Simba vs Yanga: Timu ipi ina wapenzi wengi hapa JamiiForums?

Je wewe ni Simba au Yanga?


  • Total voters
    81
Simba SC,, mfalme wa nyika,, mnyama pekee hapa Bongo anayetisha na mwenye historia kimataifa hadi mataifa wanaogopa kukutana naye!!

Huwezi kumfananisha na wenye jezi za CCM aka utopolo,, bendi iliyojaa wakongoman!!
 
Mrs Mbeya City, demu wa Mtibwa hana maajabu
Tulia wewe,,, Yanga mfanyakazi wa ndani ( House Girl), yeye anajikongoja kurekebisha mapishi ya ndan ndo maana baada ya muda mrefu kutoliona kombe la ligi Sasa mnajipa moyo,,

Mnataman kombe la ligi NBC nakati Mnyama anaweka mikakati ya kimataifa tu,, kuhakikisha anafika level nyingine ya ubingwa Africa!!
Sasa hapo tutalingana??

Usimfananishe Mnyama kwa nguvu ya soda aliyonayo Yanga,, Simba SC is in another level ndg,, kila Mwaka tunawabeba Timu za Tanzania angalau zionje utamu wa champions league na confederation but always mnatuaibisha!!

Yanga muwe na adabu mkiona misharubu ya Simba imesimama ,, Sisi ni Baba zenu,, tunawabeba sana ila hambebeki kimataifa enyi utopolo!!


# Mleta mada tuombe msamaha sisi wana Simba kwa kuifananisha Simba na huo uchafu Utopolo
 
Hapa JF na socio media zote wamejaa Simba. Lkn nadhani overall bado Yanga wamezidi kidogo huko mitaani. Mahidhulio ya mechi za Yanga mikoani ni makubwa sana. Sema Vijana wadogo ndo wanakuja kuongeza fanbase ya Simba hapo baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…