Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Uzi ule huwa nautembelea mara chache.
Hata uzi mnyama sina mazoea nao kivile.
Ila kuhusu ishu ya shabiki wa yanga kukuzimia sigara daaa🙄🙄sijapenda hiyo😳😳
Usiruhusu ushabiki wa aina hiyo
Yule jamaa ni hater halafu huwa ananitafutaga sana maana akisema tupigane nitamuumiza au kumtanguliza jehanam kabisa maana nikimuotea nikampiga ngumi moja tu najua nitamuua. Sitaki nifikie huko. Toka ile ngao ya jamii nilishamwambia ukipita kushoto Mimi napita kulia achana na Mimi
 
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jadi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msaada wa chanzo changu,

Nifah.
Samahani umeolewa?
 
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jadi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msaada wa chanzo changu,

Nifah.
Aucho huyu huyu aliyesema amezeeka? Basi Simba kutakuwa na mavi-ongozi takataka!
 
Hater kwenye moja na mbili. Kwenye swala la Yanga na Simba akili huwa unaziweka kando kabisa unabakia na za kuvukia barabara tu. Uliongea maneno mabovu sana kwenye michuano ya klabu bingwa msimu uliopita kuwa Yanga kutovuka makundi, ukajifanya kama Mungu vile unayepanga nani aende nani abaki. Ila sasa naona swala la point za CAF gap ni 1.5 kati ya Simba na Yanga,sijui kikivyekwa hiki kichaka cha rank mtabakiwa na nini maana ile michuano ya mualiko nayo imefutwa.
Sasa nani asiyejua mechanism ya gape la 1.5?

Rs Berkane msimu wa jana alikuwa nafasi ya 6 lakini msimu huu ulivyoanza tu hata kabla ya mechi yeyote ya kimataifa kuchezwa nafasi yake tumechukua sisi unajua ni kwa nini?

Nyinyi kufikia hilo gape sio kama kuna kitu mme-earn kuizidi Simba.

Simba amepungua point kufuatia kuondolewa mwaka mmoja wa rank aliokuwa amekusanya point nyingi.

Kwenye huo mwaka kila timu ambayo ilikuwa imekusanya point nyingi lazima zipungue.

Nyinyi katika huo mwaka mlikuwa mnapokea wageni airport hamkuwa na chochote mlichofanya zaidi ya kushabikia timu pinzani na Simba.
 
Haina afya Kwa Mpira wetu..Bado Afrika ina wachezaji wazuri,muhimu watu WA scouting wawe makini
 
Sikushangai kwa ushamba wako wa kutoijua timu namba 6 kwa ubora Afrika.

Ushamba ni nature ya Club yako. Viatu vyenyewe mmekuja kuvijua miaka ya 1990s.
We kweli ndio hamnazo kabisa hata Aston Villa ana UEFA ambayo Arsenal hana, kaa hivo hivo na sita yako.

Washamba ndio wajanja siku hizi we kolo
 
We kweli ndio hamnazo kabisa hata Aston Villa ana UEFA ambayo Arsenal hana, kaa hivo hivo na sita yako.

Washamba ndio wajanja siku hizi we kolo
At least mwenye nacho akiongea kuwa alicho nacho sio mchongo tunaweza kumuelewa.

Lakini wewe ambaye hicho kitu huna, huna guts za kutoka mbele ya kadamnasi kusema hicho kitu sio mchongo.

Tuseme sisi wenye namba 6, sio wewe
 
At least mwenye nacho akiongea kuwa alicho nacho sio mchongo tunaweza kumuelewa.

Lakini wewe ambaye hicho kitu huna, huna guts za kutoka mbele ya kadamnasi kusema hicho kitu sio mchongo.

Tuseme sisi wenye namba 6, sio wewe
Hivi hizo namba zinasaidia nini kama hauna kombe?
 
Kwa Aucho na Pacome siwezi kushangaa,ila kwa Fei Toto ni ngumu maana mkataba na azam ni kwamba hawezi kuuzwa kwa timu ya ndani hadi mkataba wake uishe,na mauzo yakifanyika Yanga lazima wapokee 30% . Labda Azam wamwuze kwa timu ya nje halafu Simba ndo wamchukue huko nje.
 
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jadi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msaada wa chanzo changu,

Nifah.
Yangq wanamyaka mo
 
Back
Top Bottom