Simba tuendelee kuwaombea Njaa Etoile du sahel wako nafasi ya tatu ligi yao

Simba tuendelee kuwaombea Njaa Etoile du sahel wako nafasi ya tatu ligi yao

hujui kama UEFA kuna preliminary stage?Basi kama hujui mkuu wewe si mfuatiliaji wa soka!
Yaan unakurupuka bila hata kusoma niliandika nini. I was asking kuhusu huo utaratibu wa timu kuanzia raundi ya pili kwa kuzingatia mafanikio binafsi. UEFA hawana huo utaratibu. Utaratibu wao hupangwa kutokana na ubora wa ligi. Leicester akichukua Kombe EPL uliona akianzia PL stage?? Kwann africa Bingwa aanzie Hatua ya awali na mshindi wa pili aanzie hatua ya pili??

Hapo ndipo naposema huo ni utaratibu wa kijinga kuwahi kutokea Duniani.
 
Yaan unakurupuka bila hata kusoma niliandika nini. I was asking kuhusu huo utaratibu wa timu kuanzia raundi ya pili kwa kuzingatia mafanikio binafsi. UEFA hawana huo utaratibu. Utaratibu wao hupangwa kutokana na ubora wa ligi. Leicester akichukua Kombe EPL uliona akianzia PL stage?? Kwann africa Bingwa aanzie Hatua ya awali na mshindi wa pili aanzie hatua ya pili??

Hapo ndipo naposema huo ni utaratibu wa kijinga kuwahi kutokea Duniani.
Pambana uingie top 10 ya CAF.

Hakuna janja ya nyani hapa. Ninawapongeza CAF kwa utaratibu mzuri zaidi. Haiingii akilini ule kupitia mgongo wa jirani.

Jibebe, ninarutia tena jibebe bebeee eeeeh.

Kila shirikisho la mpira lina utaratibu wake iwe kwa ngazi ya Taifa au bara kwa ujumla. Tunachofanana wote ni matumizi ya sheria 17 pekee za kandanda. The rest jibebeeeeee
 
Kama msimu huu unaoisha tulianzia round ya kwanza tukiwa ranked number 15 kwa ubora afrika na kupata bahati ya timu 5 zilizokuwa juu yetu kuvurunda kwenye domestic leagues zao tukapata nafasi ya kuanzia round ya kwanza why not mwaka huu?

Tuko nafasi ya 14 kwa ubora barani afrika lakini katika teams zilizoko juu yetu uhakika tatu kwenye ligi haziwezi kucheza champions league,team hizo ni Orlando pirates ambao ingawa wana viporo vitatu nafasi mbili z ajuu zishachukuliwa na mamelodi na ajax cape town....pyramids wao wako juu yetu pia lakini kuna kigingi cha ahly na zamalek..huko moroko ,berkane ana kigingi cha wydad na Raja

Sasa shughuli inabaki hapo Tunisia Etoile du sahel anaweza sabisha tukaanzia round ya awali na WAJINGAWAJINGA cha kufurahisha ni kwamba na yeye ana struggle yuko nafasi ya tatu kwenye ligi ndogo ya teams za juu wanaita championship round maana wana system kama ya ubelgiji ligi ikiisha kuna top teams zinagombea ubingwa na bottom ones wana fight relegation

TUENDELEE KUOMBEA SANA HAWA JAMAA WAMALIZE WA TATU AU WA NNE hapo njia nyeupeee kuanzia round ya kwanza na kundi la elites siyo VILAZA

View attachment 2234057View attachment 2234063
Wanapendelea!! Kwa nini Timu ya WANANCHI hata kwenye 25 haimo!! Kwani hawajui wananchi ndio mabingwa wa bongo!
 
Yaan unakurupuka bila hata kusoma niliandika nini. I was asking kuhusu huo utaratibu wa timu kuanzia raundi ya pili kwa kuzingatia mafanikio binafsi. UEFA hawana huo utaratibu. Utaratibu wao hupangwa kutokana na ubora wa ligi. Leicester akichukua Kombe EPL uliona akianzia PL stage?? Kwann africa Bingwa aanzie Hatua ya awali na mshindi wa pili aanzie hatua ya pili??

Hapo ndipo naposema huo ni utaratibu wa kijinga kuwahi kutokea Duniani.
Haupo sawa ndugu,pumzika kunywa maji ukae kwenye hewa safi. Uwezo wako wa kuchakata mambo na kulinganisha vitu unatia mashaka.
 
Usichanganye mzee UEFA na CAF ni vyombo viwili tofauti na vinajitegemea kimawazo. Kwenye soka ambacho kila shirikisho lisimamie ni sheria 17 za mpira. Mengine yanapangwa na shirikisho husika. Sasa wewe kuita ujinga utaratibu wa CAF kisa tu hauisaidii timu yako, haina maana yoyote. Na mwingine anaweza kusema utaratibu wa UEFA ni wa kijinga vilevile kwanini kila timu isibebwe na mafanikio yake ibebwe na ligi?

