Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Sasa nani asiyejua mechanism ya gape la 1.5?

Rs Berkane msimu wa jana alikuwa nafasi ya 6 lakini msimu huu ulivyoanza tu hata kabla ya mechi yeyote ya kimataifa kuchezwa nafasi yake tumechukua sisi unajua ni kwa nini?

Nyinyi kufikia hilo gape sio kama kuna kitu mme-earn kuizidi Simba.

Simba amepungua point kufuatia kuondolewa mwaka mmoja wa rank aliokuwa amekusanya point nyingi.

Kwenye huo mwaka kila timu ambayo ilikuwa imekusanya point nyingi lazima zipungue.
Ulichoongea umekielewa kweli?
Berkane kawa chini kwasababu ya msimu wa 2022/2023 hakuwa na point.
Unasema hakuna kitu Yanga ime earn kuizidi Simba naomba ujibu maswali yafuatayo.
1) kama hakuna kitu ambacho Yanga imeongeza kuzidi Simba,je imekuaje point za Simba na Yanga zikaribiane kwa tofauti ya 1.5?
2) Huo mwaka ambao unasema point zimeondolewa, je point za Yanga zilihesabiwa? Kama hakuna yeyote aliyehesabiwa maanake hakuna uonevu hapo bali ndio utaratibu kwasababu ranking hufanywa kwa kuchukua performance ya misimu mitano hivyo kama kuna msimu wa hivi karibuni mwenzio kachukua point nyingi kuliko wewe ni lazima gap ipungue. Yaani hata hesabu tu ndogo inakushinda?

Gap ya Simba na Yanga imepungua kwasababu mbili; sababu ya kwanza ni msimu wa 2022/2023 Yanga ilikusanya point 4 kwa kucheza fainali ya CAFCC huku Simba ikipata alama 3 kwa kuishia robo fainali ya CAFCL.
Sababu ya pili ni msimu huu Simba kucheza mashindano ya CAFCC ambayo point zake ni chache kuliko wanaocheza klabu bingwa. Ingekuwa Simba msimu huu wanacheza klabu bingwa wange maintain gap lao kwa Yanga hata ikitokea wameishia hatua sawasawa. Ila kwa sasa Simba inatakiwa iiache Yanga hatua moja zaidi kwenye mashindano ama labda itokee wote Simba na Yanga wameshika nafasi ya mwisho kwenye kundi lao ndio Yanga itazidiwa kwenye rank na Simba.
 
Utakuwa usajili wa kukomoana maana Sasa hivi wanadai wanataka kujenga timu.
Feitoto wakimsajili watakuwa kweli wanataka kujenga timu Ila hai wengine watasibitisha ni wababaishaji.
Ni wazi usajili wa Chama uliwaumiza sana Simba, hata hivyo wakifanikiwa kwa Pacome watakuwa wameshinda vita. Sote tunafahamu Pacome ni bora kuliko Chama.
 
Ulichoongea umekielewa kweli?
Berkane kawa chini kwasababu ya msimu wa 2022/2023 hakuwa na point.
Hapana hiyo sio factor iliyomfanya Rs Berkane kushuka nafasi.

2022/23 ni kweli Rs Berkane hakuwa na pointi yeyote lakini sio sababu iliyomfanya ashuke nafasi.

Katika 5 year ranking za 2019-2020 hadi 2023-2024 Rs Berkane alikuwa na pointi 42 wakati Simba ana pointi 39.

2019-2020 ndio msimu ambao Rs Berkane alichukua ubingwa wa shirikisho na kumfanya apate pointi nyingi.

Ameshuka nafasi kwasababu huo mwaka wa 2019-2020 aliochukua pointi nyingi haupo tena kwenye list ya ranking, umefutwa kwenye mahesabu ya 5 year ranking za msimu huu. Rank za msimu huu zinaanzia 2021-2022 hadi 2024-2025

Hivyo hata msimu unaokuja wa 2025-2026 katika 5 years ranking utaanzia na msimu wa 2022-2023 na wale wote waliopata pointi nyingi kwenye mwaka wa 2021-2022 watakuwa wamepoteza pointi na wapo watakaoshuka nafasi zao kwenye rank.

