Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

Tusubiri matokeo
 
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Mzungu poriΓ·
Wenye akili wapo wawili tu ndani ya utopolo hata kama umesoma vipi ila ukiwa kiongozi au mwanachama na shabiki basi we una akili.
Na kuna kocha alisema
Mashabiki wa utopolo ni manyani
HAPO VIPI?.
 
Mzungu poriΓ·
Wenye akili wapo wawili tu ndani ya utopolo hata kama umesoma vipi ila ukiwa kiongozi au mwanachama na shabiki basi we una akili.
Na kuna kocha alisema
Mashabiki wa utopolo ni manyani
HAPO VIPI?.
Mwanachama hai wa Rage
Ametoka machakani
 
Nimeona Koti la Msemaji wa Simba, Koti la Bwana mifugo anavalishwa Kiongozi.
Sanda ana wazalilisha mbumbumbu.
Ata kama mpo Algeria vijijini lakini si wakuvalishana Makoti ya madaktari wa mifugo.
 
Nimeona Koti la Msemaji wa Simba, Koti la Bwana mifugo anavalishwa Kiongozi.
Sanda ana wazalilisha mbumbumbu.
Ata kama mpo Algeria vijijini lakini si wakuvalishana Makoti ya madaktari wa mifugo.
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
 
No wonder unsjiita Ngara hala 23 yaanimwaka uliofanikiwa kwenda mjini ukitokea huko Ngara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…