Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ili tuwafundishe namna ya kuishi kwenye michuano hii ya kimataifa! 😁😁😁Kumbe mmetu folo na mna like page ya bigwa wenu [emoji1666] maendeleo hayana chama
Unaumia nini?Aibu hii tukiwambia nyoka nyoka fc wenye akili ni wawili tu mnabisha
kufutaUnaumia nini?
Kama ni cha kipuuzi, mbona mmefuta?Mnapenda kushadadia sana vitu vya kipuuzi! Ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.
Kwa hiyo baada ya kufuta! Tayari kwenu mnaongoza ligi?Kama ni cha kipuuzi, mbana mmefuta?
Kwani huwezi ku tagKumbe mmetu folo na mna like page ya bigwa wenu [emoji1666] maendeleo hayana chama
Wewe na aliyepost ndio wapuuzi, mpost wenyewe halafu mtukane sisiMnapenda kushadadia sana vitu vya kipuuzi! Ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.
Mkuu vp swala la mikataba unetuacha hewaniWamefutaaaaa haaa haaa
Kilicho Kuuma niniMnapenda kushadadia sana vitu vya kipuuzi! Ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.
Mbumbumbu hamjawahi kuwa na dogo!Wewe na aliyepost ndio wapuuzi, mpost wenyewe halafu mtukane sisi
Nani kakuambia kuna kitu kimeniuma?Kilicho Kuuma nn