Simba wanasajili wachezaji bila kuwa na kocha mkuu

Simba wanasajili wachezaji bila kuwa na kocha mkuu

Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita

Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu
Unaweza ukatuhakikishia hapa kuwa Kocha Gamondi ndiye anayesajili wachezaji Yanga?
 
Mbona mmemsajili mzee chama konokono huku haendani na mfumo wa kocha wenu?

Wachezaji anaowatumia gamondi wote aliwasajili yeye?

Kwa taarifa yako simba walishampata kocha wao mapema tu japo hajatangazwa rasmi . Na wachezaji wanaosajiliwa ni mapendekezo yake.
Yanga wamesajili chama huku wakijihakikishia gamond anabaki
 
Kwani kocha akisajiliwa katikati ya msimu ambapo hakuna dirisha la usajili anawezaje kuwatumia hao wachezaji ambao tayari wapo?

Kwamba Simba ilihitaji kocha ili kujua kama inaweza kuongeza mkataba na Ayoub Lakred?

Kwamba Simba ilihitaji kocha mpya ili kujua kama inaweza kuongeza mkataba na Mzamiru?

Huyo kocha angekuwa na maoni gani kwenye sajiki za ndani kama Lameck Lawi, lini aliwahi kumuona?
Unaakili ndogo sana
Ndo maana misimu miwili makocha sita na bado mashabiki hamshtuki
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita

Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu
Miaka mingi iliyo pita mabingwa wa uskoch wa muda wote FC RANGERS waliwai chukua ubingwa bila kua na kocha..

Mimi binafsi hali nishangazi

Kwa Sasa
Safarini Zanzibar
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita

Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu
Mdomo mdogo unafosi kula muwa !! Kitulize utaskia tu usajili wa kocha mpya
 
Kulikuwa na umuhimu mkubwa,kumwajiri kocha mkuu asimamie zoezi la usajiri ni Kosa kusajiri kwa kutumia ripoti ya kocha aliyeondoka Hawa kila mmoja na msimamo na falsafa yake ndiyo maana mlitaka kumwacha kibu kipindi Nanakuja robentinyo kwa kutumia ripoti ya aliyeondoka lakini alipofika akasema msimwacge ana nifaa kwenye mbinu Zangu, sasa kwa hiking kinachoendelea tusingependa kusikia tena huko mbeleni kuwa hamtaki mangungu wakati sasa mnaunga mkono wanachokifanya
 
Kulikuwa na umuhimu mkubwa,kumwajiri kocha mkuu asimamie zoezi la usajiri ni Kosa kusajiri kwa kutumia ripoti ya kocha aliyeondoka Hawa kila mmoja na msimamo na falsafa yake ndiyo maana mlitaka kumwacha kibu kipindi Nanakuja robentinyo kwa kutumia ripoti ya aliyeondoka lakini alipofika akasema msimwacge ana nifaa kwenye mbinu Zangu, sasa kwa hiking kinachoendelea tusingependa kusikia tena huko mbeleni kuwa hamtaki mangungu wakati sasa mnaunga mkono wanachokifanya
Tatizo la simba ni kubwa sana kuliko hata mangungu Muwekezaji wa simba dewji ni tatizo sana ni mtu anayependa sana shortcut

Kumwacha chama kumewaumiza sana mashabiki wengi anavyosajili wachezaji wengi ni kama anataka kuwasahaulisha mashabiki wa simba kuhusu chama
 
Mbona mapendekezo ni mengi? Nyie mnajua kuliko Simba wenyewe?
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita

Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu

Simba wamelogwa!
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita

Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu
 
Back
Top Bottom