Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hili ni Pambano jepesi kwa Yanga. Ushindi upo wazi kabisa wala hauna ukakasi. Wa magoli mangapi ndo hatujajua. Lakini zilikuwa ziwe 3 Yanga 0 Simba. Naona mpambano bado ni mkali.
Nitaendelea kuwaletea updates hapa kuanzia muda huu. Makomandoo kwa hii siku ya leo 07/08 wapo Uwanjani kurekebisha mazingira. Yakae sawa. Hawa Simba ni wetu kabisa.
Vikosi tunawaletea hapa ndani ya masaa kadhaa mpaka hiyo kesho.
Nitaendelea kuwaletea updates hapa kuanzia muda huu. Makomandoo kwa hii siku ya leo 07/08 wapo Uwanjani kurekebisha mazingira. Yakae sawa. Hawa Simba ni wetu kabisa.
Vikosi tunawaletea hapa ndani ya masaa kadhaa mpaka hiyo kesho.