Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
This is Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa!
4-0!
4-0!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaimaMbeleMwikoNyie matakataka itabidi mpigwe..
#daimambelemwikonyuma..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ndugu Yangu kwa chuki hizi Nina hakika una kamwili kalichokondeanaSioni maajabu kwa Sven nilishasema mwanzo ktk miaka mitano iliyopita haijawahi kupata kocha wa ajabu km huyu. Nilikuwa nahudhuria MO Arena kuangalia Ila nilistop baada ya kutoshawishiwa na mbinu zake. Leo matokeo yote kwangu ni sahihi aliposhinda away alikuja na formation hii kwa pretext kuwa analinda ushindi wake lakini anatakiwa kushinda lazima kaja na ile ile second half atamtoa mugalu na kuingiza striker mwingine basi
Tuishi hapa...Kwa sasa hivi kuilinganisha Simba na timu yoyote hapa Tanzania na Africa mashariki utakuwa ni mgonjwa wa Akili.
Ha ha ha haMpumbavu wewe Sasa mechi ya Leo kocha kakosea wapi
NnnSioni maajabu kwa Sven nilishasema mwanzo ktk miaka mitano iliyopita haijawahi kupata kocha wa ajabu km huyu. Nilikuwa nahudhuria MO Arena kuangalia Ila nilistop baada ya kutoshawishiwa na mbinu zake. Leo matokeo yote kwangu ni sahihi aliposhinda away alikuja na formation hii kwa pretext kuwa analinda ushindi wake lakini anatakiwa kushinda lazima kaja na ile ile second half atamtoa mugalu na kuingiza striker mwingine basi
Watu wa hv ili washibe mpaka wale kwa majirani kama watatu.Ndugu Yangu kwa chuki hizi Nina hakika una kamwili kalichokondeana
Hatari sanaYes!!, Hii ndo Simba....
Manyani wana mengi ya kujifunza kwa Simba hii.....
wasione aibu....Chama, Konde boy na Bwalya....watatoa semina kwa manyani
This is Simba and Mission....?Ahsante Simba kwa Ushindi mnono
mapungufu niliyoyaona ni haya
Timu inakaba kwenye 18 inaruhusu maadui kucheza wanavyotaka.
Onyango Ni Mzee au nasema uwongo jamani???
Uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ndiyo umeibeba timu
Man of the match sijui nimpe chama, kapombe au bwalya miquison atajisikia vibaya lakini naye kajituma
John Bocco ni super sub.
Kwa sasa hivi kuilinganisha Simba na timu yoyote hapa Tanzania na Africa mashariki utakuwa ni mgonjwa wa Akili.
This. Is Simba and mission Accomplished [emoji122][emoji122][emoji122][emoji41][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]✓