Waliolike hapa ni WAPUMBAVU.Yani wewe una WENGE kweli kweli sijui umekula maharagwe ya wapi wewe..
Kanun zipo hivi... Timu ikimhitaji mchezaji inaandika barua kwa timu atokayo mchezaji then wakiridhiana kwenye terms mchezaji anapewa release leter anaondoka
Sasa kwa kuwa akili za mijitu ya yanga zimechakaa kama jengo lao wanalazimisha eti lazima smba wampe barua morisson
Narudia tena fuateni sheria waandikieni barua mabingwa mara nne "mfulilizo" waelezeni shida zenu za nyuma zitatatuliwa.
Kama Al-ahly walifanya hivyo kwa Luis, berkane walifanya hivyo kwa Chama, Tp mazembe walifanya hivyo kwa Sammata nyie vyura ni nani msifuate utaratibu pumbavvvvvv?
10 days to go na kumfukuza wenyewe!!! ndio uzuie release letter ya mchezaji aliyewapa raha siku zote hizo, shame on you. Historia itawahukumu kama ile ya manara. Malipo ni hapahapa duniani.Kama amemaliza mkataba release letter ya nn?
Amemaliza tarehe ngapi?Au na wewe ndio wale nyuma umechomekwa mwiko?mchezaji mmeshamtupia virago, mkataba wake umekwisha na msimu umekwisha, mpeni barua yake akahangaike huko aendako.
Ni sheria gani ya TFF/cecafa/caf/fifa inayokataza mchezaji aliyemaliza mkataba wake kupewa release letter yeye mwenyewe? Ndio maana mtapata taabu sana, maana hamkui, mmedumaa.
Huyu jamaa mlimnunua mapeema sana.Alicheza chini ya kiwango na kujaribu kujitafutia red card ili aigharimu Simba.Morrison sio kivileee kwa yanga ya sasa iliyochukua ubingwa kutoka kwa Simba yenye Morrison huyohuyo. Wanachofanya simba ni kumkomoa Morrison sio Yanga, yanga can do with or without Morrison.
Huu ni wakati wa usajili kwa vijana wapate riziki zao sio sawa kutaka kuuza mkataba wa siku 10 zilizobakia. Mnatia aibu kimataifa bila sababu ya maana.
Angetaka kujiunga na hizo timu unadhani zingeshindwa nini kuomba kwa Simba?sio kweli, kama Morrison angekuwa anajiunga na timu ya Azam au namungo hadithi ingekuwa tofauti. Tunachosema sisi huku ni kusahau mchango wa morrison kizembe kabisa, lakini ni awaking call kwa wachezaji wenu wengine wa kigeni, maana wakati mwenzao Morrison akinyolewa wao wanajiandaa kwa kuweka maji nywele zao. Unajengea hofu wachezaji wenu bila sababu za msingi kabisa, maana Morrison ana marafiki wengi ndani ya wachezaji wa Simba waliobaki ambao hawapendi kuona Morrison anaharibiwa maisha na career yake kizembe hivyo.
Ndio maana tunasema Simba hakuna viongozi wenye weledi kwenye mpira, ni watu TU wapi wenye malengo ya pesa TU kupitia Simba. Kulikuwa na haja gani kumtangizia mapemaaa mchezaji na umma kuwa umemuacha mchezaji kabla ya mkataba wake kwisha? Kwani ingekuaje kama mngekaa kimya hadi muda mwafaka wa kutangaza kuachana nae ufike? Kifupi viongozi uchwara walifanya maamuzi kwa hasira na Sasa hasira imekwisha wanafahamu walipokosea. Yaani ni ule msemo wa ukijamba kwa hasira utajinyea, Simba walijamba kwa hasira wakajinyea kwenye chupi. Wamegundua Sasa kuwa kosa la Morrison lilikuwa dogo kuliko adhabu waliyompa, wanamhitaji kuliko yeye anavyowahitaji.Boss mbna unahangaika wewe?