Kwa hiyo at least ulitakiwa ulijue hili kabla ya kuanza kushadadia kuhusu gape la point na kujiona kama ufinyu wa gape umetokana na jitihada zenu kupambana wakati hali halisi haipo hivyo.
 
1) kama hakuna kitu ambacho Yanga imeongeza kuzidi Simba,je imekuaje point za Simba na Yanga zikaribiane kwa tofauti ya 1.5?
2) Huo mwaka ambao unasema point zimeondolewa, je point za Yanga zilihesabiwa? Kama hakuna yeyote aliyehesabiwa maanake hakuna uonevu hapo bali ndio utaratibu kwasababu ranking hufanywa kwa kuchukua performance ya misimu mitano hivyo kama kuna msimu wa hivi karibuni mwenzio kachukua point nyingi kuliko wewe ni lazima gap ipungue. Yaani hata hesabu tu ndogo inakushinda?

Gap ya Simba na Yanga imepungua kwasababu mbili; sababu ya kwanza ni msimu wa 2022/2023 Yanga ilikusanya point 4 kwa kucheza fainali ya CAFCC huku Simba ikipata alama 3 kwa kuishia robo fainali ya CAFCL.
Sababu ya pili ni msimu huu Simba kucheza mashindano ya CAFCC ambayo point zake ni chache kuliko wanaocheza klabu bingwa. Ingekuwa Simba msimu huu wanacheza klabu bingwa wange maintain gap lao kwa Yanga hata ikitokea wameishia hatua sawasawa. Ila kwa sasa Simba inatakiwa iiache Yanga hatua moja zaidi kwenye mashindano ama labda itokee wote Simba na Yanga wameshika nafasi ya mwisho kwenye kundi lao ndio Yanga itazidiwa kwenye rank na Simba.
Unawaaibisha wenzako

Namshangaa na huyo aliye react love kwenye hii post yako, sijui anataka kukukopa ama niaje?

Nifah unataka kumkopa mwana?
 
Hapana hiyo sio factor iliyomfanya Rs Berkane kushuka nafasi.

2022/23 ni kweli Rs Berkane hakuwa na pointi yeyote lakini sio sababu iliyomfanya ashuke nafasi.

Katika 5 year ranking za 2019-2020 hadi 2023-2024 Rs Berkane alikuwa na pointi 42 wakati Simba ana pointi 39.

2019-2020 ndio msimu ambao Rs Berkane alichukua ubingwa wa shirikisho na kumfanya apate pointi nyingi.

Ameshuka nafasi kwasababu huo mwaka wa 2019-2020 aliochukua pointi nyingi haupo tena kwenye list ya ranking, umefutwa kwenye mahesabu ya 5 year ranking za msimu huu. Rank za msimu huu zinaanzia 2021-2022 hadi 2024-2025

Hivyo hata msimu unaokuja wa 2025-2026 katika 5 years ranking utaanzia na msimu wa 2022-2023 na wale wote waliopata pointi nyingi kwenye mwaka wa 2021-2022 watakuwa wamepoteza pointi na wapo watakaoshuka nafasi zao kwenye rank.

Kwa hiyo at least ulitakiwa ulijue hili kabla ya kuanza kushadadia kuhusu gape la point na kujiona kama ufinyu wa gape umetokana na jitihada zenu kupambana wakati hali halisi haipo hivyo.
Kwahiyo unataka kusema kuwa Berkane angekuwa na point msimu wa 2022/2023 bado zisingemsaidia kitu? Unajua coefficient ya huo msimu ni ngapi? Huo msimu una coefficient 3 ambapo ni kubwa sana na ndio hiyo coefficient iliyoibeba Yanga mpaka sasa kwazile point zake 4 zikamfanya ahesabiwe ana 12 katika huo msimu kwa sasa.
 
Mambo ya kusajili wachezaji ambao hata ukiwapata hakuna namna ya kuwatumia...
 
Unawaaibisha wenzako

Namshangaa na huyo aliye react love kwenye hii post yako, sijui anataka kukukopa ama niaje?

Nifah unataka kumkopa mwana?
Kosoa hoja kwa kuonesha wapi nilipowaibisha watu. Yaani una wivu hadi kwenye reaction za watu. Kumbe humu mtu kupewa love na thanks kwako ni kitu kikubwa sana hadi unajawa wa wivu.
 
