Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Utopolo fc graphics designer mwenywe alikunya double kick+ kinyesi cha farasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Mkuu. Tumetofautiana sana hapa jukwaaniWe una akili tunajadili jezi hapa na moja ya tweet ya mo imeuliza hivo sasa maswala ya ushoga ndo namuuliza yametoka wapi?
Humu naimetimiza miaka 10 na naishigi kwa kupingana kwa hoja na sio kukimbilia maneno ya kike na matusi.
Hizi Simba ya Yanga zisikutoe akili ukaanza kutukana na kukejeli watu ovyoovyo usiowajua Cha zaidi utaonekana mjinga
Kwani nmekutukana mkuu,nimesema wazi tu hii ni edit ya kiwango cha chini sana imefanywa na gay flan,kwani ni wewe kweli???Una akili timamu mkuu? Sasa maswala ya ushoga yanayoka wapi? Kama una hoja Lete tujadili maswala ya kuanza kutukanana na kukadhifiana hayo ni mambo ya kina dada
Bila shaka ukikaidi utapigwa sa sjui utapigwa mbupu sjui,,,okay have good onekinacho mtoka mtu ndio kilicho moyoni mwake, maneno yako yana reflect tabia zako!
Kuna haja gani ya kusema nadhani ni wewe au huoni kua ushapeleka shutuma kwangu.Kwani nmekutukana mkuu,nimesema wazi tu hii ni edit ya kiwango cha chini sana imefanywa na gay flan,kwani ni wewe kweli???
Ushabiki wa kijinga hua sina, I'm a gentleman hizo tabia za Kiswahili sina matusi ni tabia za watu wenye mental illness or ugumu wa maishaBila shaka ukikaidi utapigwa sa sjui utapigwa mbupu sjui,,,okay have good one
Hapana,mpo club bingwa Africa,siyo federation.Kwa hiyo baada ya kufuta! Tayari kwenu mnaongoza ligi?
mashabikiUnapotezea eeh!! Sasa huyu mjinga wako uliyemuweka hapa na wale mashabiki waliomzomea, nani anafanana na hao wanyama?
Ushabiki wa kijinga hua sina, I'm a gentleman hizo tabia za Kiswahili sina matusi ni tabia za watu wenye mental illness or ugumu wa maisha
[emoji3][emoji3]Unapokuwa watchman unabaki tu watchman.Timu zinashiriki on merit.Huwezi kujikimbikiza na logo ya Champions League na wewe unashiriki Confederation Cup.Msiwalaumu mambo haya mageni sana kwao.Hawajui tofauti.Wachungeni wasije wakaenda Guinea.