Simba wasitafute mchawi ...mchawi wa simba namba1 ni Ahmed Ally...siku huyu jamaa atakapofukuzwa kazi simba itarudi kwenye ubora wake

Simba wasitafute mchawi ...mchawi wa simba namba1 ni Ahmed Ally...siku huyu jamaa atakapofukuzwa kazi simba itarudi kwenye ubora wake

Huo ni uongoooooo....kila mwanasimba anaogopa kuikosoa Simba wapi?? Umeingia page ya Simba baada ya matokeo jana? .sio nyie utopolo mlikua mnasema kwamba mashabiki wa Simba hawana uvumilivu..haya baadhi wameanza kukaa na timu yao na kuvumilia na kuwapa muda mnaibuka tena mnataka wapige kelele??
Umeelewa mada mkuu au umekurupuka usingizini
 
HAYA NI MAAJABU...
Msemaji wa timu anawezaje kuathiri performance ya timu? Timu ina kocha mkuu, kocha wa makipa, kocha wa mazoezi ya viungo, daktari, na watu wengine wa mambo ya ufundi. Ninadhani hao ndo wenye majibu. Sijawahi kuona timu imefanya vibaya akafukuzwa msemaji... HAKIKA HAYA NI MAAJAABU.
Inamana hujui kwamba hata mashabiki au vyote vya habari vinaweza kuhathiri performance ya timu au ya mchezaji mmoja mmoja....perforamnce ya wachezaji inaanzia kwenye saikolojia yake na saikolojia ya mchezaji inaweza kuharibiwa na sifa za uongo uongo anazopewa....kocha hata akiweka maarifa yake inakua kazi bure..kama hujui mpira ni bora ukakaa kimya mkuu
 
Kosa kubwa la Ahmed Ally ni ubinafsi na kulinda kibarua chake kuliko kupigania ubora wa timu...anatumia nguvu nyingi sana kushindana na kina Ally Kamwe na na akina Hashim Ibwe ili aonekane kama yeye ndo semaji namba1 wa mpira hapa nchini.Simba inahitaji wachezaii wake waambiwe ukweli kwasababu wengi ni maingizo mapya na bado wapo katika mchakato wa kuijenga timu.kusifiasifa tu kiboya ni kuwalemaza wachezaji na kuwafanya wabweteke.Aache kabisa kumuiga ally kamwe na masifa yake yeye tayari anakikosa ambacho kimekaa pamoja mda mrefu na tayari ana timu ya ushindani

Ahemd Ally Hataki kabisa kuuzungumzia mpira ila yeye muda mwingi anautumia kusifia ujinga na kuwaaminisha wanasimba wenzie kua tayari simba ina kikosi bora na kikosi cha ushindani lakini kama wewe ni mtu wa mpira ukiona jinsi simba inavyocheza uwanjani utangundua timu bado ina mapungufu mengi sana ya kiufundi...wachezaji hawajitumi na mda mwingi wanapiga back pass na hata wakilazimisha kwenda mbele mipira mingi inapotea kizembe.Mashabiki wa simba walio wengi wameingia kwenye mtego wa
Ahmed Ally hawataki tena kuikosoa timu yao na sasa wameingia kwnye propaganda kua simba inaonewa na marefa na yanga wananunua mechi kupitia kuhonga marefa na udhamini wa gsm na ndomana wanafanikiwa...ila ukitizama "workrate" ya wachezaji wa yanga uwanjani ambao wananunua mechi na "workrate" ya wachezaji wa simba ambao hawanunui mechi ni mbingu na ardhi.

Kwenye mitandao ya kijamii Ahmed Ally ametengeza group la mashabiki wanaojiita "simba influencer" ambao kazi yako ni kuisifia tu timu hata kama haichezi vzr na akitokea mshabiki yeyote wa simba atakaeiongelea simba vibaya basi ataonekana ni mamluki na ametumwa na yanga.Ahmed Ally anatakiwa awaache wanasimba wawe huru kuelezea hisia zao hata kama ni hisia hasi juu ya timu yao kwasababu kukosoa wakati mwingine ndio kujenga.Hawa influencers wamekua kama machawa wa timu na hawako kwa ajilu ya maendeleo ya timu ila wako kwa ajili ya maslahi yao banafsi kwasababu wanaopewa hela za nauli na posho za safari na kujikimu pamoja na viingilio kokote timu inapokwenda..ila ukiwaona kwa jicho la pili unaweza kuwaona kama ndo wapenzi wa simba namba moja ila kiukweli hawa ni machawa tu wa Ahmed Ally na wapo kwa mslahi binafsi ya matumbo yao na sio kwa maslahi ya timu.Hata waandishi wa habari wanaowahoji kila siku kwenye mitandao pia wanalipwa kwa ajili ya kueneza propaganda zao