Sisi simba naomba niweke hili wazi sawa
Sio kwamba morrison ametukataa hapana ni sisi wenyewe tumeamua kumuacha mapeeema tu na tukatoa official statement TUNAMUACHA
sasa wewe chura hatukusema tunamuacha LINI saa ngapi wala hawajasema wanamuacha kabla ya mkataba
Nashangaa mchezaji aliewaacha kwa mbwembwe leo hii mnalialia kisa yeye
Ati tunatisha wachezaji wengine watatuogopa. Naomba niweke hili neno na LIKUINGIE kwenye hilo fuvu lako hapo. Ni timu chache sana hapa Afrika ambazo zinaweza kumchukua mchezaji mbele yetu hazizidi 10
Wachezaji wengi wanaotaka kwenda afu mbna sisi hatuna baya
Bwalya huyoo Amazulu
Miqqusone na ule ubora wake wooote tumemuacha aende kwenye dunia ya waarabu
Chama RS berkane tulimuacha
Na wengine kibao
Yanga acheni ureee toeni hela mchezaji mpewe
Hizi nyuzi za kulialia hazisaidii fuata chuma pale msimbazi mkuu
Y're too naive.Ndio maana tunasema Simba hakuna viongozi wenye weledi kwenye mpira, ni watu TU wapi wenye malengo ya pesa TU kupitia Simba. Kulikuwa na haja gani kumtangizia mapemaaa mchezaji na umma kuwa umemuacha mchezaji kabla ya mkataba wake kwisha? Kwani ingekuaje kama mngekaa kimya hadi muda mwafaka wa kutangaza kuachana nae ufike? Kifupi viongozi uchwara walifanya maamuzi kwa hasira na Sasa hasira imekwisha wanafahamu walipokosea. Yaani ni ule msemo wa ukijamba kwa hasira utajinyea, Simba walijamba kwa hasira wakajinyea kwenye chupi. Wamegundua Sasa kuwa kosa la Morrison lilikuwa dogo kuliko adhabu waliyompa, wanamhitaji kuliko yeye anavyowahitaji.
Hakuna anaekataa kuwa Morrison ni mchezaji halali wa Simba aliyebakiza mwezi mmoja kwenye mkataba wake na Simba. Lakini hakuna mtu asiyefahamu kuwa Simba ilimuaga rasmi morrison kuwa hawana Nia ya kuendelea nae kwenye mechi hadi mwisho wa mkataba wake, maana yake aende mbele kwa mbele wasijuane tena. Kuna ubaya gani kwa mchezaji aliyeitumikia timu kwa nguvu, akili na mahaba makubwa kuiomba club yake impe release letter ili awe huru kusajiliwa kwingine mapema? Kumbuka kuwa Kuna timu ambazo hazina uwezo wa kununua mkataba wa mchezaji. Hapa ni swala la roho mbaya linapoingia kwenye hili.Sasa hapa ndio umethibitisha utopolo akili zenu zimeshikwa na Sope.
Wawa ameagwa jana baada ya mkataba kumalizika, umesikia akidai release letter? Unaposhindwa kuendelea na mkataba haustahili barua ya kuvunja mkataba bali unasubiri mkataba uishe ili uwe free agent.
Hebu tuambie barua unayodai apewe itakuwa na maelezo gani? Au ndio na wewe umesikia wachambuzi wakiongelea barua na wewe ukaona uandike uzi huku hujui barua inahusu nini?
Hahaha, nyie hiyo ndio micheZo yenu. Mliifunga Yanga 4-1 baada ya kuwanunua akina Morrison, yondan, ajib, nk.Huyu jamaa mlimnunua mapeema sana.Alicheza chini ya kiwango na kujaribu kujitafutia red card ili aigharimu Simba.
Nawapongeza kwa kucheza mechi nje ya uwanja.Huko kimataifa mkiweza tena hiyo michezo yenu,nitawakubali kuwa mmekuwa wakubwa.
