Yap, safi sana, nimefurahi BM kuanzia benchi, kama akiingia kipindi cha pili ataongeza presha na maumivu kwa Vidimbwi.
Binadamu mwenyewe mzembe mbele ya simbaMnyama anaweza kushindana na binadamu???
Hapa wanaponaje uto!!
Kikosi kizuri sana hiki lakini Thadeo Lwanga ana kazi nzito sana leo mana yuko peke yake pale katikati sababu Bwalya sio mkabaji kacho awe na tahadhari kubwa sana
Hii game ya MzamiruKikosi kizuri sana hiki lakini Thadeo Lwanga ana kazi nzito sana leo mana yuko peke yake pale katikati sababu Bwalya sio mkabaji kacho awe na tahadhari kubwa sana
Naam kumekucha sasa,usiku wa deni haukawii kukucha. Ghazwat OKW BOBAN SUNZU Dam55 BRN Kizibo Utopologist Mshana Jr Kalpana na wanamsimbazi wote leo Simba anakabidhiwa mwali wa pili kwa kumchakaza vibaya Utopolo."mwanakuli-find mwana kuli-get"
Simba nguvu moja.
Statistics haziongopi, morrison akaianzia bechi hua ana madhara sana kwa upinzaniYap,safi sana,nimefurahi BM kuanzia benchi,kama akiingia kipindi cha pili ataongeza presha na maumivu kwa Vidimbwi.
Najiuliza Hadi kampuni za kubeti zimpe Simba 1.50 halafu Yanga 3.30 ,wakati Yanga wametoka kuwafunga Simba, hii mechi inaonyesha live Simba anashindaNimebet tukifungwa leo....kesho jumatatu nampa 20K kila mfanyakazi hapa kazini kwetu
Wakishinda utopolo,wao watajichanga lunch yangu yoyote nitakayopendelea kuanzia kesho jumatatu hadi ijumaa
#NguvuMoja [emoji1696]
Pira limeanza hukuNaam kumekucha sasa,usiku wa deni haukawii kukucha. Ghazwat OKW BOBAN SUNZU Dam55 BRN Kizibo Utopologist Mshana Jr Kalpana na wanamsimbazi wote leo Simba anakabidhiwa mwali wa pili kwa kumchakaza vibaya Utopolo."mwanakuli-find mwana kuli-get"
Simba nguvu moja.
π²ππππππππ ππ πππππ ππππ ππππ ππππ ππππππππππππππ πMnyama anaweza kushindana na binadamu???