Kila mwanasimba sasa anaogopa kuikosoa timu yake kwa propaganda zilizotengenezwa na Ahmed Ally ndomana wachezaji wa simba wanabweteka na hawajitumi kwasababu wanajiona tayari wameshakua wakubwa kwa kauli za kuwasifia kila siku za msemaji wao Ahmed Ally lakini impact yao kiwanjani ni ndogo sana

Wanasimba kama wanahitaji timu yao iwe bora waachane na propaganda za Ahmed Ally badala yake wasifie panapohitajika kusifiwa na wakosoe panapohitajika kukosolewa na pia wakubali kujifunza kutoka kwa watanu wao ambao hakuna ubishi wowote kua kwasasa ndio klabu yenye kikosi bora na ndio mabingwa wa nchi misimu mitatu mfululizo

Mytake:
Ahmed Ally anatakiwa ajiuzulu kazi yake ya usemaji kwa maslahi mapana ya klabu kwasababu yeye ndo adui namba1 wa simbaView attachment 3249216
Sisi tunaojua Mpira Wala uyo Ahmed Aly uwa atumzingatii tunajua anatetea ugali wake anajaribu kutaka kumfunika manara aliyokuwa anafanya akiwa Simba lakini anachemka vibaya sana,,
 
Kwa hiyo unataka kusema wachezaji wanamsikiliza msemaji badala ya kocha katika masuala ya kiufundi? Kama ni kweli, basi hao wachezaji watakuwa na matatizo makubwa sana.
Mwenye matatizo ni mleta màda, ana bifu na Ahmed Ally. Toka lini semaji akapanga kikosi hapo Simba?
 
Kosa kubwa la Ahmed Ally ni ubinafsi na kulinda kibarua chake kuliko kupigania ubora wa timu...anatumia nguvu nyingi sana kushindana na kina Ally Kamwe na na akina Hashim Ibwe ili aonekane kama yeye ndo semaji namba1 wa mpira hapa nchini.Simba inahitaji wachezaii wake waambiwe ukweli kwasababu wengi ni maingizo mapya na bado wapo katika mchakato wa kuijenga timu.kusifiasifa tu kiboya ni kuwalemaza wachezaji na kuwafanya wabweteke.Aache kabisa kumuiga ally kamwe na masifa yake yeye tayari anakikosa ambacho kimekaa pamoja mda mrefu na tayari ana timu ya ushindani

Ahemd Ally Hataki kabisa kuuzungumzia mpira ila yeye muda mwingi anautumia kusifia ujinga na kuwaaminisha wanasimba wenzie kua tayari simba ina kikosi bora na kikosi cha ushindani lakini kama wewe ni mtu wa mpira ukiona jinsi simba inavyocheza uwanjani utangundua timu bado ina mapungufu mengi sana ya kiufundi...wachezaji hawajitumi na mda mwingi wanapiga back pass na hata wakilazimisha kwenda mbele mipira mingi inapotea kizembe.Mashabiki wa simba walio wengi wameingia kwenye mtego wa
Ahmed Ally hawataki tena kuikosoa timu yao na sasa wameingia kwnye propaganda kua simba inaonewa na marefa na yanga wananunua mechi kupitia kuhonga marefa na udhamini wa gsm na ndomana wanafanikiwa...ila ukitizama "workrate" ya wachezaji wa yanga uwanjani ambao wananunua mechi na "workrate" ya wachezaji wa simba ambao hawanunui mechi ni mbingu na ardhi.

Kwenye mitandao ya kijamii Ahmed Ally ametengeza group la mashabiki wanaojiita "simba influencer" ambao kazi yako ni kuisifia tu timu hata kama haichezi vzr na akitokea mshabiki yeyote wa simba atakaeiongelea simba vibaya basi ataonekana ni mamluki na ametumwa na yanga.Ahmed Ally anatakiwa awaache wanasimba wawe huru kuelezea hisia zao hata kama ni hisia hasi juu ya timu yao kwasababu kukosoa wakati mwingine ndio kujenga.Hawa influencers wamekua kama machawa wa timu na hawako kwa ajilu ya maendeleo ya timu ila wako kwa ajili ya maslahi yao banafsi kwasababu wanaopewa hela za nauli na posho za safari na kujikimu pamoja na viingilio kokote timu inapokwenda..ila ukiwaona kwa jicho la pili unaweza kuwaona kama ndo wapenzi wa simba namba moja ila kiukweli hawa ni machawa tu wa Ahmed Ally na wapo kwa mslahi binafsi ya matumbo yao na sio kwa maslahi ya timu.Hata waandishi wa habari wanaowahoji kila siku kwenye mitandao pia wanalipwa kwa ajili ya kueneza propaganda zao

