kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
hehe raha mfumgaji bora simba beki bora simba yaani simbax6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lovely one!!! yaani kila kitu ni bora tu kwa simba....Timu bora simba, kocha bora simba, mchezaji bora simba, kipa bora simba.......nk, Macho yote Kombe la shirikisho...
Mpira ni wa TFF, ni jukumu la vilabu kuzungumza na TFF na wala sio na mdhamini. Linapokuja suala la udhamini wa timu hapo ni jukumu la klabu ila kwenye suala la utangazaji ni sualal la chama husika. Hata Supersport inapoonyesha ligi mbali mbali inaingia mkataba na FA yenye ligi then FA inajua namna ya kumalizana na members wake!
Si kweli, Radio One iansikika nchi nzima. ITV sio nchi nzima tu, bali imevuka mipaka ya nchi.
Leo ni leo watatni tutaona kiwango chenu nitakuwa uwanjani kuwapa updates...
Punguza pressure Ben...wadau watatujuza tu & usisahau duwa!!!Sasa Mechi imeanza au bado? sasa kumi si ishafika huko hom?
Punguza pressure Ben...wadau watatujuza tu & usisahau duwa!!!
Mashabiki vipi uwanjani?najua watani watakuja kuwashangilia wamisri kama hawaajaachja utoto wao ule...Mechi bado kuaanza wachezaji ndio wanatoka vyumbani... Waarabu wanaonekana wa kawaida sana hawana miili ya kutisha kama tulivyowazoea