spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Maziwa ina vitamins ya kutosha ile unakuywa kikombe kimoya unakua na guvu kama ya Simba 😀 😀Hatutaki maziwa ya punda tunataka nyama ya punda kilo moya,tujue ladha yake😄
Jamani Simba wamesema hawana mkataba na huyu jamaa kwamba yeye alikuwa dei waka - kama mkataba anao basi autoe muuone.
si alikuwa anabeba ng'ada kwenye mipira ambayo ni zana zenu za kazi, saa hamhusiki kivip? kwa kifupi mmo!!!klabu iko tayari kutoa ushirikiano kwa mamlaka husika pindi itakapohitajika kwa maslahi ya Taifa.
Sio nguvu kama ya punda😄Maziwa ina vitamins ya kutosha ile unakuywa kikombe kimoya unakua na guvu kama ya Simba 😀 😀
Punda nguvu yake iko mgongoni tuu unataka hyo?Sio nguvu kama ya punda😄
Naahauri mkude na kibu wapekuliwe haraka Sana, ndio maana matola kachomoka fasta🤣🤣Eti reharbal... ebu acheni ushabiki maandazi.
Labda nitumie nguvu yake kumbebeshaZigo la thembee🏃Punda nguvu yake iko mgongoni tuu unataka hyo?
Huna unalojua hapo kuna rushwa Kati ya taasisi na watu. Unawaza kifupi kama puani yako🤣TAKUKURU wanahusikaje na matuminzi ya madawa ya kulevya kumbe mkiambiwa nyie ni manyani mambwa mnabweka bweka hovyo ni kweli?
Ww saga hyo mihogo ulete ubebewe 😀 😀Labda nitumie nguvu yake kumbebeshaZigo la thembee🏃
Rushwa gani sema we kihiyoHuna unalojua hapo kuna rushwa Kati ya taasisi na watu. Unawaza kifupi kama puani yako🤣
Huna akili unaleta tetesi dhidi ya ukweli hizo kesi za manji kukamatwa zlifunguliwa kwako?Kwani manji aliposhikwa na ngada alikamatwa kama manji au taasisi ya yanga akiwa mdhamini wenu?
Ikiwa tayari nikuletee wapi🥱Ww saga hyo mihogo ulete ubebewe 😀 😀
Tff iandae mechi kati ya walamihogo na wala ngadabora kula mihogo kuliko kula unga
Utajua wapi wakati muuza ngada fc🤣Rushwa gani sema we kihiyo