Simba tafuteni wachezaji vijana timu inawafia hii

Ina maana wachezaji wa Simba ndio hawa tu?
.... hao kina Sakho, Banda, Kanoute nao ni wazee?
 
+5 years margin error, hivi huyu Boko kaipandisha Azama akiwa na miaka 16? maana toka 2007 namsikia Azam baada ya kupanda hawa wakapimwe meno unaweza kuta watu wako 40 huko plus.
Siku ya simba day eti wanasema alikuwa na miaka 27 Hawa jamaa wanachekesha kweli .

Pia wanasema onyango eti ana 29 hahahhahaahaha!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Siku ya simba day eti wanasema alikuwa na miaka 27 Hawa jamaa wanachekesha kweli .

Pia wanasema onyango eti ana 29 hahahhahaahaha!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mchezaji akidanganya umri basi soka litamuumbua
 
Naona kipofu kaona mwezi. Raha mliyopata Jana tulikuwa tukipata 4 yrs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…