyaona ni haya

Timu inakaba kwenye 18 inaruhusu maadui kucheza wanavyotaka.

Onyango Ni Mzee au nasema uwongo jamani???

Uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ndiyo umeibeba timu

Man of the match sijui nimpe chama, kapombe au bwalya miquison atajisikia vibaya lakini naye kajituma

John Bocco ni super sub.

Kwa sasa hivi kuilinganisha Simba na timu yoyote hapa Tanzania na Africa mashariki utakuwa ni mgonjwa wa Akili.

This. Is Simba and mission Accomplished [emoji122][emoji122][emoji122][emoji41][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]✓
 
Simba rahaaa,stress zote za maisha unakuta zimeisha!Wiki hii nzima full shangwe!Hizi ndio mood za kuombewa hela,yaani mchepuko hapa ukinipiga mzinga natoa kwa wepesi kabisa!
 
Yes!!, Hii ndo Simba....


Manyani wana mengi ya kujifunza kwa Simba hii.....

wasione aibu....Chama, Konde boy na Bwalya....watatoa semina kwa manyani
 
6D9A1091-0C38-4704-81F3-9D75783158E2.jpeg
 
Sioni maajabu kwa Sven nilishasema mwanzo ktk miaka mitano iliyopita haijawahi kupata kocha wa ajabu km huyu. Nilikuwa nahudhuria MO Arena kuangalia Ila nilistop baada ya kutoshawishiwa na mbinu zake. Leo matokeo yote kwangu ni sahihi aliposhinda away alikuja na formation hii kwa pretext kuwa analinda ushindi wake lakini anatakiwa kushinda lazima kaja na ile ile second half atamtoa mugalu na kuingiza striker mwingine basi
Ndugu Yangu kwa chuki hizi Nina hakika una kamwili kalichokondeana
 
This is simbaaa, utopolo msimu wa mateso umeanza Tena[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Sioni maajabu kwa Sven nilishasema mwanzo ktk miaka mitano iliyopita haijawahi kupata kocha wa ajabu km huyu. Nilikuwa nahudhuria MO Arena kuangalia Ila nilistop baada ya kutoshawishiwa na mbinu zake. Leo matokeo yote kwangu ni sahihi aliposhinda away alikuja na formation hii kwa pretext kuwa analinda ushindi wake lakini anatakiwa kushinda lazima kaja na ile ile second half atamtoa mugalu na kuingiza striker mwingine basi
Nnn
mkazuzutza-___CJtcnh-gMYB___-.jpg
 
Ahsante Simba kwa Ushindi mnono
mapungufu niliyoyaona ni haya

Timu inakaba kwenye 18 inaruhusu maadui kucheza wanavyotaka.

Onyango Ni Mzee au nasema uwongo jamani???

Uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ndiyo umeibeba timu

Man of the match sijui nimpe chama, kapombe au bwalya miquison atajisikia vibaya lakini naye kajituma

John Bocco ni super sub.

Kwa sasa hivi kuilinganisha Simba na timu yoyote hapa Tanzania na Africa mashariki utakuwa ni mgonjwa wa Akili.

This. Is Simba and mission Accomplished [emoji122][emoji122][emoji122][emoji41][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]✓
This is Simba and Mission....?
 
Back
Top Bottom