Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Aliyewaita mbumbumbu anastahili kupewa tuzo.Mlianza kuchanganya Ligi ya Shirikisho na Ligi ya Mabingwa, sasa hivi unachanganya Ligi ya NBC na Ligi ya Mabingwa 😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyewaita mbumbumbu anastahili kupewa tuzo.Mlianza kuchanganya Ligi ya Shirikisho na Ligi ya Mabingwa, sasa hivi unachanganya Ligi ya NBC na Ligi ya Mabingwa 😁😁😁
Huwezi kujua tofauti kwa sababu hujui kupambanua.Kuna ligi nyingine zaidi ya NBC imeshaanza hata uwe una refer kwenye hiyo ligi nyingine?Umeandika ujinga tu hapa.
Mwamba huyu, Luc Eymael 😁Aliyewaita mbumbumbu anastahili kupewa tuzo.
Ona huyu mbwiga [emoji849] hata hauelewi nini kinaongelewa , huu ukoo wa mbumbumbu ni janga hii nchiYanga Waelimishwe hii logo ya CAF inatumiwa tu na timu shiriki za Champions League si vinginevyo.
Tunaona wakijikoki kuposti na nembo hii. Ni kosa.
Km vyakipuuzi msingewekaMnapenda kushadadia sana vitu vya kipuuzi! Ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.
Hahaha nimecheka sana comment hii ni ya kibabeUnapokuwa watchman unabaki tu watchman.Timu zinashiriki on merit.Huwezi kujikimbikiza na logo ya Champions League na wewe unashiriki Confederation Cup.Msiwalaumu mambo haya mageni sana kwao.Hawajui tofauti.Wachungeni wasije wakaenda Guinea.
Asiyeelewa ni nani?Aliyeweka logo ya Champions League huku anashiriki Confederation Cup au nani mwingine?.Sishangai kundi lote ukitoa wawili akili ni za kupimiwa.Ona huyu mbwiga [emoji849] hata hauelewi nini kinaongelewa , huu ukoo wa mbumbumbu ni janga hii nchi
Kujibu hiki kituko nitakuwa nakupa credit za bure.Na nyie futeni english mbovu mliyotumia wakati wa kutoa rambirambi kwenye msiba wa Pele. Na zile picha za kichawi kule South Africa futeni
Kwa hili anayestahili sifa ya kuwa mbumbumbu ni Yanga. Msiwatetee viongozi wenu wamechemshaMnapenda kushadadia sana vitu vya kipuuzi! Ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.
Wana akili za kwendea chooni tu hawa vyuraAsiyeelewa ni nani?Aliyeweka logo ya Champions League huku anashiriki Confederation Cup au nani mwingine?.Sishangai kundi lote ukitoa wawili akili ni za kupimiwa.
Unapotezea eeh!! Sasa huyu mjinga wako uliyemuweka hapa na wale mashabiki waliomzomea, nani anafanana na hao wanyama?
Wewe mbumbumbu soma alicho andika mbumbumbu mwenzakoAsiyeelewa ni nani?Aliyeweka logo ya Champions League huku anashiriki Confederation Cup au nani mwingine?.Sishangai kundi lote ukitoa wawili akili ni za kupimiwa.
Wanyama wepi tena mbona kigugumizi kuwataja?Sii wataje!Unapotezea eeh!! Sasa huyu mjinga wako uliyemuweka hapa na wale mashabiki waliomzomea, nani anafanana na hao wanyama?
Taja wewe ili uifurahishe nafsi yako.Wanyama wepi tena mbona kigugumizi kuwataja?Sii wataje!
Wenye akili utopoloni ni wawili tu mkuuMnapenda kushadadia sana vitu vya kipuuzi! Ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.