Katika kila watanzania Watano, watatu ni mashabiki wa Simba na wawili ni washabiki wa Yanga.
Pigwapigwa FCMnyamaa
Hukui historia ya timu hizi, usipoishabikia yanga usishabikie simba pia, shabikia walau meccoYanga. Li timu la CCM. Jezi zao zote rangi ya CCM. Unaanzaje kushabikia litimu la hivi kama wewe ni mwanamageuzi?
Kati ya Yanga na CCM nani mkubwa?Yanga. Li timu la CCM. Jezi zao zote rangi ya CCM. Unaanzaje kushabikia litimu la hivi kama wewe ni mwanamageuzi?
Ni mawazo yako tu hivyo viumbe vyote ulivyo taja vina majike pia kuna Simba jike, Mamba,chui and so onNa ukiona mwanaume anashsbikia eti Yanga ujue kuna shida mahala fulani.
Wanaume wote wanajiita Simba,Mamba,Tiger,Chui,Nyangumi,Tembo,au Tai.Sasa ukikuta mwanaume anajiita mi mtoto(young),ama mi yellow,chocolate color,pink lazima uwe na mashaka naye.
Sio ajabu lakini kwa kabwili fc