technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Halafu uje upambane na fei toto duh!!! ππππππππππOnyango ni 40+ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia kikosi kilichoanza Jana halafu nambieIna maana wachezaji wa Simba ndio hawa tu?
.... hao kina Sakho, Banda, Kanoute nao ni wazee?
Siku ya simba day eti wanasema alikuwa na miaka 27 Hawa jamaa wanachekesha kweli .+5 years margin error, hivi huyu Boko kaipandisha Azama akiwa na miaka 16? maana toka 2007 namsikia Azam baada ya kupanda hawa wakapimwe meno unaweza kuta watu wako 40 huko plus.
Kajui tu vizuri hako kajamaa kamekomaa tu Ni kazee kwenye 31 na kuendelea.Wazee wenyewe ndio hawa.View attachment 1953412
Mkuu huamini ?Onyango ni 40+ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hii picha inaaminishaMkuu huamini ?View attachment 1953476
Mchezaji akidanganya umri basi soka litamuumbuaSiku ya simba day eti wanasema alikuwa na miaka 27 Hawa jamaa wanachekesha kweli .
Pia wanasema onyango eti ana 29 hahahhahaahaha!!!!πππππππ