bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 643
Pamoja sana mkuu kesho nitakuwa sheikh Amri Abeid kuwaletea mechi ya kirafiki kati ya Simba na FC Leopard ya kenya....[/QUOTE
Sidhani kama AFC Leopard watakuwa wamekuja tz kwa sababu walipewa taarifa za kukosekana viwanja vya kuchezea mechi ya simba na pia mechi yao na yanga siku ya jumanne haitakuwepo