Simba waipiga Spana Yanga Instagram kwa kutumia logo ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Simba waipiga Spana Yanga Instagram kwa kutumia logo ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Mwamba huyu, Luc Eymael [emoji16]

View attachment 2509630
Mwamba zaidi ni huyu
20230207_225250.jpg
 
Kuitwa mbumbumbu unaweza kufundishika lakini kuitwa manyani yanayobweka is another level.
Hivyo mwamba ni Luc Eymael na kuthibitishwa na Manara kwamba hamnazo ni wawili tu.Sasa wanaoshangaa manyani kuchanganya logo ni ku demand a lot from them.Ni manyani jamani what do you expect?
 
Kutafsiri neno lolote kunatofautiana na mhusika. Kama ni MBUMBUMBU huwezi kuwa na tafsiri ya maana
 
Alimaliza kila kitu
 
Kumbe mmetu folo na mna like page ya bigwa wenu [emoji1666] maendeleo hayana chama
Wapi umeona tumewafollow na kulike,hujui kama unaweza kucomment bila kulike wala kufollow page,????WENYE AKILI NI WAWILI TU KWA KWELI
 
Huyu ni mtoto mmoja nazi nazi wa kuitwa Abdul Azizi wa kipanduka na yule gay priva ndo kitengo chao,yaani upande wa uongozi ni ZERO,upande wa SHERIA ni ZERO,upande wa habari NI ZERO, hii timu ndo mana yaitwa KINYESI FC ASEE
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Hiyo ni edit bro,kaedit dogo mmoja shoga anakaa kiwalani nadhani utakuwa ni wewe??
Una akili timamu mkuu? Sasa maswala ya ushoga yanayoka wapi? Kama una hoja Lete tujadili maswala ya kuanza kutukanana na kukadhifiana hayo ni mambo ya kina dada
 
Masuala hayo ungeulizwa wewe.Ndio maana mnaambiwa kazi zenu zinazowaweka mjini.
We una akili tunajadili jezi hapa na moja ya tweet ya mo imeuliza hivo sasa maswala ya ushoga ndo namuuliza yametoka wapi?

Humu naimetimiza miaka 10 na naishigi kwa kupingana kwa hoja na sio kukimbilia maneno ya kike na matusi.

Hizi Simba ya Yanga zisikutoe akili ukaanza kutukana na kukejeli watu ovyoovyo usiowajua Cha zaidi utaonekana mjinga
 
Yule mzee aliwaambia wakapaniki Ila ni kweli wanahitaji semina elekezi ya mambo ya kimataifa kutoka kwa wenzao.
 
Una hakika hiyo ni tweet ya Mo?Unataka tujadili hoja kwa staha basi kuwa mstaarabu na wacha kuleta uzushi.
Unapoleta kejeli utajibiwa kwa kejeli ukija kistaarabu utajibiwa kistaarabu. Your choice.
 
Huyu ni mtoto mmoja nazi nazi wa kuitwa abdul azizi wa kipanduka na yule gay priva ndo kitengo chao,yaani upande wa uongozi ni ZERO,upande wa SHERIA ni ZERO,upande wa habari NI ZERO, hii timu ndo mana yaitwa KINYESI FC ASEE
kinacho mtoka mtu ndio kilicho moyoni mwake, maneno yako yana reflect tabia zako!
 
Back
Top Bottom