Kwahiyo unataka kusema kuwa Berkane angekuwa na point msimu wa 2022/2023 bado zisingemsaidia kitu? Unajua coefficient ya huo msimu ni ngapi? Huo msimu una coefficient 3 ambapo ni kubwa sana na ndio hiyo coefficient iliyoibeba Yanga mpaka sasa kwazile point zake 4 zikamfanya ahesabiwe ana 12 katika huo msimu kwa sasa.
Read between lines

Kipindi ambacho Rs Berkane yupo nafasi ya 6 huo msimu wa 2022-2023 ambao hakuwa na pointi yeyote ulikuwepo kwenye list ya kimahesabu lakini haukumfanya ashuke nafasi.

Msimu ambao ni latest ndio unaopewa point 5 na pale unapoenguliwa msimu mmoja wa mwanzo hii misimu mingine inapungua pointi moja moja isipokuwa msimu mpya tu.

Yani huu msimu wa 2024-2025 ambao una point 5 itapofika mwaka 2028 basi huo msimu wa 2024-2025 utakuwa na pointi moja.

Timu yeyote ambayo ilikusanya pointi nyingi katika msimu wa 2024-2025 itaenda kuzipoteza hizo point nyingi kwasababu ni msimu ambao utakuwa na point 1 na sio 5 kama ambavyo ipo sasa.
 
Mambo ya kusajili wachezaji ambao hata ukiwapata hakuna namna ya kuwatumia...
Mashabiki wakifurahi ndio mafanikio ya usajili Mkuu, huoni Mangungu alimleta Manzoki kwenye mkutano bila hata kumsajili na mashabiki wakafurahi na kuridhika?
 
Kosoa hoja kwa kuonesha wapi nilipowaibisha watu. Yaani una wivu hadi kwenye reaction za watu. Kumbe humu mtu kupewa love na thanks kwako ni kitu kikubwa sana hadi unajawa wa wivu.
Wivu? come on!

Huyo aliye react love nimebaini naye ni clueless kama wewe, hata upeo wa kujua kama ulichoandika sio sahihi bado hana.

Yani ka react love kwasababu ni shabiki mwenzako mna-share common interest tu
 
Read between lines

Kipindi ambacho Rs Berkane yupo nafasi ya 6 huo msimu wa 2022-2023 ambao hakuwa na pointi yeyote ulikuwepo kwenye list ya kimahesabu lakini haukumfanya ashuke nafasi.

Msimu ambao ni latest ndio unaopewa point 5 na pale unapoenguliwa msimu mmoja wa mwanzo hii misimu mingine inapungua pointi moja moja isipokuwa msimu mpya tu.

Yani huu msimu wa 2024-2025 ambao una point 5 itapofika mwaka 2028 basi huo msimu wa 2024-2025 utakuwa na pointi moja.

Timu yeyote ambayo ilikusanya pointi nyingi katika msimu wa 2024-2025 itaenda kuzipoteza hizo point nyingi kwasababu ni msimu ambao utakuwa na point 1 na sio 5 kama ambavyo ipo sasa.
Na ndio maana Berkane kilichomuathiri ni msimu wa 2022/2023 kutoka na 0. Kumbuka hii ni rank ya misimu mitano hivyo njia pekee ya kuwa salama ni kuwa na muendelezo mzuri kwenye mashindano ya CAF. Ukizingua msimu mmoja tu wa karibuni, matokeo yake ndio kama haya. Berkane kazingua kwenye current performance wakati Yanga kabebwa na current performance.
Unatakiwa ubebwe na zile coefficient za juu ambayo ni 5, 4 na 3 kama kwenye hizo umepuyanga basi utaporomoka tu kwenye rank.
 
Na ndio maana Berkane kilichomuathiri ni msimu wa 2022/2023 kutoka na 0. Kumbuka hii ni rank ya misimu mitano hivyo njia pekee ya kuwa salama ni kuwa na muendelezo mzuri kwenye mashindano ya CAF. Ukizingua msimu mmoja tu matokeo yake ndio kama haya. Berkane kazingua kwenye current performance wakati Yanga kabebwa na current performance.
Unatakiwa ubebwe na zile coefficient za juu ambayo ni 5, 4 na 3 kama kwenye hizo umepuyanga basi utaporomoka tu kwenye rank.
Duuh we jamaa unaubishi wa kizamani sana aisee.

