Simba vs Yanga: Timu ipi ina wapenzi wengi hapa JamiiForums?

Simba vs Yanga: Timu ipi ina wapenzi wengi hapa JamiiForums?

Je wewe ni Simba au Yanga?


  • Total voters
    81
Tatizo jukwaa hili la sports halitembelewi na members wote wa JF walii wapenzi na mashabiki wa hizi team.

So far huwezi kupata poll halisi.
 
Acheni kuilinganisha Yanga na mambo ya kijinga
Kwa statistics zip mpaka umlinganishe Simba ,, (Timu pekee alama ya soccer la Tanzania huko Duniani) na magalasa hayo mautopwinyo??

Kuwa na Adabu wewe!!
 
Yanga. Li timu la CCM. Jezi zao zote rangi ya CCM. Unaanzaje kushabikia litimu la hivi kama wewe ni mwanamageuzi?
 
Hapa JF na socio media zote wamejaa Simba. Lkn nadhani overall bado Yanga wamezidi kidogo huko mitaani. Mahidhulio ya mechi za Yanga mikoani ni makubwa sana. Sema Vijana wadogo ndo wanakuja kuongeza fanbase ya Simba hapo baadae
Good observation
 
Yanga. Li timu la CCM. Jezi zao zote rangi ya CCM. Unaanzaje kushabikia litimu la hivi kama wewe ni mwanamageuzi?
Yanga na rangi yake ilishakuwepo tangu miaka ya 1930's! Huo uchafu unaoitwa ccm, ulianzishwa mwaka 1977!

Hivi kuna mtu, timu, nchi, au kitu chochote kile chenye umiliki wa rangi kweli! Acha upotoshaji bhana!

Kwa hiyo Kassim Majaliwa, Job Ndugai, Tulia Ackson, na makada lukuki wa ccm, nao ni mashabiki wa Yanga siyo!
 
Hapa JF na socio media zote wamejaa Simba. Lkn nadhani overall bado Yanga wamezidi kidogo huko mitaani. Mahidhulio ya mechi za Yanga mikoani ni makubwa sana. Sema Vijana wadogo ndo wanakuja kuongeza fanbase ya Simba hapo baadae
Piga kura kwanza ili uthibitishe hiki ulicho kisema. Wakati napiga kura, Yanga ilikuwa ikiongoza kwa 52% huku timu yako ikifuatia kwa 48%.
 
Yanga na rangi yake ilishakuwepo tangu miaka ya 1930's! Huo uchafu unaoitwa ccm, ulianzishwa mwaka 1977!

Hivi kuna mtu, timu, nchi, au kitu chochote kile chenye umiliki wa rangi kweli! Acha upotoshaji bhana!

Kwa hiyo Kassim Majaliwa, Job Ndugai, Tulia Ackson, na makada lukuki wa ccm, nao ni mashabiki wa Yanga siyo!
ushaambiwa Yanga inavaa jezi rangi ya CCM unatakiwa uwelewe basi mtani mbona mkaidi ivyo![emoji23]
 
ushaambiwa Yanga inavaa jezi rangi ya CCM unatakiwa uwelewe basi mtani mbona mkaidi ivyo![emoji23]
Yaani nitapinga mpaka mwisho! Kama ni hivyo na simba nayo basi itakuwa ni timu ya chama cha Lipumba cha CUF iliyo anzishwa mwaka 1992! Maana na wenyewe wanavaa sare zenye rangi nyekundu!!
 
Yaani nitapinga mpaka mwisho! Kama ni hivyo na simba nayo basi itakuwa ni timu ya chama cha Lipumba cha CUF iliyo anzishwa mwaka 1992! Maana na wenyewe wanavaa sare zenye rangi nyekundu!!
Ila vip mtani,, jezi yenu haireflect uCCM,, njoo Msimbazi Bwana wee upate Radha ya kimataifa yenye raha,,

Wewe hufanani na CCM
 
Back
Top Bottom