ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
ULISIKIA WAPIBingwa wa confederation cup hachezi klabu bingwa endapo kwenye ligi yao hajafuzu kucheza klabu bingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ULISIKIA WAPIBingwa wa confederation cup hachezi klabu bingwa endapo kwenye ligi yao hajafuzu kucheza klabu bingwa
ya ulaya yaache ulaya bwashee hii ni afrika lakini tayari mambo magumu orlando anaongoiza mbili sasa hivi huko kabakiza points 3 tu kushika nafasi ya pili ligi yao hapo nafasi kumi za kuanzia round ya kwanza zitakuwa zimejaaULISIKIA WAPI
Mkuu ndio ipo hivyo kwa CAF. ila UEFA haipo hivyo, bingwa wa europa league anafuzu champions league moja kwa moja kwa kuchukua kwake kombeULISIKIA WAPI
Orlando ameshindwa kupenya wameingia Cape Town na Mamelod. Hakuna namna Morroco na Egypt kuingiza timu 3.Oyaa wakuu mpka sahivi vipi dua yetu imekubali ?
Maana nimejeuza pc sijawaona Yangahahahahaha kwa miaka 5 ile ambayo CAF wanatumia ku calculate points wanazo 0.5
Kwahyo simba wamepata fursa ?Orlando ameshindwa kupenya wameingia Cape Town na Mamelod. Hakuna namna Morroco na Egypt kuingiza timu 3.
Tunaanzia round ya kwanza.Kwahyo simba wamepata fursa ?
Kla mtu apambane kivyakeUsichanganye mzee UEFA na CAF ni vyombo viwili tofauti na vinajitegemea kimawazo. Kwenye soka ambacho kila shirikisho lisimamie ni sheria 17 za mpira. Mengine yanapangwa na shirikisho husika. Sasa wewe kuita ujinga utaratibu wa CAF kisa tu hauisaidii timu yako, haina maana yoyote. Na mwingine anaweza kusema utaratibu wa UEFA ni wa kijinga vilevile kwanini kila timu isibebwe na mafanikio yake ibebwe na ligi?
Utaratibu wa CAF upo wazi, Yanga Kama mshiriki anatakiwa kupambana kwelikweli avuke hatua ya awali na ajikusanyie points zake, sio kukaa kulialia anufaike kwa jasho la mwenzake, wakati kila mgeni akija wao kazi yao ni kushangilia wageni.
Ligi yao ina timu ngp mbn chache xnMpaka sasa siioni Etoil du sahel wakishika namba mbili kwenye ligi yao kwa mechi tatu zilizosalia, Monastir iko moto sana msimu huu
Imetosha utamuua😂😂😂Afrika ina mabingwa wa ngapi bwasheee? siyo 54? unataka wote waanzie round ya awali? huoni hapo kwenye top 10 kuna hadi bingwa wa shirikisho berkane, kuna pyrmaids, kuna orlando pirates hawapo hata klabu bingwa?unataka bingwa wa sudan kusini na somalia nao waanzie round ya kwanza?
UBingwa ununue kwa tigo pesa CAf wakupeleke round ya kwanza ? kuna kitu kinaitwa 5 years ranking sytem , youhave to earn it my friend...siyo kila msimu unaanzia round ya kwanza unapigwa nje ndani na kipoint chako 0.5 kwa misimu mitano uje upate magoli kama ya dodoma jiji keeper kusukumia golini kwake uwe bingwa CAF wakupeleke round ya kwanza
YOU HAVE TO EARN IT....
kwahio nyie makilikili waliwachezea nyuma tu? alafu mtuambie kombe la FA mmetuuzia sh ngapiUtopwinyo wanahofia wanaweza kukutana tena na kina Akwa au enyimba kwenye PL stage!!!....wazee wa kuchezewa nyuma na mbele.!!!!
Simba kapambana miaka minne kujitengenezea mafanikio yake ,ninyi wazee wa kununua ubingwa kwa hongo za milioni 10 mnataka na huku mpate felelee??
Subirini wapopo waje kuwatoa nishai kwa mkapa na huko lagos mrudi kuja kuwanga Tz.
Kama inakuuma jambia humohumokwahio nyie makilikili waliwachezea nyuma tu? alafu mtuambie kombe la FA mmetuuzia sh ngapi
Ligi yao ina timu ngp mbn chache xn
ina timu nyingi ila wakimaliza round ya kwanza na pili zile timu sita za kwenye msimamo wanazipiga tena ili bingwa apatikaneLigi yao ina timu ngp mbn chache xn
uzuri wake ukitupwa nje kutoka hapo unaenda confederation ,tofauti na anayeanza mwanzoni akitupwa anarudi nyumbani mazimaMbona msimu uliyopita ulianzia first round na bado ukatupwa nje ya ligi ya mabingwa na timu dhaifu kutoka Botswana. Hivyo haisadii kiivyo