Umekomalia zero point wakati sio factor.

Kwenye 5 years ranking ya 2019-2020 hadi 2023-2024 USMA alikuwa na 0 point kwenye misimu miwili mfululizo yani 2020-2021 na 2021-2022.

Lakini kwenye list ya ranking alikuwa nafasi ya 11 wakati nyinyi mkiwa nafasi ya 13.

Kwa fact zako huyu USMA alipaswa ku drop zaidi kwasababu amepoteza pointi zote misimu miwili mfululizo.

Lakini katika ranking za msimu huu yani kuanzia 2020-2021 hadi 2024-2025 USMA amepanda viwango kutoka nafasi ya 11 mpaka nafasi ya 9. Kwanini apande viwango wakati misimu miwili mtawalia alikuwa na 0 points?
 
Mashabiki wakifurahi ndio mafanikio ya usajili Mkuu, huoni Mangungu alimleta Manzoki kwenye mkutano bila hata kumsajili na mashabiki wakafurahi na kuridhika?

Nakuelewa Nifah, nami nakazia tu kujaribu kuonesha mambo ya hovyo ambayo ndugu zetu katika uendeshaji wa mpira wamekuwa wakifanya...
 
Ni wazi usajili wa Chama uliwaumiza sana Simba, Sote tunafahamu Pacome ni bora kuliko Chama.
Mbona Chama anamuweka bench huko uto?
Siyo kweli kuhusu usajili wenu wa Chama uliwaumiza Simba. Sana sana ni kama zigo la misumari.

Zamu yenu sasa.
 
Duuh we jamaa unaubishi wa kizamani sana aisee.

Umekomalia zero point wakati sio factor.

Kwenye 5 years ranking ya 2019-2020 hadi 2023-2024 USMA alikuwa na 0 point kwenye misimu miwili mfululizo yani 2020-2021 na 2021-2022.

Lakini kwenye list ya ranking alikuwa nafasi ya 11 wakati nyinyi mkiwa nafasi ya 13.

Kwa fact zako huyu USMA alipaswa ku drop zaidi kwasababu amepoteza pointi zote misimu miwili mfululizo.

Lakini katika ranking za msimu huu yani kuanzia 2020-2021 hadi 2024-2025 USMA amepanda viwango kutoka nafasi ya 11 mpaka nafasi ya 9. Kwanini apande viwango wakati misimu miwili mtawalia alikuwa na 0 points?
Wewe tatizo akili yako inawaza kubishana nasio kuelewa. Ranking ya 2019/2020 hadi 2023/2024 hapo unaongelea misimu mitano ambayo coefficient yake ni kama ifuatavyo;
2019/2020= 1
2020/2021=2
2021/2022= 3
2022/2023= 4
2023/2024= 5
Hizo 0 za USMA zipo kwenye msimu ambao coefficient zake ni ndogo, tofauti na Berkane ambaye yeye kapata 0 msiimu ambao una coefficient kubwa. Berkane hakupata point hata moja katika msimu wa 2022/2023 msimu ambao una coefficient 4 hivyo timu yeyote iliyopata alama kwenye huo msimu lazima awe na point nyingi kwavile coefficient(kizidishio) inambeba.

Kumbuka Yanga tu kwa kupata point 4 kwenye msimu huo wa 2022/2023 zikamfanya awe na jumla ya point 20 ambapo kwa msimu huu huo msimu wa 2022/2023 unakuwa na coefficient 3 ambapo imempa point 12. Ndio maana nikwakwambia huko juu kuwa pata 0 ila sio kwenye coefficient ya 4 na 5 kwasababu kwenye mashindano yanayofuata hiyo 5 inakuwa ni kizidishio cha 4 na hiyo 4 inakuwa kizidishio cha 3
 
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jadi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msaada wa chanzo changu,

Nifah.
Usajili wa mhemko na kukomoana siku zote haulipi! Pacome ni bingwa wa kucheza na jukwaa tu full stop!! Kwa soka la KISASA HAFAI!! NUNGUNUNGU NI BORA KULIKO AUCHO!! Kama vipi wamrudishe nungunungu wetu!
 
Back
Top Bottom