Kila mwanasimba sasa anaogopa kuikosoa timu yake kwa propaganda zilizotengenezwa na Ahmed Ally ndomana wachezaji wa simba wanabweteka na hawajitumi kwasababu wanajiona tayari wameshakua wakubwa kwa kauli za kuwasifia kila siku za msemaji wao Ahmed Ally lakini impact yao kiwanjani ni ndogo sana

Wanasimba kama wanahitaji timu yao iwe bora waachane na propaganda za Ahmed Ally badala yake wasifie panapohitajika kusifiwa na wakosoe panapohitajika kukosolewa na pia wakubali kujifunza kutoka kwa watanu wao ambao hakuna ubishi wowote kua kwasasa ndio klabu yenye kikosi bora na ndio mabingwa wa nchi misimu mitatu mfululizo

Mytake:
Ahmed Ally anatakiwa ajiuzulu kazi yake ya usemaji kwa maslahi mapana ya klabu kwasababu yeye ndo adui namba1 wa simbaView attachment 3249216
Usimlaumu, mfumo wa siasa za CCM za kusifia Sifia hovyo bila mantiki umewaathiri hadi wasemaji wa hizi klabu zetu za mpira, nyeupe atakwambia nyeusi na nyeusi atakwambia nyeupe
 
Sisi tunaojua Mpira Wala uyo Ahmed Aly uwa atumzingatii tunajua anatetea ugali wake anajaribu kutaka kumfunika manara aliyokuwa anafanya akiwa Simba lakini anachemka vibaya sana,,
Mnaoujua mpira mmeisaidiaje simba hadi sasa? Mwaka wa nne sasa mnaojua Mpira mpo tu jf kama mazuzu timu linazidi kuwa utopolo.
Acha Ahmed Ally awafundishe mpira keyboard worriers.
 
Kosa kubwa la Ahmed Ally ni ubinafsi na kulinda kibarua chake kuliko kupigania ubora wa timu...anatumia nguvu nyingi sana kushindana na kina Ally Kamwe na na akina Hashim Ibwe ili aonekane kama yeye ndo semaji namba1 wa mpira hapa nchini.Simba inahitaji wachezaii wake waambiwe ukweli kwasababu wengi ni maingizo mapya na bado wapo katika mchakato wa kuijenga timu.kusifiasifa tu kiboya ni kuwalemaza wachezaji na kuwafanya wabweteke.Aache kabisa kumuiga ally kamwe na masifa yake yeye tayari anakikosa ambacho kimekaa pamoja mda mrefu na tayari ana timu ya ushindani

Ahemd Ally Hataki kabisa kuuzungumzia mpira ila yeye muda mwingi anautumia kusifia ujinga na kuwaaminisha wanasimba wenzie kua tayari simba ina kikosi bora na kikosi cha ushindani lakini kama wewe ni mtu wa mpira ukiona jinsi simba inavyocheza uwanjani utangundua timu bado ina mapungufu mengi sana ya kiufundi...wachezaji hawajitumi na mda mwingi wanapiga back pass na hata wakilazimisha kwenda mbele mipira mingi inapotea kizembe.Mashabiki wa simba walio wengi wameingia kwenye mtego wa
Ahmed Ally hawataki tena kuikosoa timu yao na sasa wameingia kwnye propaganda kua simba inaonewa na marefa na yanga wananunua mechi kupitia kuhonga marefa na udhamini wa gsm na ndomana wanafanikiwa...ila ukitizama "workrate" ya wachezaji wa yanga uwanjani ambao wananunua mechi na "workrate" ya wachezaji wa simba ambao hawanunui mechi ni mbingu na ardhi.

