ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
hio logo CAF ni mali yenu? kiherehere cha nini?Kilicho Kuuma nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hio logo CAF ni mali yenu? kiherehere cha nini?Kilicho Kuuma nn
Mkuu, bado mawazo yapo ligi ya NBC, sio huko, ni CAF CL na CAF CCKwa hiyo baada ya kufuta! Tayari kwenu mnaongoza ligi?
Tunaweza kuwakuta Conakry hawa viumbe 🤣😂🤣Unapokuwa watchman unabaki tu watchman.Timu zinashiriki on merit.Huwezi kujikimbikiza na logo ya Champions League na Confederation Cup.Msiwalaumu mambo haya mageni sana kwao.Hawajui tofauti.Wachungeni wasije wakaenda Guinea.
Calm down Utopolo povu la nini?Kwani walioweka logo ni Simba?Kama ni yenu mbona mmefuta?hio logo CAF ni mali yenu? kiherehere cha nini?
Minding your own business ni kitu cha msingi sanaYanga kuna tatizo mahali
Mikataba ya wadhamini wa ligi (voda kipindi hicho)
Mkataba wa ligi mdhamini (NBC)
Mkataba wa makocha na wachezaji kadhaa ambao mashauri yameamuliwa na Fifa walipe akiwepo yule kocha aliye tamka neno manyani
Mkataba na fei
Mkataba na SP
Hili nalo pia la kuchanganya logo
Mkuu vp swala la mikataba unetuacha hewani
Utulie sasa, errors zipo everywhere mbona vitu vingine ni very minor? unataka kuniambia kwenye page yenu huwa hawakosei? mnaulimbukeni wa ajabu pages kubwa duniani wanakosea haija wahi kua nongwa nyie kila siku Yanga !Calm down Utopolo povu la nini?Kwani walioweka logo ni Simba?Kama ni yenu mbona mmefuta?
Minding you own business goes both ways.Nyie ndio mpo obsessed na Simba.Mkiguswa povu kali na kiingereza kingi na matusi.Minding your own business ni kitu cha msingi sana
Mkuu , hapo ligi ya nbc na CAFCL kuna uhusiano gani?Kwa hiyo baada ya kufuta! Tayari kwenu mnaongoza ligi?
Kalewa mnazi huyo msamehe.Hajui tofauti. Hata anayewaongoza hajui tofauti ya Logo za Champions league na Confederation Cup.Mkuu , hapo ligi ya nbc na CAFCL kuna uhusiano gani?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kama dogo kwa nini mmefuta? Usitetee kila kitu. Kuwa kama sisi Simba fans tunajielewa. ujinga ukifanyika klabuni tunakosoaMbumbumbu hamjawahi kuwa na dogo!
Mbona unanijaza maneno ambayo sikuyasema? Wapi nimetaja ligi ya NBC? Kwani ligi mnayotakiwa kuongoza ni ya NBC pekee!Mkuu , hapo ligi ya nbc na CAFCL kuna uhusiano gani?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Na nyie futeni english mbovu mliyotumia wakati wa kutoa rambirambi kwenye msiba wa Pele. Na zile picha za kichawi kule South Africa futeniWamefutaaaaa haaa haaa
Ulipoandika huo upuuzi hukujua kuna watu watasoma.Kwani kuna ligi ngapi uwe unazungumzia nyingine?Fikiri kwanza kabla hujaandika upuuzi wako.Kwa hiyo baada ya kufuta! Tayari kwenu mnaongoza ligi?
Mlianza kuchanganya Ligi ya Shirikisho na Ligi ya Mabingwa, sasa hivi unachanganya Ligi ya NBC na Ligi ya Mabingwa 😁😁😁Kwa hiyo baada ya kufuta! Tayari kwenu mnaongoza ligi?
Umeandika ujinga tu hapa.Ulipoandika huo upuuzi hukujua kuna watu watasoma.Kwani kuna ligi ngapi uwe unazungumzia nyingine?Fikiri kwanza kabla hujaandika upuuzi wako.