Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kweli??Unajipa matumaini siyo! Kwanza kwenye hiyo orodha ya wachezaji niliowataja hapo, amebakia Sure Boy pekee kwenye kikosi cha sasa. Na uhakika wa kuanza tarehe 19 ni 1% tu kwa mtazamo wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli??Unajipa matumaini siyo! Kwanza kwenye hiyo orodha ya wachezaji niliowataja hapo, amebakia Sure Boy pekee kwenye kikosi cha sasa. Na uhakika wa kuanza tarehe 19 ni 1% tu kwa mtazamo wangu.
Moloko amecheza na Pacoume ???????
Hujui chochote...Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.
Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.
Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.
Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jadi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.
Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.
Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.
Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.
Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.
Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.
Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.
Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.
Kwa msaada wa chanzo changu,
Nifah.
Hilo wala halijabadilika. AmeshajichokeaLakini si tulikubaliana Aucho mzee?
Kwa hiyo ingeanza kwa shabiki wa Kolo ungekubali?Hata kama ni tetesi ndio ianzie kwa shabiki wa uto?
Simba tuna watu wetu tunaowaamini humu, huyu mumwamini nyinyi inatosha.
Aweeee....Sijasema mimi mwaya, Mods ndio wameweka bango lao hapo la tetesi.
Siwezi kuleta tetesi, naleta habari.
We unaonaje?Moloko amecheza na Pacoume ???????
Mnyetishaji alinidokeza kwamba Pakome anaondoka.Za wachezaji wote wawili???
Aisee mkuu wewe ni kama mimi tu.Ni Yanga lia lia na Arsenal, bangi yule mwehu nakumbuka hata ile fainali ya UEFA Madrid na Liverpool, mpaka Salah akateguliwa bega aliniletea tena ujinga kisa tulifungwa na Madrid 3-1.
#NguvuMoja🦁Aisee mkuu wewe ni kama mimi tu.
Nyumbani simba ughaibuni Liverpool.
Salute
Nafasi anayo anatumika kimataifa kwanzia hizi mechi za makundi ndo utamuonaPacoume nafasi yake kwa sasa Yanga imekua ndogo, ila naona simba waki push zaid wanaweza kumpata, na ndo utakua usajili wenye tija kuliko hata Aucho
WaSouth wanakwambia Yanga shida sio wachezaji shida ni Hersi kama vipi wamsajili hersi 😅😅 hio siku nilicheka sanaSiku akiondoka huyu 👇🏽👇🏽👇🏽 ndiyo nitashtuka sana, Imagine mwamba alitumia mechi moja tu akajua Boka ni mali 😀
View attachment 3126548
Hater kwenye moja na mbili. Kwenye swala la Yanga na Simba akili huwa unaziweka kando kabisa unabakia na za kuvukia barabara tu. Uliongea maneno mabovu sana kwenye michuano ya klabu bingwa msimu uliopita kuwa Yanga kutovuka makundi, ukajifanya kama Mungu vile unayepanga nani aende nani abaki. Ila sasa naona swala la point za CAF gap ni 1.5 kati ya Simba na Yanga,sijui kikivyekwa hiki kichaka cha rank mtabakiwa na nini maana ile michuano ya mualiko nayo imefutwa.Level ya Aucho sio ya kuifanyia comparison Simba labda Fountain Gate kushuka chini huko ndio utawapata wachezaji sampuli yake
Uzi ule huwa nautembelea mara chache.#NguvuMoja🦁
#YNWA 🐔
Mbona uzi wa Liverpool humu hautembelei