Kwenye mitandao ya kijamii Ahmed Ally ametengeza group la mashabiki wanaojiita "simba influencer" ambao kazi yako ni kuisifia tu timu hata kama haichezi vzr na akitokea mshabiki yeyote wa simba atakaeiongelea simba vibaya basi ataonekana ni mamluki na ametumwa na yanga.Ahmed Ally anatakiwa awaache wanasimba wawe huru kuelezea hisia zao hata kama ni hisia hasi juu ya timu yao kwasababu kukosoa wakati mwingine ndio kujenga.Hawa influencers wamekua kama machawa wa timu na hawako kwa ajilu ya maendeleo ya timu ila wako kwa ajili ya maslahi yao banafsi kwasababu wanaopewa hela za nauli na posho za safari na kujikimu pamoja na viingilio kokote timu inapokwenda..ila ukiwaona kwa jicho la pili unaweza kuwaona kama ndo wapenzi wa simba namba moja ila kiukweli hawa ni machawa tu wa Ahmed Ally na wapo kwa mslahi binafsi ya matumbo yao na sio kwa maslahi ya timu.Hata waandishi wa habari wanaowahoji kila siku kwenye mitandao pia wanalipwa kwa ajili ya kueneza propaganda zao

Kila mwanasimba sasa anaogopa kuikosoa timu yake kwa propaganda zilizotengenezwa na Ahmed Ally ndomana wachezaji wa simba wanabweteka na hawajitumi kwasababu wanajiona tayari wameshakua wakubwa kwa kauli za kuwasifia kila siku za msemaji wao Ahmed Ally lakini impact yao kiwanjani ni ndogo sana

Wanasimba kama wanahitaji timu yao iwe bora waachane na propaganda za Ahmed Ally badala yake wasifie panapohitajika kusifiwa na wakosoe panapohitajika kukosolewa na pia wakubali kujifunza kutoka kwa watanu wao ambao hakuna ubishi wowote kua kwasasa ndio klabu yenye kikosi bora na ndio mabingwa wa nchi misimu mitatu mfululizo

Mytake:
Ahmed Ally anatakiwa ajiuzulu kazi yake ya usemaji kwa maslahi mapana ya klabu kwasababu yeye ndo adui namba1 wa simbaView attachment 3249216
Mimi sio kolo, lakini sioni shida ya Ahmed Ally kama msemaji wa makolo. Naona anafanya vema majukumu yake.
 
Inamana hujui kwamba hata mashabiki au vyote vya habari vinaweza kuhathiri performance ya timu au ya mchezaji mmoja mmoja....perforamnce ya wachezaji inaanzia kwenye saikolojia yake na saikolojia ya mchezaji inaweza kuharibiwa na sifa za uongo uongo anazopewa....kocha hata akiweka maarifa yake inakua kazi bure..kama hujui mpira ni bora ukakaa kimya mkuu
Acha kutetea upumbavu
 
Kosa kubwa la Ahmed Ally ni ubinafsi na kulinda kibarua chake kuliko kupigania ubora wa timu...anatumia nguvu nyingi sana kushindana na kina Ally Kamwe na na akina Hashim Ibwe ili aonekane kama yeye ndo semaji namba1 wa mpira hapa nchini.Simba inahitaji wachezaii wake waambiwe ukweli kwasababu wengi ni maingizo mapya na bado wapo katika mchakato wa kuijenga timu.kusifiasifa tu kiboya ni kuwalemaza wachezaji na kuwafanya wabweteke.Aache kabisa kumuiga ally kamwe na masifa yake yeye tayari anakikosa ambacho kimekaa pamoja mda mrefu na tayari ana timu ya ushindani

Ahemd Ally Hataki kabisa kuuzungumzia mpira ila yeye muda mwingi anautumia kusifia ujinga na kuwaaminisha wanasimba wenzie kua tayari simba ina kikosi bora na kikosi cha ushindani lakini kama wewe ni mtu wa mpira ukiona jinsi simba inavyocheza uwanjani utangundua timu bado ina mapungufu mengi sana ya kiufundi...wachezaji hawajitumi na mda mwingi wanapiga back pass na hata wakilazimisha kwenda mbele mipira mingi inapotea kizembe.Mashabiki wa simba walio wengi wameingia kwenye mtego wa
Ahmed Ally hawataki tena kuikosoa timu yao na sasa wameingia kwnye propaganda kua simba inaonewa na marefa na yanga wananunua mechi kupitia kuhonga marefa na udhamini wa gsm na ndomana wanafanikiwa...ila ukitizama "workrate" ya wachezaji wa yanga uwanjani ambao wananunua mechi na "workrate" ya wachezaji wa simba ambao hawanunui mechi ni mbingu na ardhi.

