saitama_kein
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 981
- 99
Safii sanaaa..................Waarabu wanaonekana wa kawaida sana hawana miili ya kutisha kama tulivyowazoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safii sanaaa..................Waarabu wanaonekana wa kawaida sana hawana miili ya kutisha kama tulivyowazoea
Simba wameeanza kwa kasi hapa, kona kwa waarabu duh Simba wanaokoa kwenye chaki
Waarabu wanatandaza soka huku wakishangiliwa na washabiki wa Yanga kazi ipo
YANGA BWANA! yaani wewe nyumba yako ikiungua unaombea na ya jirani yako nayo iungue!
Mnnh hapa sasa kwa kweli hapanifwai...yebo yebo anataka kuharibu siku yangu mapemaaa......