Utaratibu wa CAF upo wazi, Yanga Kama mshiriki anatakiwa kupambana kwelikweli avuke hatua ya awali na ajikusanyie points zake, sio kukaa kulialia anufaike kwa jasho la mwenzake, wakati kila mgeni akija wao kazi yao ni kushangilia wageni.
Yaan unakurupuka bila hata kusoma niliandika nini. I was asking kuhusu huo utaratibu wa timu kuanzia raundi ya pili kwa kuzingatia mafanikio binafsi. UEFA hawana huo utaratibu. Utaratibu wao hupangwa kutokana na ubora wa ligi. Leicester akichukua Kombe EPL uliona akianzia PL stage?? Kwann africa Bingwa aanzie Hatua ya awali na mshindi wa pili aanzie hatua ya pili??

Hapo ndipo naposema huo ni utaratibu wa kijinga kuwahi kutokea Duniani.
 
Sibaishani na Wavaa Shanga aseee.
Nimeeleza wazi huo utaratibu hauna maana, hizo ranks za nini kwa klabu katika kuanzia hatua ya pili??
Wangetumua mfumo wa Ligi 12 6 bora au 10 bora zitoe timu 2 basi.

Huu ujinga wa kwamba time imepewa rank namba kadhaa ikashiriki kuanzia hatua ya pili ndio kitu ambacho kibadilishwe au ww Bi Fatma umeelewaje.??
Kapange wa kwako utakaoibeba Yanga, hata hiyo ligi Bora imetengenezwa na Simba kupitia kimataifa
 
Kama msimu huu unaoisha tulianzia round ya kwanza tukiwa ranked number 15 kwa ubora afrika na kupata bahati ya timu 5 zilizokuwa juu yetu kuvurunda kwenye domestic leagues zao tukapata nafasi ya kuanzia round ya kwanza why not mwaka huu?

Tuko nafasi ya 14 kwa ubora barani afrika lakini katika teams zilizoko juu yetu uhakika tatu kwenye ligi haziwezi kucheza champions league,team hizo ni Orlando pirates ambao ingawa wana viporo vitatu nafasi mbili z ajuu zishachukuliwa na mamelodi na ajax cape town....pyramids wao wako juu yetu pia lakini kuna kigingi cha ahly na zamalek..huko moroko ,berkane ana kigingi cha wydad na Raja

Sasa shughuli inabaki hapo Tunisia Etoile du sahel anaweza sabisha tukaanzia round ya awali na WAJINGAWAJINGA cha kufurahisha ni kwamba na yeye ana struggle yuko nafasi ya tatu kwenye ligi ndogo ya teams za juu wanaita championship round maana wana system kama ya ubelgiji ligi ikiisha kuna top teams zinagombea ubingwa na bottom ones wana fight relegation

TUENDELEE KUOMBEA SANA HAWA JAMAA WAMALIZE WA TATU AU WA NNE hapo njia nyeupeee kuanzia round ya kwanza na kundi la elites siyo VILAZA

View attachment 2234057View attachment 2234063
Yaani Yanga yetu haipo !inazidiwa na no34,bayo s ijui!
 
Mpaka sasa siioni Etoil du sahel wakishika namba mbili kwenye ligi yao kwa mechi tatu zilizosalia, Monastir iko moto sana msimu huu
 
Mpaka sasa siioni Etoil du sahel wakishika namba mbili kwenye ligi yao kwa mechi tatu zilizosalia, Monastir iko moto sana msimu huu

Msimamo ukoje na next three games anacheza na nani ? ?
 
Msimamo ukoje na next three games anacheza na nani ? ?
Hapo hatoboi
SmartSelect_20220527-193656_Flashscore.jpeg
SmartSelect_20220527-193806_Flashscore.jpeg
 
Monastir wanahitaji point sita tu kujihakikishia top 2. Hivi vita inaweza kumkuta hata ES Tunis pia. Hii ni bonge la battle ya top 2
 
Kama msimu huu unaoisha tulianzia round ya kwanza tukiwa ranked number 15 kwa ubora afrika na kupata bahati ya timu 5 zilizokuwa juu yetu kuvurunda kwenye domestic leagues zao tukapata nafasi ya kuanzia round ya kwanza why not mwaka huu?

Tuko nafasi ya 14 kwa ubora barani afrika lakini katika teams zilizoko juu yetu uhakika tatu kwenye ligi haziwezi kucheza champions league,team hizo ni Orlando pirates ambao ingawa wana viporo vitatu nafasi mbili z ajuu zishachukuliwa na mamelodi na ajax cape town....pyramids wao wako juu yetu pia lakini kuna kigingi cha ahly na zamalek..huko moroko ,berkane ana kigingi cha wydad na Raja

Sasa shughuli inabaki hapo Tunisia Etoile du sahel anaweza sabisha tukaanzia round ya awali na WAJINGAWAJINGA cha kufurahisha ni kwamba na yeye ana struggle yuko nafasi ya tatu kwenye ligi ndogo ya teams za juu wanaita championship round maana wana system kama ya ubelgiji ligi ikiisha kuna top teams zinagombea ubingwa na bottom ones wana fight relegation

TUENDELEE KUOMBEA SANA HAWA JAMAA WAMALIZE WA TATU AU WA NNE hapo njia nyeupeee kuanzia round ya kwanza na kundi la elites siyo VILAZA

View attachment 2234057View attachment 2234063
Yanga mbona hawapo kaka!
 
Back
Top Bottom