Kwenye mitandao ya kijamii Ahmed Ally ametengeza group la mashabiki wanaojiita "simba influencer" ambao kazi yako ni kuisifia tu timu hata kama haichezi vzr na akitokea mshabiki yeyote wa simba atakaeiongelea simba vibaya basi ataonekana ni mamluki na ametumwa na yanga.Ahmed Ally anatakiwa awaache wanasimba wawe huru kuelezea hisia zao hata kama ni hisia hasi juu ya timu yao kwasababu kukosoa wakati mwingine ndio kujenga.Hawa influencers wamekua kama machawa wa timu na hawako kwa ajilu ya maendeleo ya timu ila wako kwa ajili ya maslahi yao banafsi kwasababu wanaopewa hela za nauli na posho za safari na kujikimu pamoja na viingilio kokote timu inapokwenda..ila ukiwaona kwa jicho la pili unaweza kuwaona kama ndo wapenzi wa simba namba moja ila kiukweli hawa ni machawa tu wa Ahmed Ally na wapo kwa mslahi binafsi ya matumbo yao na sio kwa maslahi ya timu.Hata waandishi wa habari wanaowahoji kila siku kwenye mitandao pia wanalipwa kwa ajili ya kueneza propaganda zao

Kila mwanasimba sasa anaogopa kuikosoa timu yake kwa propaganda zilizotengenezwa na Ahmed Ally ndomana wachezaji wa simba wanabweteka na hawajitumi kwasababu wanajiona tayari wameshakua wakubwa kwa kauli za kuwasifia kila siku za msemaji wao Ahmed Ally lakini impact yao kiwanjani ni ndogo sana

Wanasimba kama wanahitaji timu yao iwe bora waachane na propaganda za Ahmed Ally badala yake wasifie panapohitajika kusifiwa na wakosoe panapohitajika kukosolewa na pia wakubali kujifunza kutoka kwa watanu wao ambao hakuna ubishi wowote kua kwasasa ndio klabu yenye kikosi bora na ndio mabingwa wa nchi misimu mitatu mfululizo

Mytake:
Ahmed Ally anatakiwa ajiuzulu kazi yake ya usemaji kwa maslahi mapana ya klabu kwasababu yeye ndo adui namba1 wa simbaView attachment 3249216
Kwani yeye ndiye kocha mpaka umlaumu?
 
Ndugu lazima ujuee kuwatofautisha awa wasemaji, Ahmed Ally ni mchekeshaji katika fani, Ally Kamwe ni Mwandishi na amesha andika Makala za kutosha kuusaidia mpira wa Tanzania.
Alishafanya kazi chimi ya wataaluma wa uandishi na habari za michezo apo kabla chini ya (Bumbuli) Ana Leseni ya ukocha CAF Daraja C, ameshakua Mchambuzi wa mpira wa Miguu pale Azam.

Ally Kamwe ana uzoefu na ufahamu wa soka letu kwa muda mrefu kuliko Ahmed Ally.
Na ww bwanaaa hahahaa..mwandishi kasomea chuo gani
 
Kosa kubwa la Ahmed Ally ni ubinafsi na kulinda kibarua chake kuliko kupigania ubora wa timu...anatumia nguvu nyingi sana kushindana na kina Ally Kamwe na na akina Hashim Ibwe ili aonekane kama yeye ndo semaji namba1 wa mpira hapa nchini.Simba inahitaji wachezaii wake waambiwe ukweli kwasababu wengi ni maingizo mapya na bado wapo katika mchakato wa kuijenga timu.kusifiasifa tu kiboya ni kuwalemaza wachezaji na kuwafanya wabweteke.Aache kabisa kumuiga ally kamwe na masifa yake yeye tayari anakikosa ambacho kimekaa pamoja mda mrefu na tayari ana timu ya ushindani

Ahemd Ally Hataki kabisa kuuzungumzia mpira ila yeye muda mwingi anautumia kusifia ujinga na kuwaaminisha wanasimba wenzie kua tayari simba ina kikosi bora na kikosi cha ushindani lakini kama wewe ni mtu wa mpira ukiona jinsi simba inavyocheza uwanjani utangundua timu bado ina mapungufu mengi sana ya kiufundi...wachezaji hawajitumi na mda mwingi wanapiga back pass na hata wakilazimisha kwenda mbele mipira mingi inapotea kizembe.Mashabiki wa simba walio wengi wameingia kwenye mtego wa
Ahmed Ally hawataki tena kuikosoa timu yao na sasa wameingia kwnye propaganda kua simba inaonewa na marefa na yanga wananunua mechi kupitia kuhonga marefa na udhamini wa gsm na ndomana wanafanikiwa...ila ukitizama "workrate" ya wachezaji wa yanga uwanjani ambao wananunua mechi na "workrate" ya wachezaji wa simba ambao hawanunui mechi ni mbingu na ardhi.