Yani leo kuna watu wenye akili timamu wanaomtetea Morrison? Kweli aliyewaroga kafa.sio kweli, kama Morrison angekuwa anajiunga na timu ya Azam au namungo hadithi ingekuwa tofauti. Tunachosema sisi huku ni kusahau mchango wa morrison kizembe kabisa, lakini ni awaking call kwa wachezaji wenu wengine wa kigeni, maana wakati mwenzao Morrison akinyolewa wao wanajiandaa kwa kuweka maji nywele zao. Unajengea hofu wachezaji wenu bila sababu za msingi kabisa, maana Morrison ana marafiki wengi ndani ya wachezaji wa Simba waliobaki ambao hawapendi kuona Morrison anaharibiwa maisha na career yake kizembe hivyo.
Wanalaumiwa Simba waliomtaka Morisson afuate utaratibu ila unasahau Yanga walifoji mkataba na kumfungulia kesi kuwa ni mchezaji wao.Simba haionyeshi ukomavu kwenye soka hata baada ya kufikisha miaka zaidi ya 80 tangu kuanzishwa kwake.
Kila mtu waliwasikia viongozi wa Simba wakimuaga na kumtakia kheri Morrison huko aendako wakimaanisha kuwa aende mbele kwa mbele huko hata kabla ya msimu kumalizika kuonyesha kuwa hawana kazi nae tena.
Huu ni msimu wa usajili kwa wachezaji duniani kote hivyo Morrison alipaswa kupewa barua yake ili imsaidie kupata timu popote duniani.
Kitendo cha Simba kumnyima barua mchezaji ambae hawana kazi nae hata baada ya mchezaji kuiomba sio kitendo cha uungwana kwa Morrison aliyeitumikia Simba kwa mapenzi makubwa sana.
Kitendo hiki sio tu kwamba kitaipa Simba laana kubwa lakini kitawaohopesha na kiwatia hofu wachezaji wengine wa kigeni kwenye club ya Simba.
Uhasama wa Simba na Yanga usivuke viwango vya mpira. Mpira ni maisha ya wachezaji. Morrison asiposajiliwa hasara haiendi kwa Yanga bali kwa Morrison kwakuwa Yanga Ina wachezaji wengi wazuri kama au zaidi ya Morrison.
Hii itaitia Simba hasara, maana wachezaji wengi wa kigeni ipo siku Simba haitakuwa chaguo lao la kwanza kujiunga nayo.
Tulitangaza vile KWA SABABU yawezekana morrison alikua na utovu wa nidhamu na kama tunavojuana mashabiki wa bongo tuna manenoNdio maana tunasema Simba hakuna viongozi wenye weledi kwenye mpira, ni watu TU wapi wenye malengo ya pesa TU kupitia Simba. Kulikuwa na haja gani kumtangizia mapemaaa mchezaji na umma kuwa umemuacha mchezaji kabla ya mkataba wake kwisha? Kwani ingekuaje kama mngekaa kimya hadi muda mwafaka wa kutangaza kuachana nae ufike? Kifupi viongozi uchwara walifanya maamuzi kwa hasira na Sasa hasira imekwisha wanafahamu walipokosea. Yaani ni ule msemo wa ukijamba kwa hasira utajinyea, Simba walijamba kwa hasira wakajinyea kwenye chupi. Wamegundua Sasa kuwa kosa la Morrison lilikuwa dogo kuliko adhabu waliyompa, wanamhitaji kuliko yeye anavyowahitaji.
tunaongea lugha ya soka na sio kutetea mtu. Morrison aliitenda hata yanga, hata kaizer chiefs, lakini hiyo haisababishi tufanye unsporting behavours kwa mchezaji. Huu ni wakati wa usajili mpeni ruhusa akahangaike na changamoto mpya. Huyu Morrison hatofautiani sana na Emmanuel Okwi kitabia.Yani leo kuna watu wenye akili timamu wanaomtetea Morrison? Kweli aliyewaroga kafa.beha