NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
sawa tu tugawane basi Simba ya cuf alafu Yanga ccm[emoji23][emoji23]Yaani nitapinga mpaka mwisho! Kama ni hivyo na simba nayo basi itakuwa ni timu ya chama cha Lipumba cha CUF iliyo anzishwa mwaka 1992! Maana na wenyewe wanavaa sare zenye rangi nyekundu!!