Kwenye mitandao ya kijamii Ahmed Ally ametengeza group la mashabiki wanaojiita "simba influencer" ambao kazi yako ni kuisifia tu timu hata kama haichezi vzr na akitokea mshabiki yeyote wa simba atakaeiongelea simba vibaya basi ataonekana ni mamluki na ametumwa na yanga.Ahmed Ally anatakiwa awaache wanasimba wawe huru kuelezea hisia zao hata kama ni hisia hasi juu ya timu yao kwasababu kukosoa wakati mwingine ndio kujenga.Hawa influencers wamekua kama machawa wa timu na hawako kwa ajilu ya maendeleo ya timu ila wako kwa ajili ya maslahi yao banafsi kwasababu wanaopewa hela za nauli na posho za safari na kujikimu pamoja na viingilio kokote timu inapokwenda..ila ukiwaona kwa jicho la pili unaweza kuwaona kama ndo wapenzi wa simba namba moja ila kiukweli hawa ni machawa tu wa Ahmed Ally na wapo kwa mslahi binafsi ya matumbo yao na sio kwa maslahi ya timu.Hata waandishi wa habari wanaowahoji kila siku kwenye mitandao pia wanalipwa kwa ajili ya kueneza propaganda zao

Kila mwanasimba sasa anaogopa kuikosoa timu yake kwa propaganda zilizotengenezwa na Ahmed Ally ndomana wachezaji wa simba wanabweteka na hawajitumi kwasababu wanajiona tayari wameshakua wakubwa kwa kauli za kuwasifia kila siku za msemaji wao Ahmed Ally lakini impact yao kiwanjani ni ndogo sana

Wanasimba kama wanahitaji timu yao iwe bora waachane na propaganda za Ahmed Ally badala yake wasifie panapohitajika kusifiwa na wakosoe panapohitajika kukosolewa na pia wakubali kujifunza kutoka kwa watanu wao ambao hakuna ubishi wowote kua kwasasa ndio klabu yenye kikosi bora na ndio mabingwa wa nchi misimu mitatu mfululizo

Mytake:
Ahmed Ally anatakiwa ajiuzulu kazi yake ya usemaji kwa maslahi mapana ya klabu kwasababu yeye ndo adui namba1 wa simbaView attachment 3249216
Kwamba wachezaji wanamsikiliza semaji na sio kocha na benchi lake la ufundi?
 
Sisi tunaojua Mpira Wala uyo Ahmed Aly uwa atumzingatii tunajua anatetea ugali wake anajaribu kutaka kumfunika manara aliyokuwa anafanya akiwa Simba lakini anachemka vibaya sana,,
Mpk sasa huyo Manara aliekua anawatukana na kuwakashfu kumbe ndo ulikua unaona raha ee..yani mtu aliekua anawapa maneno mazito mpk matusi leo ndo unamuona bora kuliko mtu anaefanya utani wa jadi yy na Aly uwe utani wa staha unamuona anachemka...buhahaha kweli akili ni nywele...haya Manara kama alifanya vzr mbona huko kwenu nyuma mwiko hata kumpa tuu ile nafasi ya uhamasishaji aliyojiweka mmemkataa......
 
Hivi ni mimi tu au na ninyi wenzangu mnawaona hamnazo hawa wanalalamikia hao wasemaji wa timu??

Ahmed Ally hapangi kikosi si ajabu na yeye baadhi ya mechi kikosi anakijua lisaa kabla ya mechi kama sisi tu, yeye ni mhamasishaji, kubalnce story na kuwakeep calm mashabiki

Huyu jamaa anaifanya kazi yake vyema sana, si kazi yake kuwakemea wachezaji wakikosea, sio kazi yake kusahihisha makosa ya wachezaji sio kazi yake kusajili wachezaji.

Kama ilivyo kwa wabongo wengi hawapendi kufata taratibu, wanataka Ahmed atoke hadharani kulisema vibaya benchi la ufundi, kuwananga baadhi ya wachezaji nk ,mleta uzi uko sawa kweli??
 
Back
Top Bottom